ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 19,790
- 72,466
Mpende mwanamke mwenzakoNi mchakato aio jambo dogo kama unavofikiria.
Hivi kati ya wachawi kumi bora Tanzania, Wema atakosa kwenye top five!?
Mpende mwanamke mwenzakoNi mchakato aio jambo dogo kama unavofikiria.
Hivi kati ya wachawi kumi bora Tanzania, Wema atakosa kwenye top five!?
20 weeks? like seriously?Uchawi unawasumbua! Mtu kajua ni mjamzito mimba ikiwa na wiki 20 sasa kapandikiza saa ngapi?
Miaka yote hiyo ashindwe kupandikiza aje kufanya leo?
Watu hawafurahi kuona mafanikio ya wengine.
Kivipi haiwezekani20 weeks? like seriously?
Hivi tukio la Ujauzito wake waliwahi kuliweka wazi kabla ya taarifa hii ya Maternity ?Uchawi unawasumbua! Mtu kajua ni mjamzito mimba ikiwa na wiki 20 sasa kapandikiza saa ngapi?
Miaka yote hiyo ashindwe kupandikiza aje kufanya leo?
Watu hawafurahi kuona mafanikio ya wengine.
Zilikuwepo taarifa za ujauzito wake ila alifanya siri.Hivi tukio la Ujauzito wake waliwahi kuliweka wazi kabla ya taarifa hii ya Maternity ?
Binafsi nimeona tu hii taarifa ya sasa ila sikuwahi kuona taarifa zozote kipindi cha Ujauzito kama ilivyo kwa Celebrities wengine ambao huwa wanatutangazia ujauzito wao
Uchawi unawasumbua! Mtu kajua ni mjamzito mimba ikiwa na wiki 20 sasa kapandikiza saa ngapi?
Miaka yote hiyo ashindwe kupandikiza aje kufanya leo?
Watu hawafurahi kuona mafanikio ya wengine.
Hadi mwanamme anakuwa na husda😅😅👐 kwa KHii taarifa ya Wema kupata mtoto imewaumiza wengi sana.
Diego maradona.. 😂Ko wozu kafunga bao la mkono😂
nimeshangaa tu maana she was half way to delivery.Kivipi haiwezekani
Walio kuletea dini na kukwambia imetoka kwa mungu ndio hao walio leta technology ya IVF kwa hiyo hapo ni GGZote unazozifahamu duniani
Ndio maana nikasema afichwe yaani hata wema mwenyewe apotee kwenye social mediaKuumia kupo pale pale kwani atabakia kuwa mtoto daima , mila, desturi na dini zinadiscourage aina hiyo ya reproduction.