Website ya IKULU na miradi ya COMPUTER ya Serikali

Website ya IKULU na miradi ya COMPUTER ya Serikali

Lakini Imeshafanywa Siasa Iko Mkono Wa Kushoto Na Mimi Nipo Kulia Siwezi Kuja Huko Nikigongwa Na Gari Je ?
 
kasheshe... mwaka jana Ikulu walitengewa fedha za Intaneti.. na mwaka juzi pia.. hizo firewall, na vyombo, nk halafu kuna bajeti ya mawasiliano.. n.k hivi huoni tatizo? Kabla hawajapewa hatu hutu tusenti milioni 38 si wasema hizo nyingine walizopewa walizitumiaje?
1. TTCL broadband connection (ambayo pengine ndio rahisi zaidi) of 2Mbps bandwidth cost more than Mil. 1/= per month.

2. Ikulu has more than one premise, each with more than one building,which implies in their totality may need at least an equivalent of two(2)-TTCL broadband connection of 2Mbps

3. From (1) and (2) above you can get a total of more than 24M/= per year (for this underestimate assumptions) for a mere connection only.

4. Remember there are additional costs such as maintenance, services, repair, QoS, etc.

Kwa umuhimu wa Ikulu bado nashiwishika kwamba bajeti iliyowekwa imezingatia hali halisi ya uchumi, otherwise ilitakiwa kwenda juu zaidi kwani hata 2-connections za 2Mbps bado hazitoshi.
 
Hapa sio kwamba ni ikulu nzima na vitengo vyake la hasha .

Nawaletea kifungu 2001 secretariat ya baraza la mawaziri wao kwenye gharama za mawasiliano habari na huduma wameomba 36,240,000.

Na kwenye hizo zilizowekwa kwa ajili ya Internet fungu 260104 wameomba 2,400,000.

hawa nao wapo Ikulu hivyo sio sahihi kusema ikulu nzima ila hicho hapo juu ni kitengo cha Salva tuu na sio kwa ajili ya kununulia vifaa ila ni kwa ajili ya kulipia gharama za internet somen kwa makini.

Ukisoma kasma 260708 kwenye mtandao wa mawasiliano wameomba shil;ingi 22,000,000. na wameandika hivi nanukuu..kasma hii hutumika kulipia gharama za mtandao wa mawasiliano . sasa swali hizi ni za mtandao gani kama sio kulipia charge na kuunganisha?
 
1. TTCL broadband connection (ambayo pengine ndio rahisi zaidi) of 2Mbps bandwidth cost more than Mil. 1/= per month.

2. Ikulu has more than one premise, each with more than one building,which implies in their totality may need at least an equivalent of two(2)-TTCL broadband connection of 2Mbps

3. From (1) and (2) above you can get a total of more than 24M/= per year (for this underestimate assumptions) for a mere connection only.

4. Remember there are additional costs such as maintenance, services, repair, QoS, etc.

Kwa umuhimu wa Ikulu bado nashiwishika kwamba bajeti iliyowekwa imezingatia hali halisi ya uchumi, otherwise ilitakiwa kwenda juu zaidi kwani hata 2-connections za 2Mbps bado hazitoshi.

Hivi ulivyoandika vitatosha kujua hujui unaloandika... who told you public large office inahitaji service za TTCL broadbandss... hizi zipo kwa home users... etc please... do not danganya watu hapa...

Kwa muelekeo wako... utafika mahali kutuambia Ikulu ichukue service za 3G... au GPRS...

kazi kweli kweli... waheshimiwa... musivyovijua msijaribu kudanganya ummaa..

Kama Mtaalamu wa ICT and expert in TCP/IP... hakuna hoja hata kidogo kwenye thread hii... udaku tu na siasa za kitoto..

Sasa naomba nikupatie majibu yako... for an office like that will need at least 512K... lakini kwa kiasi wanachosema kwa mwezi... huenda wako kwenye 256K sasa angalia bei za TTCL... sio broadband samahani kaka


Huduma zako za Broadband hizi hapa ukiangalia utaona ziko usage based... maana yake... credit zikiisha link inakatika... kwa hiyo mkuu unataka link ya Ikulu ikatike wakati wowote... let us be serious kidogo...

Alafu angalia bei zote za broadband zinazungumzia intended customer wa juu kabisa ni SME... sasa Ikulu haiwezi ikawa under category ya SME...(wajasiria mali)
 
Hivi ulivyoandika vitatosha kujua hujui unaloandika... who told you public large office inahitaji service za TTCL broadbandss... hizi zipo kwa home users... etc please... do not danganya watu hapa...

Kwa muelekeo wako... utafika mahali kutuambia Ikulu ichukue service za 3G... au GPRS...

kazi kweli kweli... waheshimiwa... musivyovijua msijaribu kudanganya ummaa..

Kama Mtaalamu wa ICT and expert in TCP/IP... hakuna hoja hata kidogo kwenye thread hii... udaku tu na siasa za kitoto..

Kasheshe, mkuu heshima mbele, mimi sioni haja ya kuwaita watu wanatoa udaku na kuendeleza siasa za kitoto. Kama Ikulu haijaeleza kwanini ilishindwa kutumia hela za kodi za wananchi ilizotengewa kwa ajili ya matumizi yake kwenye ICT katika bajeti zilizopita, watu wanahaki ya kukasirika na kuuliza.... mashaka na kutokuwa na maelezo yaliyo kina ndiyo hayo yanayojenga huu unaouita 'udaku'. Kama maelezo kamili yangetolewa, kwenye yale waliyokwisha fanya, waliyoshindwa kufanya na wanayotarajia kufanya, gharama zake na malengo wanayotaka wayafikie; basi sioni kama haya mambo ya kuhoji 'vimilioni 38' yangejitokeza....... kwanini kila kitu usiri usiri tu jamani..... what so secret about ICT implementation at State House?!.... It's people involved closely at this project fueling these hum drum debates.

SteveD.
 
Kasheshe, mwaka jana na juzi Ikulu hawakutengewa fedha za Intaneti.. labda hapa tunazungumzia huduma za wao kupata mawasiliano ya intaneti na siyo wao kuwa na uwezo wa kufanya mambo yao kwa kutumia intaneti e.g tovuti, streaming, etc...
 
Kasheshe, mkuu heshima mbele, mimi sioni haja ya kuwaita watu wanatoa udaku na kuendeleza siasa za kitoto. Kama Ikulu haijaeleza kwanini ilishindwa kutumia hela za kodi za wananchi ilizotengewa kwa ajili ya matumizi yake kwenye ICT katika bajeti zilizopita, watu wanahaki ya kukasirika na kuuliza.... mashaka na kutokuwa na maelezo yaliyo kina ndiyo hayo yanayojenga huu unaouita 'udaku'. Kama maelezo kamili yangetolewa, kwenye yale waliyokwisha fanya, waliyoshindwa kufanya na wanayotarajia kufanya, gharama zake na malengo wanayotaka wayafikie; basi sioni kama haya mambo ya kuhoji 'vimilioni 38' yangejitokeza....... kwanini kila kitu usiri usiri tu jamani..... what so secret about ICT implementation at State House?!.... It's people involved closely at this project fueling these hum drum debates.

SteveD.

SteveD.

Poa, mumewauliza wakakataa kuwajibu! kuna vitu tunalazimika kutofautisha... webdevelopment na hosting ya site ya ikulu... na internet access/connection... ukiyatofautisha haya na ukijua lipi limepewa fungu lipi... majibu ni marahisi...

Nina imani kubwa sana... hakuna sehemu bajeti zake ni za Uhakika zaidi serikalini kama bajeti za ICT... kwa kuwa ukimtumia vendor/supplier... request for quote... anakupatia baada ya dakika 30min... meaning ni rahisi kuwa na bajati iliyokaribu zaidi na ukweli... kuliko... kwenye secta nyingi...

Mimi sio tajiri lakini 38mil. ni vijisenti. guys... let focus somewhere else....
 
ukisoma kwenye kifungu 1002 uhasibu na fedha wao wameomba 4,200,000 kwa ajili ya internet .
Hawa wao kwenye kasma 310403 vifaa vya eletronik (wireless,servers,etc) kitengo wameomba 3,000,000.

Kifungu 1003 sera na mipango hiki ni kitengo kingine cha Ikulu wao kwa ajili ya internet wameomba kiasi cha shilingi 1,400,000.

kITENGO cha ukaguzi wa ndani kifungu 1004 ,wao kwenye internet wameomba kiasi cha kasma 260104 shilingi 4,800,000.

naendelea kusoma sasa wale mnaosema eti ni sawa nashindwa kuwaelewa kabisa kama inetnet inaweza kuchukua zote hizo,
 
Kasheshe, mwaka jana na juzi Ikulu hawakutengewa fedha za Intaneti.. labda hapa tunazungumzia huduma za wao kupata mawasiliano ya intaneti na siyo wao kuwa na uwezo wa kufanya mambo yao kwa kutumia intaneti e.g tovuti, streaming, etc...

Mzee Mwanakijiji,

Hoja zako ni nzuri sana... lakini upotoshaji wake uko kwenye ukweli kwamba you are reffering budget figures... let it be for 7 years ago...

Ili ku-question vizuri numbers hizo ulistahili kuwa na actuals za miaka ya nyuma na budget za mwaka huu...

Kwa bahati mbaya wewe una makisio ya miaka ya nyuma unalinganisha na makisio ya mwaka huu... so this means... you do not have base...

Mzee utakuwa productive ukipata actuals... not budget figures for previous years.
 
SteveD.

Poa, mumewauliza wakakataa kuwajibu! kuna vitu tunalazimika kutofautisha... webdevelopment na hosting ya site ya ikulu... na internet access/connection... ukiyatofautisha haya na ukijua lipi limepewa fungu lipi... majibu ni marahisi...

Nina imani kubwa sana... hakuna sehemu bajeti zake ni za Uhakika zaidi serikalini kama bajeti za ICT... kwa kuwa ukimtumia vendor/supplier... request for quote... anakupatia baada ya dakika 30min... meaning ni rahisi kuwa na bajati iliyokaribu zaidi... kuliko... kwenye secta nyingi...

Mimi sio tajiri lakini 38mil. ni vijisenti. guys... let focus somewhere else....
Kasheshe, i believe that one of many needs for ICT implementation is to propagate openness and accountability. For instruments of state, what it takes for them to understand kuwa hawana haja ya kuulizwa maswali, bali wanapaswa kutoa maelezo kabla hata ya maswali hayajawaendea..... i believe that accountability is a cornerstone in their foundation. Or are they purposely failing one of their own principles?

SteveD.
 
Mpaka kieleweke,

Data zako zime-hang (zinaning'inia)!!!

Hawa wao kwenye kasma 310403 vifaa vya eletronik (wireless,servers,etc) kitengo wameomba 3,000,000.

This is one time charge/cost.... server hununui kila mwezi... wireless equipment you buy once...ni tofauti na malipo ya kila mwezi...
Sio lazima wireless equipment ziwe kwa internet it may be connecting two buildings of same department.

kITENGO cha ukaguzi wa ndani kifungu 1004 ,wao kwenye internet wameomba kiasi cha kasma 260104 shilingi 4,800,000.

Link capacity ndogo... hence cost za chini.

Kifungu 1003 sera na mipango hiki ni kitengo kingine cha Ikulu wao kwa ajili ya internet wameomba kiasi cha shilingi 1,400,000.

Link capacity itakuwa ndogo, cost should be proportionally low!
 
Kasheshe, i believe that one of many needs for ICT implementation is to propagate openness and accountability. For instruments of state, what it takes for them to understand kuwa hawana haja ya kuulizwa maswali, bali wanapaswa kutoa maelezo kabla hata ya maswali hayajawaendea..... i believe that accountability is a cornerstone in their foundation. Or are they purposely failing one of their own principles?

SteveD.


Full agree!!!

Nani amewauliza? are you saying hili gumzo letu?
 
Sasa wewe ndio ulikuwa unasema kuwa pesa hizo ni ndogo ila ukweli ni kuwa kila kitengo kimetengewa pesa kwa ajili ya Internet sasa ukiangali kitengo cha mawasiliano utaweza kuona nin i ninachotaka watu hapa wafikiri kwa kina zaidi kwanini wao wapewe 36ms?

Think again kama kila kitengo kinatengewa pesa kwa ajili ya kulipia server etc sasa hizo za kulipia gharama za intenet mbona nyingi kwa mwaka?
 
Sasa wewe ndio ulikuwa unasema kuwa pesa hizo ni ndogo ila ukweli ni kuwa kila kitengo kimetengewa pesa kwa ajili ya Internet sasa ukiangali kitengo cha mawasiliano utaweza kuona nin i ninachotaka watu hapa wafikiri kwa kina zaidi kwanini wao wapewe 36ms?

Think again kama kila kitengo kinatengewa pesa kwa ajili ya kulipia server etc sasa hizo za kulipia gharama za intenet mbona nyingi kwa mwaka?

Tehetehe!!!

Do you know their LAN/WAN configuration!!! what if they run triple play (voice, video and data) for video... say they run Video Conference... when president want to speak with Europe/US... Dodoma etc...

Kwa taarifa yako ... ikulu ina video conference system!!!

Unless you do more home work... hoja yako bado inaning'inia mkuu... naomba nisikukatishe tamaa... but ... nothing tangible...

Bring more data brother...
 
Kwenye conference zimetengwa zifuatazo;

1.ofisi ya Rais secretariat ya baraza la mawaziri conferences fungu 260703 wametengewa 25,300,000.

Gharama za kukodi ndege fungu 260706 wameomba shilingi 800,000,600.

2.Kitengo cha sera na mipango mikutano wao wameomba fungu 260703 shilingi 2,030,000

3.Kitengo cha ukaguzi wa ndani wao wameomba kupewa ,fungu 260703 shilingi 2,700,000.kwa hivyo kila kitengo kimeomba kupewa pesa kwa ajili ya mikutano yake na hivyo za internet hazihusiani hata kidogo na mikutano.
 
Kwenye conference zimetengwa zifuatazo;

1.ofisi ya Rais secretariat ya baraza la mawaziri conferences fungu 260703 wametengewa 25,300,000.


Gharama za kukodi ndege fungu 260706 wameomba shilingi 800,000,600.

2.Kitengo cha sera na mipango mikutano wao wameomba fungu 260703 shilingi 2,030,000

3.Kitengo cha ukaguzi wa ndani wao wameomba kupewa ,fungu 260703 shilingi 2,700,000.kwa hivyo kila kitengo kimeomba kupewa pesa kwa ajili ya mikutano yake na hivyo za internet hazihusiani hata kidogo na mikutano.

I think I should opt to quit the discussion, we are not on the same wavelength!!! probably different field, politician against an engineer!!!

Wish you all the best in your spinning!!!

There is difference btn the physical conference and digital video tele-conference!!! if we mix the two... what will happen is analogue of Radio frequency interference...assuming Radio One na Clouds FM broadcasting on same frequency....guess what will happen? chaos!!!
 
YU BETTER QUIT COZ U R MIXING THINGS.

nASEMA juu ya gharama za internet wewe unaleta video &teleconference, then unaona kuwa humix.

Nakuletea data wewe unabisha tuu hizo ndio spining.

Soma btn the lines ....
 
Lol...
Hivi video conference zinatumia njia gani? i.e MSN,YAHOO IM?
 
Kasheshe....poa mwanangu...nafikiri Mpaka Kieleweke ataelewa soon. Kila kimsingi tueleweshana vema na tuwe na DHANA NJEMA...Wengi wetu humu ndani tunajifanya tunajua...na wengine wanaassume wengine Vilaza hawajui kitu. Pia ni vema tukawa na attitude ya kukubaliana pale ambapo Maarifa yako ni Madogo, si kubisha tu alimradi tu ubishe...wengi wanasoma michango yetu, kuchemka hapa Jamvini, ni aibu. sometimes ni vema ukawa msomaji, kuliko kujaza Posts...
Icadon video conf inatumia internet...pia 2MB si ndogo...hasa ikiwa dedicated. Kwa nature ya ofisi zetu za serikali, matumizi ya internet ni madogo,kwani idara nyingi za serikali bado zipo ktk paper works....
 
Back
Top Bottom