wolverineGG
JF-Expert Member
- Feb 13, 2025
- 1,854
- 3,449
Mtu mwenye majuku na akili timamu hawezi kuhangaika kujaza matakataka WhatsApp, unalipwa nini mpaka uteseke... Umenifurahisha namna ulivo mjibu.Mine 0%
Mtu mwenye majuku na akili timamu hawezi kuhangaika kujaza matakataka WhatsApp, unalipwa nini mpaka uteseke... Umenifurahisha namna ulivo mjibu.Mine 0%
Alafu unaandikwa na watu wakubwa tunaowaheshimu humuHuu nao ni uzi???
Nahisi unabonya chekunduHivi ukitaka kuweka status unabonyeza wapi?
Tofauti na biashara ni kujifunua tu walimwengu wakuchore, siku ukikwama unashindwa kuandika a wala bMtu mwenye majuku na akili timamu hawezi kuhangaika kujaza matakataka WhatsApp, unalipwa nini mpaka uteseke... Umenifurahisha namna ulivo mjibu.
Chukua maua yakoStatus ukiwa mjinga mjinga unaweza kuexpose maisha yako..... ama mfano ..sijui umejenga, umepata kazi, cheo, n .k !
Pia ni sehemu ya mtu kusoma/kujua ufahamu wako kirahisi kulingana na yale unayoweka !
Kupitia hizo scenario 2 .. mm nimeshaacha kabisa kupost ....kuna watu hata Status zao sifungui kwa sababu najua maudhui nitakayokutana nayo....
Status nadhani ziliwekwa kwa ajili ya watoto, tena wakike ili wapeane mipashoTofauti na biashara ni kujifunua tu walimwengu wakuchore, siku ukikwama unashindwa kuandika a wala b
Labda wasiojitambua!Status nadhani ziliwekwa kwa ajili ya watoto, tena wakike ili wapeane mipasho
Ugomvi wa kaka na dada unakuwaga mtamu, hapo dada awe mkubwa kama hivyo
kweli hizi ni siku za mwisho. Huyo ndo unamfata akushauri masuala ya maisha au ndoa,!!!!! Akitoka hapo matatizo yako anayaweka meme WhatsApp ili watu wacheke.. kmmkAlafu unaandikwa na watu wakubwa tunaowaheshimu humu
Hapo kwenye birthday, kama mimi. Hadi nikipost watu huwa wanashtuka. 😃 Yan lazima uwe more than special nikupostNawapenda sana wapost memes… me kama
Mtu haweki memes au bible verses ajue sifunguagi status yake 😀
Mpaka nikupost birthday status… aloooo wee jipige kifua mara 3. Maana ntakuwa nakupenda sanaa 💕
Ndo maana nimesema watoto, vile vinavo barehe, vinavomgombea CHIDY na JIMMY, vinavoitana BFF, vinavovaa MISENDO MIPANA YENYE MANYOYA NA MIDORI YA MBWA MBELE.Labda wasiojitambua!
Yangu;Hivi ndivyo ilivyo Whatsapp status yangu kimaudhui
Dini (Mahubiri, nyimbo, Aya za biblia n.k)-50%
Mpira-20%
Matukio(ndoa, birthdays, misiba n.k)-20%
Fursa za uchumi,biashara-5%
Memes, Quotes-5%
Vinaandikaga nani aninunulie chips au nani yuko online anipigie video call😁Ndo maana nimesema watoto, vile vinavo barehe, vinavomgombea CHIDY na JIMMY, vinavoitana BFF, vinavovaa MISENDO MIPANA YENYE MANYOYA NA MIDORI YA MBWA MBELE.
Dah mpaka status zinaanzishia nyuzi😅😅😅Hivi ndivyo ilivyo Whatsapp status yangu kimaudhui
Dini (Mahubiri, nyimbo, Aya za biblia n.k)-50%
Mpira-20%
Matukio(ndoa, birthdays, misiba n.k)-20%
Fursa za uchumi,biashara-5%
Memes, Quotes-5%
Naam, ulijua ni nini? 🤔Huu nao ni uzi???
Sindano😁Naam, ulijua ni nini? 🤔
Na simu zao vimeweka makava mapana yenye Midori Dori🤣🤣🤣Ndo maana nimesema watoto, vile vinavo barehe, vinavomgombea CHIDY na JIMMY, vinavoitana BFF, vinavovaa MISENDO MIPANA YENYE MANYOYA NA MIDORI YA MBWA MBELE.
Hahahaaaa hatari sana aiseeeVinaandikaga nani aninunulie chips au nani yuko online anipigie video call