Wema Sepeta acha usanii: IVF ni nini?

Wema Sepeta acha usanii: IVF ni nini?

Tatizo wabongo IQ ndogo sana hivi unafahama ethical implications za IVF kwenye jamii hasa za Kiafrika au unabwatuka tu "chawa la mama".
Hebu elezea hii ethical implications za hiyo IVF kiafrika,kidini na ki Mila ili tujifunze kitu
 
Kupandikiza yenyewe sio kitu rahisi! Mtu anatoa mayai hata 100 yanarutubishwa na yote yanagoma.
Sasa kama yeye yai lake limekubali kwanini tusimpongeze?

Kumbe ulikua unasikia raha kumuona akilia kuhusu kukosa mtotošŸ¤”
 
Wema kufanya huo usanii kama unavyosema wewe,inakuathiri vipi wewe kwenye maisha yako binafsi?
 
Tatizo wabongo IQ ndogo sana hivi unafahama ethical implications za IVF kwenye jamii hasa za Kiafrika au unabwatuka tu "chawa la mama".
Watu wenye IQ kubwa wapo kwa ajili ya ugunduzi
Wewe IQ yako ipo for umbea
Sio mbaya lakini maana ndo sifa yenu wanawake umbea umbea mwenzio kajifungua wewe hujapenda vile..
Yeye katumia hiyo IVF wewe jifungue kawaida.
 
Hivi tukio la Ujauzito wake waliwahi kuliweka wazi kabla ya taarifa hii ya Maternity ?

Binafsi nimeona tu hii taarifa ya sasa ila sikuwahi kuona taarifa zozote kipindi cha Ujauzito kama ilivyo kwa Celebrities wengine ambao huwa wanatutangazia ujauzito wao
Sisi wambea ndo tulikua tunafahamu na ushahidi wa picha juu. But walijaribu kuifanya siri/ private
 
Sisi wambea ndo tulikua tunafahamu na ushahidi wa picha juu. But walijaribu kuifanya siri/ private
Nawashangaa wanaoforce kuonesha Wema kafanya usanii kwenye mimba yake.
Angefanya usanii angetumia nguvu kubwa tokea mwanzo kuaminisha watu yeye ni mjamzito lakini mdada wa watu walaah
 
Sio haiwezekani tu mila, desturi na dini zimekataza, athari zake kwa mtoto zitakuwa kubwa mbeleni huko
Hizo dini zilimsaidiaje Wema kuhusu hitaji lake la kupata mtoto kwa miaka yote hiyo?

Mi naona yupo sahihi kabisa kilichobaki alee mwanae na akifikisha miaka miwili aende tena kwenye mitambo apandikize nyingine.

Wewe baki na roho mbaya yako. Eti athari za mbeleni!? Hivi kuna madhara gani makubwa yamkutayo binaadam kama siyo kifo tu!
Wewe unae bwabwaja hapa ipo siku utakufa na hata mimi ntakufa and that is what we call end of any human being..
Acha roho mbaya. Vipo vya kubeza na kushupalia lakini sio kwa jambo jema kama hili ambalo mwenzako limempa faraja na tumaini.
Kuzaa azae Faiza Ali tu ila akizaa Wema nongwa.
 
Watu wengi wanaopitia changamoto za kupata mtoto huwa wanasaidiwa na hiyo technology.

Punguza kuwa na wivu na maisha ya watu, as long as mtoto anayepatikana ana DNA za wazazi wake, ni jambo la kushukuru Mungu.
 
Lengo lake ni kutaka tu azae kwa uchungu ili bila shaka naye ajihisi ni mwanamke mwenye uzazi (uterus to conceive a baby) haijalishi mbegu kutungishwa nje ya uzazi.
Ninachojiuliza kama unavyojiuliza wewe ni kuwa hizo mbegu za kike zimetokana na mwanamke mwingine? Na kama ni hivyo huyo mtoto ana DNA kweli za Usepetu?
 
Back
Top Bottom