WhatsApp Status yangu

WhatsApp Status yangu

Nimemute nikiona tu status imetokea pale juu namute status imekua uwanja wa majigambo,kuchambana,na kufanyaje sijui Bora wanao post biashara😆
Uwii nimecheka! Sema ukizoea kuziview unaona kawaida tu wala huwajali mimi huwa naview naweka simu pembeni naingia kuoga zikiisha zitatoka zenyewe😁
 


Whatsapp inakutaka kila mara una scrow kuangalia yup kapost nini,,,
Huwezi kuniambia unaacha kutumia WhatsApp kwakuwa kila muda unataka kuona nani kapost nini?

Option no. 1 ni kuhide status za watu ambao hutaki kuona status zao

Option no.2 Fanya kama segment ya status haipo,baada ya muda utasahau hata kama ipo hapo,hivyo utaacha kuichungulia kabisa, kuna mtu namjua hana habar kabisa na status
 
Huwezi kuniambia unaacha kutumia WhatsApp kwakuwa kila muda unataka kuona nani kapost nini?

Option no. 1 ni kuhide status za watu ambao hutaki kuona status zao

Option no.2 Fanya kama segment ya status haipo,baada ya muda utasahau hata kama ipo hapo,hivyo utaacha kuichungulia kabisa, kuna mtu namjua hana habar kabisa na status
Sihitaji kurudi tena whatsapp mkuu...nimezoea now,mwenye issue muhimu namtumia email anitumie..
 
Huwa natuma status lakini sio kuhusu maisha yangu binafsi, educational,religion,motivational,few good comedies,na true events caught on cctv camera

One of my yesterday's status


 
Mnaopost mistari ya biblia kiukweli huwa hatuzingatii tunapita shwaa
 
Back
Top Bottom