Wewe dada nakuhurumia... 30 yrs!

Wewe dada nakuhurumia... 30 yrs!

Mkuu!
Think big, age is just a number, what's matter is only love.
 
Mtoa mada hajatumia kauli nzuri lakini naona amekua mkweli. Baadhi ya watu wamepost unafki tu.

Mwanamke mpka anafikisha miaka 30 bado hajaolewa, vipi hakuwahi kuwa na mahusiano, kachezewa na wanaume tena wengine kuna uwezekano wapo humu wamejificha nyuma ya fake ID wanamtukana mtoa mada.

Wewe mwanamke uliyefikisha miaka 30 na hujaolewa, si ndo mnapenda kufanya ngono kwenye gari, mnaona kufanya mapenzi siku ya kwanza kukutana na mwanaume ni sawa. Eti na wewe una hamu. Nani atakuoa..!??

Endeleeni kufanya maigizo hapa jf na kujiona wasafi na mliostaarabika, lakini ukweli mnaujua huko kwenye jamii.
 
Huu ni uzi wa kipuuzi kutokea humu, wew jamaa ovyo kabisa, ndivyo dada zako na wanao wa kike watakavyotendwa kama uwatendavyo binti zs wanaume wenzio
 
"Kiukweli sina mpango wa kuoa mwanamke ninaye lingana naye umri. Maana mwanamke mwenye 30 yrs sana sana amebakiza miaka 10 tu ya kuwa active kwenye 6*6. Baada ya hapo K inaanza kusinyaaa

Mimi nina 30 mpk nikafikishe 60 huko ni leo? Kwahiyo unakuja unajishebedua, unajituma lkn mie moyo wangu upo kwa mdada mwenye 21.

Nashindwa kukuambia ukweli kwamba mm naburudika tu kwako, maana jinsi unavyo shoboka nahisi ukiambiwa utapiga yowe la nguvu na kuzimia kabisa.

Wito kwa wadada wenye umri mkubwa tafuteni wazee wa miaka 60 wanaotaka kuongeza wake. Vijana huwa tunaongeza CV tu". Alijitapa mkware mmoja huku uswazi.

Jumapili njema.

Acha maneno!..
Kikubwa mapenzi unaweza ukamtaka huyo wa 21 alafu akawa mcharuko
 

Ili usinizoee. Umenikumbusha ngoja nibadili.
aaah
umezidi sasa yaan hutuliii

inakupa pcha ya mtu asiye tulia na kitu kimoja au mtu mmoja.
weka moja halaf una chil
 
Huu ni uzi wa kipuuzi kutokea humu, wew jamaa ovyo kabisa, ndivyo dada zako na wanao wa kike watakavyotendwa kama uwatendavyo binti zs wanaume wenzio
hahahaha
jamaa kakosea lugha tu ila kuna point ali intend
na kuna point ina bidi na masista waichukue hapo
 
Mtoa mada hajatumia kauli nzuri lakini naona amekua mkweli. Baadhi ya watu wamepost unafki tu.

Mwanamke mpka anafikisha miaka 30 bado hajaolewa, vipi hakuwahi kuwa na mahusiano, kachezewa na wanaume tena wengine kuna uwezekano wapo humu wamejificha nyuma ya fake ID wanamtukana mtoa mada.

Wewe mwanamke uliyefikisha miaka 30 na hujaolewa, si ndo mnapenda kufanya ngono kwenye gari, mnaona kufanya mapenzi siku ya kwanza kukutana na mwanaume ni sawa. Eti na wewe una hamu. Nani atakuoa..!??

Endeleeni kufanya maigizo hapa jf na kujiona wasafi na mliostaarabika, lakini ukweli mnaujua huko kwenye jamii.
huyu jamaa hajaeleweka kwenye lugha
ila kuna ujumbe mzuri tu hapo na kawa mkweli
sema najua watu wamepanic na language wameacha content
 
Wenye vibamia mna njia nyingi za kujifariji....Hao 21 Mi ndo nawaogopa kama ukoma! Mi naanzia 31-Infinity.....we unaangalia Papuchi Tu kwani unaibeba hiyo.
 
Ooh kumbe ndio picha unayopata!! Basi ngoja nibadili.
hahahaha
siyo picha ninayo pata, ndio wananchi wengi wa jf wataku perceive hivo, ujue humu jf hatufahamiani ila avatar zina ongea mengi pia.
yalikua ni maoni tuu na ushauri, punguza kuhangaika
 
Back
Top Bottom