Website ya IKULU na miradi ya COMPUTER ya Serikali

Website ya IKULU na miradi ya COMPUTER ya Serikali

Wazee ICT tupo bana hata bure kazi tutawafanyia sitaki senti zenu....haya mambo ya aibu sana ikulu site imelala.......
 
Yoyo.. utasemaje imelala wakati wamepewa 200,000,000.. hivi kwenye dola hiyo ni kama kiasi gani? Nale mlioko kwenye mambo ya ICT ni kiasi gani cha dola kinahitajika kutengeneza website ya uhakika?
 
Siku Salva akiondoka tutakuwa na website nzuri sana ya IKULU yetu TUKUFU inshaalah
 
Yoyo.. utasemaje imelala wakati wamepewa 200,000,000.. hivi kwenye dola hiyo ni kama kiasi gani? Nale mlioko kwenye mambo ya ICT ni kiasi gani cha dola kinahitajika kutengeneza website ya uhakika?

Mhhhh shekhe nijuavyo mimi pesa zilizoliwa kwa ajili ya hiyo so called website ni zaidi ya hizo

Salva majibu yote anayo

By the way kuna habari yule mkewe ALIYEJILIPUA KAMA MNYARWANDA kule UK mambo si mazuri, naona hayupo tena LUTON

naam huyo ndiye msemaji mkuu wa Mheshimiwa wetu ambaye anadai eti anasubiri USALAMA WAFANYE VETTING ya kutengeneza website ya ikulu wakati huo huo haieleweki allegiance ya mkewe iko wapi...na ndio tunamwamini na nyaraka za serikali yetu
 
Naam, hawa jamaa katika kuendeleza fan yao na kuthibitisha kuwa they are bunch of jockers wameamua kuja na BLOG badala ya website na of course blog yao iko hosted na blogspot...nadhani hii itakuwa ni mradi wa FREDDY MARO akisaidiana na LUHANJO na i suspect con-sultant wao atakuwa ni SALVA RWEYEMAMU... maana i dont think JANUARY could be part of this none-sense kwa sababu mara ya mwisho hii blog yao wameiupdate mwezi wa 5 na huu ni mwezi wa 8

http://mawasilianoikulu.blogspot.com/

nadhani tushajua kwa nini hawataki rais awe na website...maana watashindwa kuiupdate vilivyo



Whats so wrong kuwa na website ya ikulu kama hii

KENYA
http://www.statehousekenya.go.ke/

UGANDA
http://www.statehouse.go.ug/

RWANDA
http://www.presidency.gov.rw/

Btw Hapa Salva ameita press conference Ikulu huku akiwa na podium ya GWBush...and he is supposed to be media savy huyu msemaji wa Rais

6f739x.jpg

analala,mika namuandama lakini huu kama si uzembe kumbe nini?
 
Last edited:
Naam, hawa jamaa katika kuendeleza fan yao na kuthibitisha kuwa they are bunch of jockers wameamua kuja na BLOG badala ya website na of course blog yao iko hosted na blogspot...nadhani hii itakuwa ni mradi wa FREDDY MARO akisaidiana na LUHANJO na i suspect con-sultant wao atakuwa ni SALVA RWEYEMAMU... maana i dont think JANUARY could be part of this none-sense kwa sababu mara ya mwisho hii blog yao wameiupdate mwezi wa 5 na huu ni mwezi wa 8

http://mawasilianoikulu.blogspot.com/

nadhani tushajua kwa nini hawataki rais awe na website...maana watashindwa kuiupdate vilivyo



Whats so wrong kuwa na website ya ikulu kama hii

KENYA
http://www.statehousekenya.go.ke/

UGANDA
http://www.statehouse.go.ug/

RWANDA
http://www.presidency.gov.rw/

hivi naota au
 
Tatizo litakuwa kama wanashindwa kutofautisha kati ya website na blog.

Hii itakuwa ni attempt ya katika kuweka mambo sawa ambapo kwa sasa ni "too little too late"
 
GT, unajua kila kitu ni opportunity ya ku-make money. wanasubiri kutunga mradi wa statehouse website upangiwe kama shs 3 billion halafu watafute mzabuni wa kuindesha na ku-update. Si unajua nchi ya miradi na ulaji, kitu kama hakina ulaji hakuna anayejishulisha nacho.

Jingine pia watendaji huenda wanaogopa rais anaweza kuwa karibu na wananchi na kupata info kutoka jikoni badala ya wao kum-update kwa wrong information!. Wao watasema wanadeal na cyber attack. Yaani huo ndiyo uwezo wa kubuni wa akina Salva kuja na Blog?, wanaleta utani kweli kwa nchi hawa, wao wanadhani humo Ikulu wapo kwa ajili ya kuendesha maisha yao, hawajui kuwa IKULU ni "figurehead"
 
Serikali ina majibu ya hovyo hovyo...
Hata mitandao yao ya hovyo hovyo tu...
Ikulu Blogspot itakuwa ya hovyo hovyo..tu
 
duh! nahisi kuna mtu anatuloga tanzania, haiwezekani haiwezekani tuwe wote vilaza!!! ggggrrrrrr
 
duh! nahisi kuna mtu anatuloga tanzania, haiwezekani haiwezekani tuwe wote vilaza!!! ggggrrrrrr

Mkuu,

Wala usijidanganye kwamba kuna mtu anatufanyia hivyo ni sisi wenyewe na mazingira tuliomo.
 
Please tell me it ain't so! Kikwete has only 21 followers on twitter?
 
lakini ngoja kidogo pale wanasema ni "Directorate of Presidential Communication, President's Office of the United Republic of Tanzania, State House, Dar es salaam, Tanzania" kwa hiyo ni blog ya directorate ya communication na siyo ya ikulu yenyewe, please someone tell me its true. naweza kuchanganyikiwa
 
Back
Top Bottom