Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 34,097
- 43,309
Raia hata siku moja wasikubali at face value maelezo ya serikali yao kuwa wanataka kiasi fulani kwa ajili ya shughuli fulani. Siku raia wakianza kukubali maelezo ya serikali at face value hasa inapokuja matumizi ya fedha wanaweza kujikuta wanajengewa nyumba na Abunuwasi kwa kutumia tiara angani!
Always question, and if you trust them waambie waoneshe data!
Always question, and if you trust them waambie waoneshe data!