ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 17,554
- 41,618
- Thread starter
- #81
😅Anakaa kwa shemeji huyo😂
😅Anakaa kwa shemeji huyo😂
Safiiiii 😊Sawa mdada 😎
Asante sana madam! NimeionaWalahi kaka zangu ni wa hovyoooo 💔
Fire 🔥 🔥 haya kapige bia mkuu🤸♀️
Nipe no za nacy bs kuna product mahitaji kwake
Sometimes mamb hayaendi kama tunavyopangaHaijaenda vizuri, hii wekeend imenikuta nipo mweupe. Mwanaume ukiwa huna hela vibe kuja huwa ni ngumu.
Ntajipa pole wekeend ijayo
Lipia hii black en white ndg msee naitumaNipe no za nacy bs kuna product mahitaji kwake
Kumbe ulikua vizuri huyo kijana wa hovyo ndiyo alikuharibu 😅😅Haijaenda sawa.
Kibunda sina
Kitoto cha buku bee kimenikataa eti nina saundi za kizee, haya yote sababu ni Poor Brain kunizoesha kutongoza mishangazi.
Yote kwa yote wikendi iishe tu.
Kijana mwenye nguvu zake nimkopesha?Mwambie rafiki yako secretarybird akukopeshe hela 😅
si umesema ana nguvu maana yake uwezo wa kulipa anaoKijana mwenye nguvu zake nimkopesha?
acha gubu mzee😅Yaani nimlishe, nimsomeshe, nimvushe n.k. lakini bado anitegemee?
Hapana bhanbhanaa
Kama angekuwa na nguvu anakuwa na hayo mahitaji.si umesema ana nguvu maana yake uwezo wa kulipa anao
Ujue huyu kijana ni mtoto wangu kabisa ehh!acha gubu mzee😅
kwahiyo nguvu hana 😅Kama angekuwa na nguvu anakuwa na hayo mahitaji.
Hivi kumbe wewe ni mzee eeh?Ujue huyu kijana ni mtoto wangu kabisa ehh!
Nguvu anazo, lakini hatumii vizuri.kwahiyo nguvu hana 😅
kwanini unakoleza mwandiko hivi?
😢😢 Pole kaka 🫂Hakuna siku ngumu kwangu kama wikiendi, upweke si upweke , yaani hata haielezeki.
Tengeneza tu mazingira ya furaha bro hata kama ni ngumuMnao pata nafasi ya kufurahi furahini aisee wengine furaha kwetu ni msamiati mgumu sana.
Una miaka mi ngap ndege?Nguvu anazo, lakini hatumii vizuri.
Mimi ni Mzee sana yaani!