Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 18,551
- 53,916
Oh Jesus!!🥲Hii ina kaukweli.
Kuna jamaa yangu ni cha pombe promax mixer kitombile ila status zake ni bible quotes tu.
Oh Jesus!!🥲Hii ina kaukweli.
Kuna jamaa yangu ni cha pombe promax mixer kitombile ila status zake ni bible quotes tu.
Wanaume huwa hamsikii kichefuchefu? Hamtapiki?Mwanaume?
Angekuwa wakike nngejaribu kumuelewa
Ndo kitu cha kukufanya upost?Wanaume huwa hamsikii kichefuchefu? Hamtapiki?
Good..situmii pia whatsapp.Situmiagi Whatsapp kabisa
Wakishinda njaa au nini kiongoziManchester United & Real Madrid wakishinda lazima niwakumbushe kwamba nipo.
Unavopenda kupost makalio ya wanawake sasa, mmmhh
Ku-view jee?Mkuu na wewe unakimbizana na kina dada kuweka status? Hiyo kitu sina muda nacho hata kidogo.
Karibu tuangalie komborelaNaandika lolote, as long as vibe liko
Kwa taarifa zaidi mwulize Hance Mtanashati, kijana mlaini.Hivi ukitaka kuweka status unabonyeza wapi?
Sielwagi mimi, wewe ni muelewa zaidNikiolewa ndio inakuwaje?
Umeelwa hata maana ya kubold hapo?
AiseeKwa taarifa zaidi mwulize Hance Mtanashati, kijana mlaini.
Mwelekeze huyo jamaa bhana!Aisee
Mimi pia kuna kipindi nili uninstall WhatsApp app km miezi 4 hivi. Basi tu niliamua mwenyewe. I say nilikuwa na amani mnoo, na mm sina insta wala Facebook wala tiktok sijui. Nilikuwa naingia JF tuSahihi mkuu..ila nimegundua pia unaweza kuishi vizuri bila hata kutumia whatsapp. Nliwahi pata changamoto moja ikanifanya niwe nje ya whatsapp for a while,,nikazoea ile hali...nilivyo rejea nkakosa kabisa mzuka na whatsapp.
Nikaiondoa kabisa makusudi,,nimegundua i can live well bila whatsapp..watu wa karibu nawajuza tu imecollapse so kama kuna doc nitumiwe kwa email.
Simu ya ofisi binafsi ndo ina whatsapp kwa ajili ya matangazo ya biashara na kuwafikia wateja haraka.
Whatsapp inakutaka kila mara una scrow kuangalia yup kapost nini,,,
Safi mkuu,kuna amani ya moyo binafsi naipata,,whatsapp kila mara unataka uchungulie...magroup kibao,kila mara mtu unapata notification.Mimi pia kuna kipindi nili uninstall WhatsApp app km miezi 4 hivi. Basi tu niliamua mwenyewe. I say nilikuwa na amani mnoo, na mm sina insta wala Facebook wala tiktok sijui. Nilikuwa naingia JF tu
Hivi karibuni nimejiwa na mawazo hayo sana tu ni uninstall lkn now nashindwa kwa sbb ya business. Naona natumia sana WhatsApp kwa kazi na business na sina alternative 😞
Watu mnalinda status zenu kwa wivu mkubwa sana.Nawapenda sana wapost memes… me kama
Mtu haweki memes au bible verses ajue sifunguagi status yake 😀
Mpaka nikupost birthday status… aloooo wee jipige kifua mara 3. Maana ntakuwa nakupenda sanaa 💕