debless
Senior Member
- Jan 8, 2016
- 122
- 62
sasa aliyeanza mapema hiyo michezo akifikisha 30 itakuwaje ? Kwahiyo mleta mada anakaushauri kazuri ila kakaleta vibayatena watoto wadogo wa siku hizi wana payo kweli! kitoto kidogo miaka 16 kinatembea na mibaba mitu mizima age ya 40! k zmelegeaaaaa kwa kubadilisha wababa kila siku!
kutanuka kwa k kunategemea na matunzo jins yakuisafisha kufanya mazoezi na kuituliza kwa mwanaume mmoja! sio kila cku unaibadilishia size! lazma itatepwetaaaa....
utakuta mwanamke wa miaka 35 k yake ipo vizuri kuliko msichana wa miaka 20! mpooooo
Kiukweli ujumbe umefika lakini dhana uliyotumia siyo
