Wazoefu wa haya mambo tusaidiane hapa

Wazoefu wa haya mambo tusaidiane hapa

Kazanazo

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2023
Posts
5,557
Reaction score
8,191
Hivi mtu unamtongoza anakukubalia unajaribu kumsogeza kunako 6×6 akija anakataa kwakuwa hutaki kumbaka unampetipeti anakaza zaidi unamuacha kumsubiria siku nyingine

Baada ya kumuacha anakutumia text

"nimejitahidi kuvuta hisia zimekataa yani Sina hisia na wewe kabisa"

Hivi hapo shida ni nini ni kuwa ndio nimeshachunwa hivyo au namna gani
 
Yawezekana huyo demu hana muda mrefu toka aachane na jamaa yake, ni kama kakurupuka kuingia kwenye mahusiano na wewe. So akikucheck ww anaona kama hutoshi viatu vya x wake ndo maana mzuka unakata!

Jiongeze tu huyo kakupga kidochi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom