Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 28,558
- 83,044
Hapo kwa mara ya kwanza niko upande wako!Kuna jamaa aliandika anaumwa, anahisi kichefuchefu kmmmkee nikafuta Namba hapo hapo
Hapo kwa mara ya kwanza niko upande wako!Kuna jamaa aliandika anaumwa, anahisi kichefuchefu kmmmkee nikafuta Namba hapo hapo
Kwamba siku zote ww n mpinzani wangu?Hapo kwa mara ya kwanza niko upande wako!
What’s the difference?? 🤷🏽♀️Sijawahi postigi dem/msichana/mwanamke niliyenaye kwenye mahusiano wananiitaga malaya kwa kukataa kuwapost
Basi wanajipa umuhimu wa kijinga jinga sana. Wakati nje ya mambo ya watsap wote wanapitia changamoto zilezile tu.Nimecheka sana
Hawapost status ila kazi yao kubwa ni ku view 😅😅
Na hiyo ndio kazi yao sasa
Sioni tatizo mtu akipost
Sioni tatizo mtu asipo post pia
Ila wasio post kabisa wanajipaga ka umuhimu 😆😆🙌
Kwa kweli.Humu hakuna makapuku na wala hatupost status😎
Mkuu na wewe unakimbizana na kina dada kuweka status? Hiyo kitu sina muda nacho hata kidogo.Hivi ndivyo ilivyo Whatsapp status yangu kimaudhui
Dini (Mahubiri, nyimbo, Aya za biblia n.k)-50%
Mpira-20%
Matukio(ndoa, birthdays, misiba n.k)-20%
Fursa za uchumi,biashara-5%
Memes, Quotes-5%
Iko hivi tatizo sio anaepost statusBasi wanajipa umuhimu wa kijinga jinga sana. Wakati nje ya mambo ya watsap wote wanapitia changamoto zilezile tu.
BetweenWhat’s the difference?? 🤷🏽♀️
Viewers wangu? Runners tuna apps za kukimbia huko huwa wanapost kila kitu. Kwenye Strava app yangu napost runs zangu tu ambayo ni automatically kazi ya App.Hahaha RR jamani
Status ni kitu kingine, profile ni kitu kingine..
Ukitoka riadha uwa hauwamotivate viewers wako na Kill marathon 😀
Hii ina kaukweli.TushajizeekeaView attachment 3589724
Was this really necessary???Unabonyeza kinyeo chako
Sasa wengine uwa wanascreeshot strava wanaweka status.. me nawaonaga kwangu😀Viewers wangu? Runners tuna apps za kukimbia huko huwa wanapost kila kitu. Kwenye Strava app yangu napost runs zangu tu ambayo ni automatically kazi ya App.
Uzee na u conservative unanisumbua. Mambo hayo yashabipita. Yamekuja nishakuwa mzee.Sasa wengine uwa wanascreeshot strava wanaweka status.. me nawaonaga kwangu😀
Bongo nyoso. Watu wanagombania kwenye social media kuweka ''breaking news'' za misiba. Ulimbukeni mtupu. Kna shangazi yangu alifariki, hata kabla hatujawafahamisha mahusika, ki-demu kimoja cha jirani kikapost Facebook na picha yake ''siamini kama ni kweli umetuacha''. Hakikuwa na uhusiano naye wala ukaribu. Ni kiherehere tu cha kutaka kupeleka umbeya. Na hivi ndivyo walivyo wabongo wengi. Wanadhani kupost misiba social media ni uki-sasa, kwenda na wakati.Hivi Nini kinafanya mtu umpost marehemu status?
Uzee mwisho Chalinze 😀Uzee na u conservative unanisumbua. Mambo hayo yashabipita. Yamekuja nishakuwa mzee.
Nikiolewa ndio inakuwaje?Between
Ndoa ni heshima
Haujaolewa bibie