what is your nick name???..... forget about your id.. lets chill here!

what is your nick name???..... forget about your id.. lets chill here!

Enzi nasoma walikuwa wananiita "Eliumbo".
Nilipewa hilo jina baada ya kupenda mada ya Elimu ya Maumbo katika somo la Hisabati.

Now ofisini wananiita Madame Kijungu.
Sijui kwa nini!!!!
MMAHE.....habari yako, snowhite....habari yako binafsi.

"Madam kijungu" alafu hujui kwa nini??? Kie kie kie
 
Last edited by a moderator:
Haaaa Tanzaniaaa Tanzaniaa Classmate Lamaaar uhhhhhhhhh napata heshima ma-fans wa kila aina silii njaa nipo peace linanilinda jina I'm king kong.
 
Kumbe Mama Kijungu ni wewe!!!! Lol!

Enzi nasoma walikuwa wananiita "Eliumbo".
Nilipewa hilo jina baada ya kupenda mada ya Elimu ya Maumbo katika somo la Hisabati.

Now ofisini wananiita Madame Kijungu.
Sijui kwa nini!!!!
MMAHE.....habari yako, snowhite....habari yako binafsi.
 
Enzi nasoma walikuwa wananiita "Eliumbo". Nilipewa hilo jina baada ya kupenda mada ya Elimu ya Maumbo katika somo la Hisabati. Now ofisini wananiita Madame Kijungu. Sijui kwa nini!!!! MMAHE.....habari yako, snowhite....habari yako binafsi.
madame kijungu. . . . .hope upo mnene and then ukitembea mbele nyuma unaachana lawama, anyway ndio vitu vyangu hvyo(si ulimuona?)
 
Last edited by a moderator:
madame kijungu. . . . .hope upo mnene and then ukitembea mbele nyuma unaachana lawama, anyway ndio vitu vyangu hvyo(si ulimuona?)

Nilimuona.
Aisee ule mfungashio ni balaaa.
Hujanunua "mguu wa kuku" kweli!
Maana ashakuwa wako huyooo
 
Utotoni nilikua naitwa Cheupe zen my first ex nae akanipa aka ya jina langu na lake cipend hata kuikumbuka lol kitambooo
 
Nilimuona. Aisee ule mfungashio ni balaaa. Hujanunua "mguu wa kuku" kweli! Maana ashakuwa wako huyooo
hahahahahaha madame kijungu nimenunua miguu ya kuku sio mguu wa kuku plus mkuki(vile vitu vya kule arachuga)!, ila taratibu wakware wasikusikie hawakawii kunizungua!!
 
Back
Top Bottom