- Thread starter
- #101
Tofauti ya hiyo na ushoga ni nini hasa!? Ethics za utungaji mimba zinasemaje!?Hiyo ni sayansi ya tiba, nionyeshe ni wapi dini inapingana na masuala ya tiba kwa namna yoyote ile.
Tofauti ya hiyo na ushoga ni nini hasa!? Ethics za utungaji mimba zinasemaje!?Hiyo ni sayansi ya tiba, nionyeshe ni wapi dini inapingana na masuala ya tiba kwa namna yoyote ile.
Jambo zuriTayar nmeshajitafakari mkuu
Acha ushoga weweMtoa mada mbona kama una wivu, au ww ulitaka umzalie Huyo jamaa kwa njia ya asili?
Mtafute Jamaa akupe mimba na ww, naona umeumia sana wema kupata mtotoAcha ushoga wewe
Amtafute Jamaa amuombe dyudyu, amwagiwe Ndani ili apate mimba labla wivu utamuishaWe nawe acha wivu ulitaka whozu akupe wewe mimba ndio ionekane mimba?
Na ndo maana ushoga unakua kwa kasi kwa akili hizi ndogoBao ni bao Tu!
Ndo maana mnatifuliwa mitalo sana kama mnaendekeza upuuzi wa aina hii kwenye jamii.Amtafute Jamaa amuombe dyudyu, amwagiwe Ndani ili apate mimba labla wivu utamuisha
Sasa Kwann unamuonea Wivu wema?Ndo maana mnatifuliwa mitalo sana kama mnaendekeza upuuzi wa aina hii kwenye jamii.
Useless fool
Mimba ni mimba tu na mtoto ni mtotoTofauti ya hiyo na ushoga ni nini hasa!? Ethics za utungaji mimba zinasemaje!?
Kwahiyo na wewe siku wakipandiiza uterus kwenye mfumo wako wa kiume ilimradi upate mtoto utaona ni sawa tu!?Watu wengi wanaopitia changamoto za kupata mtoto huwa wanasaidiwa na hiyo technology.
Punguza kuwa na wivu na maisha ya watu, as long as mtoto anayepatikana ana DNA za wazazi wake, ni jambo la kushukuru Mungu.
Kuna Wanaume wa mioyo ya kweli halafu kuna wanaume wana mioyo ya makaratasi hii ina-apply kwa wanawake pia usiniulize kwaniniKo wozu kafunga bao la mkono😂
Wapi nimemuonea wivu!?Sasa Kwann unamuonea Wivu wema?
Hujasoma mada yako mwnyw?Wapi nimemuonea wivu!?
Dini za asili haya maarifa zinayatoa wapi?Dini za asili zinakataza pia
Ile ni mimba au machine!? Au sikuizi mimba za bluetooth zimekuwa mimba!? Kizazi cha hovyo kabisa.We nawe acha wivu ulitaka whozu akupe wewe mimba ndio ionekane mimba?
Kwanini hao wengi waumie? Au wale wengi waliokuwa ni wapenzi wake?Hii taarifa ya Wema kupata mtoto imewaumiza wengi sana.
Kuna mzazi wa mtu miaka 50+ ameamkia kwenye mitandao ya kijamii kujadili mimba ya wema.Tofauti ya hiyo na ushoga ni nini hasa!? Ethics za utungaji mimba zinasemaje!?