Website ya IKULU na miradi ya COMPUTER ya Serikali

Website ya IKULU na miradi ya COMPUTER ya Serikali

This country is a disgrace

kwa nini waandishi wa habari hawamuulizi Salva kuhusu hili suala anapofanya interview na media?
 
Mwanasiasa
Unaposema siyo sahihi lazima utueleze ref. kama katiba au kifungu gani cha sheri. Ukiniambia hicho kitendo hakitendi haki hapo nitakuelewa. Ninavyojua mimi chama tawala kiko juu ya serikali na tunavyopiga kura tunachagua CHAMA siyo mtu na yule mtu anafuata sera za CHAMA siyo sera zake kama ilivyo kwenye baadhi ya nchi. Ndiyo maana JK aliwaambia wafanyakazi wote wa serikali wanatakiwa wafuate muongozo wa CCM kitu ambacho kinaonekana siyo cha haki lakini kutokana na katiba he was right. Rais na serikali wanatekeleza sera za chama tawala. Rais hana sera zake mwenyewe kama ilivyo kwenye baadhi ya nchi. Sidhani kama kuna ubaya website ya Ikulu kutoa info cha chama tawala. Hata nyie CHADEMA mkiingia Ikulu siyo vibaya mkaweka info za chama chenu kwenye website ya Ikulu mpaka hapo katiba itakabodalishiwa na kufanya serikali iwe inaundwa na vyama. Nilisoma habari za Mtikila nadhani jana nikaona ana make sense kuhusu suala la Zenji, mtikila amekataa serikali ya mseto kwa kuwa uundaji wa serikali ya mseto ni kitu ambacho kinatakiwa kiwe kwenye katiba kitu ambacho ni kweli kabisa. Kwa hiyo amesema tatizo liko kwenye katiba siyo sehemu nyingine. Lazima tukubali kwamba Sheria/katiba na Haki ni vitu tofauti.

Sijapata kuona comment ambayo imekuwa ya kiwango kisichokidhi haja kama hii yako kwamba huwa tunachagua chama badala ya mtu. Kama tunachagua chama badala ya mtu kuna haja gani ya mtu kufanya kampeni kutafuta kura kwa wananchi? Kama mpango ni huo tungekuwa tunapigia kura chama si mtu na chama kingeweka madarakani wanaowataka kwa vile ni chama kilichochaguliwa na wala si mtu. Kiwango chako hicho cha kujadili kwa hakika it lakes all depth. Sitazamii kuna watanzania wenye kufikiri kwa kiwango chako.

Naweza kukiri kwamba niliyojadili kuhusu Muhongo kuwa msomi asiyeelimika kumbe si peke yake wapo wengi ambao hawajaelimika kwa kiwango cha bandiko lako.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ambaye anaendelea na matitabu yake nchini Marekani, leo, Jumatano, Novemba 12, 2014, anatarajiwa kutoka wodini katika Hospitali ya Johns Hopkins na kuhamishiwa kwenye Hoteli Maalum ambako ataendelea kuwa chini ya uangalizi wa madaktari.

Rais Kikwete amekuwa kwenye Hospitali ya Johns Hopkins tokea Jumamosi iliyopita wakati alipofanyikwa upasuaji wa tezi dume
(prostrate) na afya yake imekuwa inaimarika kiasi cha kuanza mazoezi ya kutembea.

Kutokana na kuondolewa kwa bandeji kwenye mshono ambao
nao umeanza kukauka vizuri, Rais Kikwete baadaye leo atahamishwa kutoka wodini kwenda kwenye
Hospitali Maalum yenye uhusiano na Hospitali ya Johns Hopkins iliyoko karibu na hospitali hiyo.

Akiwa kwenye
Hoteli Maalum hiyo, Rais Kikwete ataendelea kupatiwa matibabu, kutembelewa mara kwa mara na madaktari na kuwa chini ya uangalizi wa wauguzi muda wote. Wiki moja baadaye, Rais Kikwete atafanyiwa tathmini ya kuwawezesha madaktari kuamua hatua inayofuata ya matibabu yake.

Wakati huo huo, kwa sababu ya wingi wa ujumbe mfupi wa simu (sms) ambazo amekuwa anazipokea Rais Kikwete, imeanzishwa namba maalum ya simu ambako wananchi wanaweza kuwasiliana kwa sms na Mhe. Rais. Namba hiyo ni +1-646-309-2295.

Imetolewa na:

Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu,
DAR ES SALAAM.
12 Novemba, 2014
 
Sam: Nafikiri sio sahihi website ya ikulu kubeba loaded information kuhusu chama kimoja tu, hata kama ni chama tawala. Chama cha siasa kinapaswa kueleza policy zake kwenye website yake ambayo CCM wanayo. You are just trying to just the obvisouly unjustifiable!
Zamani ulikuwa unatema point sana, ila sasa baada ya kupewa makate, mmmmhh.

Ngoja nikuache nisikuharibie Kitumbua cha Makinikia
 
Back
Top Bottom