Honey Faith
JF-Expert Member
- Aug 21, 2013
- 15,782
- 11,838
mie sina
mmmmmmmh....Kwetu Da Chuma,
Kwangu Osama,
Kwa ofisi Mvurugaji
mmmmmmmh....
Chuo walikua wananiita tundu lissu,wengine hadi leo deo hawalijui wameshazoea tundu,ila ukiniita the godson of zitto kabwe utakuwa hujakosea sana.
Kwa hiyo mkuu wewe unaitwa 'tundu'...utakuwa mtundu sana bila shaka
Vipi best?
umenchanganya apo juu ujue
Life Goes On nikijitaja hapa naogopa watu wataconnect dots na kunijua
Ishia hapo hapo Mr Mwamba inatosha