cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,102
- 181,129
ππππππYE AKUOWE TU MUHUNI NAKUJA KUMCHAPIA, WE LAZIMA NIKULEEE
ππππππYE AKUOWE TU MUHUNI NAKUJA KUMCHAPIA, WE LAZIMA NIKULEEE
πππππMAMBO YA MA BLOW JOB, KEENYE UBORA
Bomu la machozi la mtu hapa nimetulia tuli π€£
mkuu husahau.Nyie fungeni harusi, mimi na Abdu Shiraz tutakuwa wanakamati.
Pamoja mkuu, peace π«‘Kuna members ni wako cool hata nje ya JF hawana papara wala wenge siku zote huwa nawakubali na kuwa appreciate.
moudgulf Obe makaveli10 dosho12 Vincenzo Jr Half american Seran Shunie Midekoo cocastic leo dada Atoto Makiwendo Demi Kelsea
Muoneni huyu, Eti kashukuru π€£Ahsantee P πππ
Vyote vyote, kaoneBomu la machozi la mtu hapa nimetulia tuli π€£
Umeniita au umenitaja kama mada isemavyo?
Nyie jichanganyeni ndio mtajua ni coolest kidi au ni keyboard woriaπ€£Vyote vyote, kaone
Hahahaha umetaja wasumbufuHarmful Mr Q Vincenzo Jr Guacamole Ndege Tai Lavit
rip faza_nelly Living Pablo na crew ya majobless pro max Intelligent businessman Edo kissy Thecoder Selikavu Razorblade
Uzi unasema mtu poa ndani ya jf, sasa kama wewe una mambo yako meusi nje ya jf mie sijui πNyie jichanganyeni ndio mtajua ni coolest kidi au ni keyboard woriaπ€£
Humu kina Intelligent businessman huniona kama kijana muhuni muhuni wa hovyo.Uzi unasema mtu poa ndani ya jf, sasa kama wewe una mambo yako meusi nje ya jf mie sijui π
ukipata nafasi ya kuwa busy maana yake thamani ya muda wako βitajaribuβ kurudishwa kwa mfumo wa βmalipoβ, sivyo..!?Nipo mdogo wangu. Mmekumiss pia mwaya
Harakati za mtu mweusi zinaniweka busy mbaya mdogo wangu.
Hola, guapo..!πHola, guapa π
SAWA MKUU NISAMEHE MKUU USINIPE radhi SIJA Jenga hata
AsanteFresh kheri ya mwaka mpya π
Usiniite mvulana kwa sauti wengine wakasikia, wataniharibia uvulana wangu halafu wanitelekeze kama ulivyofanya. Umeniacha na alosto πHahaha ila we jamaaa π€£
Heri ya mwaka mpya mvulana wa JF
Usiniite mvulana kwa sauti wengine wakasikia, wataniharibia uvulana wangu halafu wanitelekeze kama ulivyofanya. Umeniacha na alosto π
Haki ya nani nikichangamka utanishindwa mapema, maziwa temeke ugali ilala πNimekutoa uvulana wako lakini bado huchangamki,nifanyeje sasa zaidi ya kukutelekeza π
Sisemi tena kwa sauti mvulana wetu
Haki ya nani nikichangamka utanishindwa mapema, maziwa temeke ugali ilala π