JohnShaaban
JF-Expert Member
- Aug 23, 2007
- 464
- 116
Heshima mkuu.Hivi ulivyoandika vitatosha kujua hujui unaloandika... who told you public large office inahitaji service za TTCL broadbandss... hizi zipo kwa home users... etc please... do not danganya watu hapa...
Kwa muelekeo wako... utafika mahali kutuambia Ikulu ichukue service za 3G... au GPRS...
kazi kweli kweli... waheshimiwa... musivyovijua msijaribu kudanganya ummaa..
Kama Mtaalamu wa ICT and expert in TCP/IP... hakuna hoja hata kidogo kwenye thread hii... udaku tu na siasa za kitoto..
Sasa naomba nikupatie majibu yako... for an office like that will need at least 512K... lakini kwa kiasi wanachosema kwa mwezi... huenda wako kwenye 256K sasa angalia bei za TTCL... sio broadband samahani kaka
Huduma zako za Broadband hizi hapa ukiangalia utaona ziko usage based... maana yake... credit zikiisha link inakatika... kwa hiyo mkuu unataka link ya Ikulu ikatike wakati wowote... let us be serious kidogo...
Alafu angalia bei zote za broadband zinazungumzia intended customer wa juu kabisa ni SME... sasa Ikulu haiwezi ikawa under category ya SME...(wajasiria mali)
Possibly we're really not on same page. Mie natoa 'assumption' tena naiita "underestimate" ya 'Broadband' then you take as it is!! Who told you if the service intended to SME haiwezi kutumika dedicated to other institution? Au kwa sababu tovuti ya TTCL wame'recommend' (for SME)?