Who is the coolest guy in JF?

Who is the coolest guy in JF?

Screen Shot 2026-01-26 at 09.42.04.png

May your birthday be filled with love, laughter, and all your favorite things.
 
min -me yupo cool ila ukimkuta bange zipo kumkichwa ukimzingua anakuzingua .

Hanaga uchokozi wa kiduwanzi bila sababu za msingi.

Shadeeya : kwa Wanawake namba moja , mstaraabu ,mchangamfu , hanaga mabifu , ugomvi , kujibizana na mtu vibaya wala humkuti kwenye Mada za fujo.

Pascal Mayalla ni hazina ya Jf sijawahi kushudia akimjibu mtu vibaya akimtukana na kumchukia . Yaani hata umtukane na kunishambulia vibaya yeye anatanguliza upole.

Mohamed Said . Hata uje kwa matusi na ukali.yeye ana stick kwenye hoja bila kudeal na wee personally

Selikavu : Mwanadiplomasia Bora wa Jf

Razorblade : Mzee wa kutuliza ghasia.

adriz : hapendi ugomvi ila jinsi utakavyokuja ndivyo atakavyokupokea.
Ndugu yangu ahsante.

Japo nimecheka hapo mwisho umeamua tu ujisemee mwenyewe 🤣🤣
 
Back
Top Bottom