Baba mtakatifu91
JF-Expert Member
- Apr 25, 2026
- 3,548
- 7,370
Matata ya mwasi
Hongera sana mkuu utatengwa na kila mtu ila pombe ni rafiki wa kweliWeekend yangu imekuwa mbaya sana,kuna binti nilitaka kumfanya mke sasa mwishoni nikasema nisije enda chaka nikaanza kumu track.Nimekuta kuna jamaa moja anachati naye kila siku na kila siku lazima waongee na wapo Mkoa moja.
Yani nimevurugika maini mpaka ubongo,nimekuja kuji reset kidogo na bia 2/3 mawazo mpaka kichwa kinataka kupasuka
Kumbe kuna namna nyingine alivyoOhooo kumbe humjui eeeeh, sawasawa.
2hrs unaona ni maajabu?For the first time nimemaliza 2hrs without alcohol weekend hii. Ko mm naona kama imeenda vizur
Polee mkuuWeekend yangu imeisha vibaya sana...hope ni wikiend ambayo itanifanya nizaliwe upya kabisa...! Mniombee
Ohooo pole next weekend tutakutana hapa tuone polee broWeekend yangu imeisha vibaya sana...hope ni wikiend ambayo itanifanya nizaliwe upya kabisa...! Mniombee
Ndo nilivyoOhooo kumbe humjui eeeeh, sawasawa.
Pole shida nini mkuuHapana imevurugika
Hii ni lugha ganiMatata ya mwasi
Huyu dada
Mbamizwa ndege hujqona quotes zangu auNguvu anazo, lakini hatumii vizuri.
Mimi ni Mzee sana yaani!
Wewe umelewa 🤣🤣Mbamizwa ndege hujqona quotes zangu au
Sijaamini Jana nimewasiliana na mpenzi wangu eti Leo naona love ov my life mwanaume si mwanaume mwanamke si mwanamke
Bado selewi Ila nijipe moyo na bia ndo kipenzi changu mchaga wa kudaulodi Red black mjomba kutoka marangu sembeti amefika min -me
Mbamizwa ndege cc secretarybird
Arsenal 🔥🔥Wikendi safi kabisa ndio nataka nirudi nyumbani nishapiga moja moto moja baridi. Shukrani kwa arsenal kuifanya wikiendi iende poa
Sana leo nimekunywa ulabu kwa ajili yaoArsenal 🔥🔥
Wamekamilisha wekeend yako