- Thread starter
- #21
Sio mimba hiyo, Dini, mila na desturi zinakatazaKwa iyo mbami ikitungwq nje ya kizazi
Sio mimba hiyo, Dini, mila na desturi zinakatazaKwa iyo mbami ikitungwq nje ya kizazi
SidhaniHii taarifa ya Wema kupata mtoto imewaumiza wengi sana.
Et sio mgumba tenaMgumba Sasa amezaa
Kwa mujibu wa Dini, mila na desturi sio mtoto huyo ni machine tuKafanya usanii gani sasa?
Kwani mtoto wa IVF sio mtoto mwenye DNA za wazazi?
Acheni wivu hiyo njia haiwezekani kwa 3rd world countryIVF (In Vitro Fertilization) ni njia ya kitabibu ya kusaidia kupata mtoto kwa kurutubisha yai na mbegu za kiume nje ya mwili wa mwanamke, katika maabara, kisha kiinitete (embryo) kinachopatikana hupandikizwa kwenye mfuko wa uzazi.
View attachment 3607139
Kuumia kupo pale pale kwani atabakia kuwa mtoto daima , mila, desturi na dini zinadiscourage aina hiyo ya reproduction.Wabongo huwa hatuna dogo. Na mtoto anatakiwa aishi nwa circle ndogo kabisa akiingia tu kwenye u cerebeity lazima aumie
Dini gani zinakataza. Maana yake kama ndivyo basi hata kuongezewa damu ni kosa, kuwekewa pacemaker ni kosa , kuwekewa mguu bandia ni kosa ,kuwekewa jicho la bandia ni kosa? Kuzaa kwa upasuaji ni kosa, kubadilishiwa figo ni kosa yaani kula kila nje ya asili ya mwili ni kosa sio!? Acheni kukalilishwa vibaya hizo imani mlizo letewa bila hata kujua malengo ya waliyo waletea,Sio mimba hiyo, Dini, mila na desturi zinakataza
Sio haiwezekani tu mila, desturi na dini zimekataza, athari zake kwa mtoto zitakuwa kubwa mbeleni hukoAcheni wivu hiyo njia haiwezekani kwa 3rd world country
Kampata wapi?Hii taarifa ya Wema kupata mtoto imewaumiza wengi sana.
Zote unazozifahamu dunianiDini gani zinakataza.
Ni mchakato aio jambo dogo kama unavofikiria.Uchawi unawasumbua! Mtu kajua ni mjamzito mimba ikiwa na wiki 20 sasa kapandikiza saa ngapi?
Miaka yote hiyo ashindwe kupandikiza aje kufanya leo?
Watu hawafurahi kuona mafanikio ya wengine.
Hatari sanaMchina kazini!!.
Kazi ni kipimo cha utu
Yaap dini zinakataza hadi kutumia red pepetaSio haiwezekani tu mila, desturi na dini zimekataza, athari zake kwa mtoto zitakuwa kubwa mbeleni huko
Tayari atakuwa na handle ya IG huyo...Wabongo huwa hatuna dogo. Na mtoto anatakiwa aishi nwa circle ndogo kabisa akiingia tu kwenye u cerebeity lazima aumie
Wanawake hatupendani kabisa.Uchawi unawasumbua! Mtu kajua ni mjamzito mimba ikiwa na wiki 20 sasa kapandikiza saa ngapi?
Miaka yote hiyo ashindwe kupandikiza aje kufanya leo?
Watu hawafurahi kuona mafanikio ya wengine.
Ndio ni usanii..Usanii gani?
Kupata mimba kwa kupandikiza (iVF) ni usanii?
Dini zipo sahihi kukataza maana kazi ya uumbaji ni ya sir God pekeeHatari sana
Ila yote yanawezekana ukiwa na Hela tu.Et sio mgumba tena