hebu mpeni nick name huyu jamaa kwanza!!
[h=5]Kuna jamaa alilala juu ya mti kumbe chini ya mti ule wachawi wanakutana,walipofika wakaanza kujitambulisha mimi mchawi kutoka Sumbawanga mimi mchawi kutoka Tanga, mimi
kutoka Naigeria, mimi kutoka Congo. Jamaa anawasikiliza tu akatokea mmoja akasema mimi mchawi kutoka Afghanistani,, jamaa
akasema mmh huyu atajiripua sasa ivi hawachelewi hawa. Tutakufa sote, kwa khofu akaruka puu chini. Nae akajitambulisha mimi ni mchawi toka MBINGUNI. walobakia wote si mbiio hizo!....[/h]