FJM......politically speaking.........the guy is "damaged goods" but does not mean he is beyond correction..............
I disgree. Nenda mikoani ndio utaona tofauti kubwa! If any thing, mashambulizi dhidi yake yamethibitisha one thing: Ni tishio. Ongea na wakubwa wa upande wa pili (off record) kama ni wakweli watakiri.
NB: Kwenye point yako ya awali kuhusu CHADEMA kutopinga matokeo ya urais mahakamani, ni kifungu gani cha sheria kinaruhusu kufanya hivyo?