Chica Gee
JF-Expert Member
- Jul 13, 2021
- 2,130
- 6,047
😂😂😂😂Kipofu kauona mwezi
😂😂😂😂Kipofu kauona mwezi
Long life baby depal❣️Amen 😁😁
Katibu mkuu hapaNitaanza na hawa dosho12 Vincenzo Jr
Upande wa manzi kuna Carleen na leo dada
Hawa jamaa wapo active ila sijawah kuona wanafanya ukorofi humu.
Wataje wengine🫵
Sisi ndo Manchester United tumepata na hayalii mbwatambwataDah 😁 masikini akipata
Duh tangia nizaliwe leo ndio nimesikia sauti ya leo dada 😁Ooh!!! Castle_Lite Asante.
Ukiwa kwenye siku zako unawashwa sana..!!
Kaka,Kiranga,
Ukeleta masuala ya ad hominem logical fallacy anakutupa kwenye dustbin (ignore list).
Harmful,
Huwa nakunywa naye pombe na hana baya.
Dr am 4 real PhD, Monetary doctor, ni watu wapole na watulivu japokuwa Monetary doctor huwa nakosana naye pale anaposhindwa kunipa heshima yangu Mimi baba yake.
Nashukuru kaka asante sanamin -me , MENEMENE TEKERI NA PERESI , Monetary doctor , Harmful , Castle_Lite
Kuna offer ya pombe kwenu kakaa
Mnitumie mgao wa keki 😎Tukutumie au we ndio ututumiee😂