ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 17,619
- 41,837
- Thread starter
- #101
MashaAllah dada wa like enjoy sisy😍Nashukuru Mungu wikiend ilienda vizuri sana. hapa naimalizia na bia kadhaa kwenye kikao.
Naomba bia😉
MashaAllah dada wa like enjoy sisy😍Nashukuru Mungu wikiend ilienda vizuri sana. hapa naimalizia na bia kadhaa kwenye kikao.
44 tu!Una miaka mi ngap ndege?
Shikamoo uwiiiii44 tu!
Marahaba, hujambow! 😎Shikamoo uwiiiii
Sio rahisi kama kuandika hivi.😢😢 Pole kaka 🫂
Tengeneza tu mazingira ya furaha bro hata kama ni ngumu
Sijambo heshima yako mzeeMarahaba, hujambow! 😎
Sawa lakini one day yes ✔️Sio rahisi kama kuandika hivi.
Asante lakini.
Picha linaanza ni weekend,Weekend yako leo imekuwa kama ulivyotaka?
Sometimes unaweza kuamka ukaanza siku yako vizuri ila ghafla bin vuu kitu kinatokea na kuharibu vibe lote
Ikitokea hivyo unafanya je kurudisha vibe yako?
So, weekend yako iko kama ulivyotarajia, au kuna something imevuruga vibe?
Au kwako safiii tu!
ShesRise_1 ✋️#Weekend
Nimeichukua binti yangu.Sijambo heshima yako mzee
Koleza mwandiko hapo kwenye kiapo cha utii 🤣🤣Picha linaanza ni weekend,
Huna hili wala lile
Ghafla unashangaa simu inaita.
Kuangalia unakuta ni msaidizi wa Bosi.
Unapokea na kumsikiliza, anakwambia Bosi anawahitaji leo saa 4 asubuhi, kuna kazi ya dharula.
Sasa ukizingatia ulishakula kiapo cha utii, inabidi tu kishingo upande ujiandae na kwenda kazini. Wakati mwenyewe nilishapanga kwenda mahali kupata mbuzi choma na wine.
Shukran 🙏Sijambo heshima yako mzee
🤣🤣🤣Koleza mwandiko hapo kwenye kiapo cha utii 🤣🤣
Ndiyo koleza hapo🤣
Poor Brain hana wokovu wala upako wowote
Ameokoka bana siku hizi ana focus na biashara mdogo wangu mwenyewePoor Brain hana wokovu wala upako wowote
Acha kuzua taharuki , auntieNdiyo koleza hapo🤣
Nimeacha🙏🤣Acha kuzua taharuki , auntie
Dah poleee 😢😢Weekend yangu imekuwa mbaya sana,kuna binti nilitaka kumfanya mke sasa mwishoni nikasema nisije enda chaka nikaanza kumu track.Nimekuta kuna jamaa moja anachati naye kila siku na kila siku lazima waongee na wapo Mkoa moja.
Yani nimevurugika maini mpaka ubongo,nimekuja kuji reset kidogo na bia 2/3 mawazo mpaka kichwa kinataka kupasuka
Ohooo kumbe humjui eeeeh, sawasawa.Ameokoka bana siku hizi ana focus na biashara mdogo wangu mwenyewe