- Thread starter
- #21
Hilo nalifanyia kazi....lazima niwakaushe kama mahindiKawasomee al badri
Hilo nalifanyia kazi....lazima niwakaushe kama mahindiKawasomee al badri
Washenzi sana hawa jamaa......😡😡😡Wakanywa na Heinken hahahahaaaa!!!! Pole kk..
hata sijui maana dar kubwa.itakuwa ameacha hiyo kazi sshv maana alishakuwa shoot on sightHuyo mtu anapatikana wapi...
Habari za Asubuhi wadau,
Juzi jumamosi maeneo ya Tabata Liwiti, majira ya saa kumi alfajiri nimestuka kuona mlango wa chumbani kwangu upo wazi, niaamka fasta, kufika sebuleni nikakuta milango ipo wazi, nikatoka nje fasta nikaona pochi ya honey imetupwa, geti lipo wazi, nikatoka speed nje nikawaona vibaka wanakimbia na pikipiki huku wamekumbatia TV Singsung Inch 42, nikawakimbiza bila mafanikio.
Hawa jamaa waliingiaje ndani? Ndio swali ninalojiuliza mpaka sasa, maana hakuna mlango uliovunjwa wala kitasa cha mlango.
Walichukua TV, wakachukua wallet yenye kilo 6, na kilo 6 ingine ilikuwa mezani (nilikuwa niende site kuwalipa mafundi hivyo nilidroo pesa kiasi bank), simu aina ya Blackberry i10, wakanywa na Heinken 1 kwenye friji na maji ya baridi (manina zao).
Hasira zinanipanda kila nikifikiria walivyomkuta honey kalala naked, bora mm nilikuwa na bukta. Nimejaribu kuwasiliana na jamaa zangu ambao nao wamewahi kupatwa na dhahama kama hii wanasema jamaa wanatumia ushirikina.
Popote mtakaposikia mtu anauza TV, tafadhali mdau wangu, uje inbox fasta unistue...!
Natangaza rasmi, Kuanzia leo popote nitakapokuta mwizi/kibaka anapigwa, lazima nimmalizie.
ila wezi wanafaidi, kama waliweza kuingia ndani bila kuvunja mlango inawezekana kabisa walimwingilia honey wako kimyakimya. Pole sana mkuunikifikiria walivyomkuta honey kalala naked
Kwa ushaur SHUKA pale barakuda bondeni mtafute jamaa anaitwa Selaa yuko pale uwanjani ongea naye VIZURI atakutajia vijana wezi.. AU pale pale tanesco Kwa nje Kuna jamaa dalali mchunguze kimya kimya yeye Ana jua genge LA waizi WA huo mtindo mitaa Yao ni hapa chini msimbazi. Nshasikia kisanga cha hivo hivo aliibiwa hivo mdada WA kenya nyuma kidogo ya Benki ya crdb.. Ila fanya uchunguz kwanza usiwafuate direct chimbo Lao lingine waizi WA hivyo ni hapo viwanja vya sigara wajinga Sana watoto WA tabata pole SanaHabari za Asubuhi wadau,
Juzi jumamosi maeneo ya Tabata Liwiti, majira ya saa kumi alfajiri nimestuka kuona mlango wa chumbani kwangu upo wazi, niaamka fasta, kufika sebuleni nikakuta milango ipo wazi, nikatoka nje fasta nikaona pochi ya honey imetupwa, geti lipo wazi, nikatoka speed nje nikawaona vibaka wanakimbia na pikipiki huku wamekumbatia TV Singsung Inch 42, nikawakimbiza bila mafanikio.
Hawa jamaa waliingiaje ndani? Ndio swali ninalojiuliza mpaka sasa, maana hakuna mlango uliovunjwa wala kitasa cha mlango.
Walichukua TV, wakachukua wallet yenye kilo 6, na kilo 6 ingine ilikuwa mezani (nilikuwa niende site kuwalipa mafundi hivyo nilidroo pesa kiasi bank), simu aina ya Blackberry i10, wakanywa na Heinken 1 kwenye friji na maji ya baridi (manina zao).
Hasira zinanipanda kila nikifikiria walivyomkuta honey kalala naked, bora mm nilikuwa na bukta. Nimejaribu kuwasiliana na jamaa zangu ambao nao wamewahi kupatwa na dhahama kama hii wanasema jamaa wanatumia ushirikina.
Popote mtakaposikia mtu anauza TV, tafadhali mdau wangu, uje inbox fasta unistue...!
Natangaza rasmi, Kuanzia leo popote nitakapokuta mwizi/kibaka anapigwa, lazima nimmalizie.
Hao ni vibaka wa hapo hapo Tabata tu chunguza pale balakuda au magengeni
Hahaha kabisaaasio bure Huyu atakua mhaya huyu ukisoma uzi wake utaelewa uhaya wake ila ana bahat sana hawajamlawiti
Upo sahihi Kabisa na km na house girl au boy aanze nao... Pole sana KakaPole sana ndugu yangu kwa tukio la kuhuzunisha.
Kwa sasa tuliza akili wezi huwa hawatoki mbali. Kama hawakufahamu basi wamepata msaada kwa anayekufahamu.
Badala ya kufikiria wezi fikiria watu waliowapa msaada na taarifa wezi juu ya pesa ulizotoa benkiNimeshiriki kwenye upelelezi wa kesi nyingi za wizi hasa za majumbani na zote zinafanana kwenye jambo moja tu; unaibiwa na anayekufahamu au aliyepata taarifa zako kutoka kwa mtu anayekufahamu.
Anzisheni sungu-sungu haraka iwezekanavyoHuku kwetu mbezi luis ndio mtindo kwa sasa...tarehe 6 na 20 ya mwezi huu walivamia kwa majirani zangu wawili wakaiba tv,ving'amuzi,deck,mitungi ya gesi,mchele,sukari nk...sasa usiku wa kuamkia jana wamekuja kwangu wakavunja mlango wa stoo ila hawakuchukua kitu chochote maana huwa tunahifadhi mkaa na kuni tu..sasa najiuliza nitawadhibiti vp kabla hawajaja kuvunja ndani kwangu kbs???maana najua watarudi na siku hizi wanavunja hata madirisha.
Bahati mbaya Kwa mjini fursa ya sungu sungu Huchukuliwa na vibaka walewaleAnzisheni sungu-sungu haraka iwezekanavyo
Mkuu usiishie hapo tu, na maji ya baridi pia!Wakanywa na Heinken hahahahaaaa!!!! Pole kk..