what is your nick name???..... forget about your id.. lets chill here!

what is your nick name???..... forget about your id.. lets chill here!

Kwa hiyo mkuu wewe unaitwa 'tundu'...utakuwa mtundu sana bila shaka

nope hvyo na wala sio kama alvyosema madame kijungu!! ni ubishi tu wa hoja na jinsi nilvyokua najiona ni kama mh lissu!!
 
Ndonga. I don't know why she used to call me that name.
 
Ndonga. I don't know why she used to call me that name.

when was she calling you?

maybe she was reffering to.. nanii, nini ile..

ile ya nungunungu!! teh teh!
 
hebu mpeni nick name huyu jamaa kwanza!!

[h=5]Kuna jamaa alilala juu ya mti kumbe chini ya mti ule wachawi wanakutana,walipofika wakaanza kujitambulisha mimi mchawi kutoka Sumbawanga mimi mchawi kutoka Tanga, mimi
kutoka Naigeria, mimi kutoka Congo. Jamaa anawasikiliza tu akatokea mmoja akasema mimi mchawi kutoka Afghanistani,, jamaa
akasema mmh huyu atajiripua sasa ivi hawachelewi hawa. Tutakufa sote, kwa khofu akaruka puu chini. Nae akajitambulisha mimi ni mchawi toka MBINGUNI. walobakia wote si mbiio hizo!....[/h]

Ha ha haaaaaa...! Hii kubwa
 
wakati niko primary niliitwwa Pharaoh,, cooler, afro, tolu, whitey n.k.. Present wananiita Rasta man.
 
dah, jamani msinitumie nick name zenu pm tafadhali!!

zisemeni hapahapa!!

sana ona King'asti anasema eti anaitwa
[h=5]朣楢琴执㝧执瑩浻牡楧㩮㔱硰执㝧执獧浻牡楧敬瑦瀰絸
朣杢㑳执獧扻捡杫潲湵潣潬㩲昣昸昸㬸慢正牧畯摮椭慭...[/h]
hii sio fair kabisa!

nini maana yake sasa!
 
Last edited by a moderator:
wakati niko primary niliitwwa Pharaoh,, cooler, afro, tolu, whitey n.k.. Present wananiita Rasta man.

damn!!

ukaitwa fwarao!! hebu Ruttashobolwa kuja tumrudishe kule kashai akapalilie kahauwa zeetu!

iam not impressed,, btw, nikitoka dubai next week tutaongea vizuri!
 
Last edited by a moderator:
mmmmhhhhhh hili jina mboni lipokikithembe zaidi...

hahah umejuaje.. Nna kithembe ..very sexxxy one.. U'l notice for sometime! Nkikasirika natiririkaje the the thi thi! Lol ndomana nakaa kimya when i mad!
Tho people likes it! Lol nmejitahidi kucontrol na kukifanya thekthiiiii..
 
hivi Natalia yupo jamani?i miss her topics
 
Back
Top Bottom