what is your nick name???..... forget about your id.. lets chill here!

what is your nick name???..... forget about your id.. lets chill here!

guys, let us put our
idz aside, today we are going to generate new id's live from mmu..

what is your also know as name?

mi naitwa economiser!... wapi
lara
1
, The
Boss
,
Heaven on
Earth
,
Nyani
Ngabu
,
Madame
B
,
miss
strong
,
miss
chagga
,
Washawasha,

Katavi,

Ruttashobolwa(olinka
iwe!),
watu8...,
Mr Rocky,
LiverpoolFC,
KakaKiiza, Shark,
Eiyer, Bahati yangu,
Invisible, Fang,
Moderator... and all others!!!!

let us chart now..
548927_267774299994760_603538730_n.jpg

"che mwali" ndo ilikuwa niknam yangu
 
Last edited by a moderator:
Mndeee una visa iweeeeeeee, haya waghambie maana yakwe ushe!!!!!! Hahahaaaaa MANI njoo huko na zumbemkuu,
dada etu Madame B a.k. a Kighenda kashindwa kutoa maana ya nickname yangu hiii ya Shejawanangu, eti hawezi kuitamka vizuri maana kakulia town...ndee ya town
hahahaha, madame kijungu huyo.
 
Nick name yangu "malkia wa manyuki"
maana najulikana sana ila natawa kama mwali,
nanata kama asali na ukijaribu kunivuruga
vijana wote wa mtaani watakuandama hadi utahama kijiji!
Kwanza ngoja nimuombe Invisible anibadilishie ID aiweke hiyo.
Sema wale watoto pori wa mtaani ambao nilisha waona humu
watanijua kumbe Mwali ndie mimi...

Mwali huyo!! Malkia wa nyuki ning'ate mimi tafadhali.
 
Last edited by a moderator:
Swiro, fanta, wa kuuchuna, maringo, mama R, Mrs. U..., chotara wa kinyamwezi na kibondei, mrembua macho..... nyingine kapuni, ila hasbendi huwa ananiita mama kibakuli au bi mkora kitachofuata hapo ni kutoka natembea migulu baja baada ya jupata bakora za kutosha looh
 
Swiro, fanta, wa kuuchuna, maringo, mama R, Mrs. U..., chotara wa kinyamwezi na kibondei, mrembua macho..... nyingine kapuni, ila hasbendi huwa ananiita mama kibakuli au bi mkora kitachofuata hapo ni kutoka natembea migulu baja baada ya jupata bakora za kutosha looh

natamanigi niwarukie wanawake wa hivi.. jicho kungwi! dah!
 
Back
Top Bottom