Wema Sepeta acha usanii: IVF ni nini?

Wema Sepeta acha usanii: IVF ni nini?

W
Uchawi unawasumbua! Mtu kajua ni mjamzito mimba ikiwa na wiki 20 sasa kapandikiza saa ngapi?

Miaka yote hiyo ashindwe kupandikiza aje kufanya leo?

Watu hawafurahi kuona mafanikio ya wengine.
ebu ficha aibu yako hivi unajua maovyo ovyo ya mimba wewe ikiwa changa yani amekaa miezi mitano ajui kama ana mimba
 
Kwani hapo tatizo nini jamani. Mbona Mzee Mengi na mrembo Jackie walipata mtoto kwa njia hio. Na watoto wanapo wanaishi vizuri tu. I doubt hata mjane wa kanumba alipata wanae kwa njia hio napo sio dhambi
Wema ni mchawi kama wachawi wengine wa taifa.
 
Kumbe mleta post ni mwanamke!
Nilitaka kushangaa mwanaume alete habari hizo lakini hata hivo tuna jukumu zito sana lakulea vijana wetu wa kiume kuna mtihani mkubwa sana.
Tatizo wabongo IQ ndogo sana hivi unafahama ethical implications za IVF kwenye jamii hasa za Kiafrika au unabwatuka tu "chawa la mama".
 
W

ebu ficha aibu yako hivi unajua maovyo ovyo ya mimba wewe ikiwa changa yani amekaa miezi mitano ajui kama ana mimba
Mbona hii case inawakuta baadhi ya wanawake!
Kuna wajawazito huwa hawapati morning sickness.

Kuna wanawake wanakaa hata miezi 9 bila kuingia period sasa huyu siku akipata mimba haoni damu hata miezi 5 haiwezi kumshtua ataona ni kawaida yake.
Au umekariri ujauzito lazima utapike na kulala hovyo?
1000046899.jpg
 
Back
Top Bottom