Wezi wamenitenda vibaya, Msaada

Wezi wamenitenda vibaya, Msaada

Mshana jr anaweza kuwa na ndumba za kuwaangamiza hawa jamaa lakini hatakagi kutoa msaada kwa raia wema tunaoibiwa! Sijui naye huwa anashirikiana na vibaka?
 
1477298923522.jpg
 
Nyumba yangu imezungushiwa na ukuta sasa najiuliza sijui niweke electric fence itasaidia???
 
Kuna jamaa yangu aliibiwa usiku saa 8,wakaiba vitu kibao...jamaa akaja kuzinduka saa 10 jioni,Kuna madawa ya kupuliza wanatumia...
 
Mkuu pole sana!siku moja nlisikiliza kipindi cha clouds fm,kuna kibaka alikua anaelezea anasema usiku huwa wanapita kukagua milango kama imefungwa!na wanakutaga mingi ne imesahaulika!tangia siku hiyo nlifuga mbwa!pole kaka tafuta mbwa kiboko ya vibaka
 
inasemekana njia sahihi ya kujifungia ndani.. ni kufunga kwa komeo kwa ndani.... hapo mtu hata aje na funguo malaya gani hawezi kuufungua yeye akiwa nje..
umeona eeeh unaweka vitasa na milamgo iwe na komeo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom