WhatsApp Status yangu

WhatsApp Status yangu

Nawapenda sana wapost memes… me kama
Mtu haweki memes au bible verses ajue sifunguagi status yake 😀

Mpaka nikupost birthday status… aloooo wee jipige kifua mara 3. Maana ntakuwa nakupenda sanaa 💕
Upo kama mm 100%

Mm sitak kujua maisha binafsi ya watu, hvy sipend status za kuonyesha maisha binafsi.

Nataka vitu vitakavyonifanya nicheke tuu.

Sijawah na Siwez kupost birthday Hata msiba wa yeyote yule
 
Nitakuja nimpost mke wangu hapo mjini status

Sijawahi postigi dem/msichana/mwanamke niliyenaye kwenye mahusiano wananiitaga malaya kwa kukataa kuwapost

Football, sana.. memes za football si zingine, siwek maisha binafs.. utani na wanangu bloods..

Kuwatakia sikukuu njema.. hivyo
 
Nawapenda sana wapost memes… me kama
Mtu haweki memes au bible verses ajue sifunguagi status yake 😀

Mpaka nikupost birthday status… aloooo wee jipige kifua mara 3. Maana ntakuwa nakupenda sanaa 💕
Hata mimi mchumbao hauwezi kuni post.?
 
Back
Top Bottom