Weekend yako ipo kama ulivyotarajia?🤷‍♀️

Weekend yako ipo kama ulivyotarajia?🤷‍♀️

Nimeona siziwezi nashindwa kujicontrol kwenye maamuzi nikishalewa kuanzia pesa na mapenzi nishamludisha wife kwa talaka mara mbili ila now nipo nae nikaona gambe ndo mchawi kifupi mimi kichwa panzi kwenye gambe
Safiii umefanya vizuri sio kila starehe ina mfaa mtu tafuta mbadala na uta enjoy tu hongera sana na kila la kheri usikengeuke
 
Washenzi wakubwa, ila mashallah wana upendooo utalelewa , shida ni umalayaaaaa mi kwa kweli wanaume wamenishinda.
Nipe hivyo hivyo 😅😅😞
Shida yao nini? au ndio necha 😂
Me & you tuna roho nzuri tujisifie bana 😊 sasa wanaume wana alejiiiiiiiiiii na watu kama sisi wanapenda mabandinduuuuuuu

Kama vipi switch kwenye ubandindu😅😅😅
 
Back
Top Bottom