WhatsApp Status yangu

WhatsApp Status yangu

Sema wadau wanavyoikandia watsap status unaweza kuhisi ni watu fulani waliojipata, au wako busy na ugunduzi wa vitu vya maana au wanaendesha makampuni makubwa makubwa kumbe wao wasiopost na wanaopost wote ni mambugila tu chini ya utawala wa mama dula.
 
Sema wadau wanavyoikandia watsap status unaweza kuhisi ni watu fulani waliojipata, au wako busy na ugunduzi wa vitu vya maana au wanaendesha makampuni makubwa makubwa kumbe wao wasiopost na wanaopost wote ni mambugila tu chini ya utawala wa mama dula.
Nimecheka sana
Hawapost status ila kazi yao kubwa ni ku view 😅😅
Na hiyo ndio kazi yao sasa

Sioni tatizo mtu akipost
Sioni tatizo mtu asipo post pia

Ila wasio post kabisa wanajipaga ka umuhimu 😆😆🙌
 
Sema wadau wanavyoikandia watsap status unaweza kuhisi ni watu fulani waliojipata, au wako busy na ugunduzi wa vitu vya maana au wanaendesha makampuni makubwa makubwa kumbe wao wasiopost na wanaopost wote ni mambugila tu chini ya utawala wa mama dula.
Humu hakuna makapuku na wala hatupost status😎
 
downloadfile.jpg
 
Back
Top Bottom