Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 10,818
- 32,539
Hahhaa najua pie zote, unaongelea hii ya π =3.14🤷🏽♀️Unaijua Pie ya kwenye hesabu
Hahhaa najua pie zote, unaongelea hii ya π =3.14🤷🏽♀️Unaijua Pie ya kwenye hesabu
Naona manyumbu leo yamemsimamisha asenyo, Selikavu hongera 😂Ukimuona Razorblade mwambie namsubiri hapa Mikocheni bado dakika 20 mpira uanze
Hiyo hiyo basi we utabaki na jinsia yako kama ilivyo pie yaani hubadilikiHahhaa najua pie zote, unaongelea hii ya π =3.14🤷🏽♀️
Sijawahi kumfuma Razorblade akiwa katika seriazi battle and conflicts kama mwanetu Bill the Don 😆Appreciate sana brother one love...
Ila hapo kwa Razorblade huyo tapel toa😃😃😃kila sehemu yeye ndo muanzisha ugomvi 😃😃
Sawa nawe baki na matufunyungu yako😂Hiyo hiyo basi we utabaki na jinsia yako kama ilivyo pie yaani hubadiliki
Ndiyo ufany sasa unibless 😃Sawa nawe baki na matufunyungu yako😂
Kijana umebarikiwa kuliko vijana wote hapa jf🙏🏽Ndiyo ufany sasa unibless 😃
😅😅😅Daah niujaelewa code au umeelewa kupitilizaKijana umebarikiwa kuliko vijana wote hapa jf🙏🏽
Nna akili nyingi sana huniwezi hapo😅 ni umeblessiwa kijana😅😅😅Daah niujaelewa code au umeelewa kupitiliza
Leo umetoka acha Nipokee tu hii mibaraka 😅😅Nna akili nyingi sana huniwezi hapo😅 ni umeblessiwa kijana
Shukrani sana mkuuNitaanza na hawa dosho12 Vincenzo Jr
Upande wa manzi kuna Carleen na leo dada
Hawa jamaa wapo active ila sijawah kuona wanafanya ukorofi humu.
Wataje wengine🫵
Brother mambo vipi upo gudi?Vincenzo Jr ??? Hebu kwanza nicheke....kweli haka kajamaa ka Kigamboni kanasingiziwa mengi mazuri
Halafu kumbe dosho12 ni guy? Najuaga ni wa kike huyu
Kwangu mie japo sikutani nae sana jukwaani lakini mara zote nazomuona sijawahi...i mean sijawahi hata kwa bahati mbaya kukuta anatupiana maneno na mtu Detective J
Siku hizi ananiita "mama" au "mke"😹😹😹 uduguu nakupata mubashara
Makoshaaa😃😃in Dj Mafi Voice 😃😃😃Msingerudi ninayo huku 🤣
Intelligent businessman kapoa sana leo😃😃Naona manyumbu leo yamemsimamisha asenyo, Selikavu hongera 😂
Nafsi inaniymtuma niseme ila akili inapinga. Huna baya familiya.
Familiya heri ya mwaka mpya!
Don Bill underscore Tz ni next level 😃😃😃Sijawahi kumfuma Razorblade akiwa katika seriazi battle and conflicts kama mwanetu Bill the Don 😆
Brother kwemaDon Bill underscore Tz ni next level 😃😃😃
Ila Razor nae yupo we tembea tuu utaona ana mabattle humu ya kutosha
Safi ndugu naona Leo mmepiga arsenal 😀😀😀Kwema kaka heshima kwako mkuu
Za siku