Waziri wa Nishati January Makamba afanya historia, Awasilisha Hotuba ya Bajeti yenye QR Code mara ya kwanza kwenye Historia ya Bunge la Tanzania!

Sasa Mayala chakushangaza nini hapo yaani Kuna Mambo ya msingi ya kushauri hii Wizara nyeti umeme kero Sana Nchi hii Leo umezingua Sana sijui umepewa bahasha ili ufunike madudu ya hii Wizara kwa faida ya Nani? Sina shaka naye Personal Ila JMakamba Kama Taasisi ninashindwaga kumuelewa kabisa sijui Siasa zimezidi?

MUNGU IBARIKI AFRIKA MUNGU IBARIKI TANZANIA🇹🇿🤲
Mayala anateswa na njaa wala hana lolote, kapewa chake aje kusifia upuuzi hapa, mtu mzima kuwa na njaa ni hatari sn, Mayala amefanya kazi kwenye mashirika makubwa muda mrefu ameshindwa kuwa hata na nyumba 10 za kupangisha Dar/Mwz/Ars au Dom akaondokana na njaa au pesa alikuwa anapeleka wapi? ni aibu kubwa sn
 
Wanabodi,

Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni!.

Kabla hujasoma hoja za bandiko hili, naomba uanzie hapa kwa kuangalia hili ni bandiko la lini January Makamba Top The List of Most Interactive Politician in Tanzania!

Sasa leo katika Bunge la Bajeti, Waziri wa Nishati Mhe. January Makamba afanya historia ya matumizi ya ICT katika uwasilishaji wa bajeti, awasilisha hotuba ya bajeti yake ikiwa na QR Code, hii ikiwa ni mara ya kwanza kwenye Historia ya Bunge la Tanzania kwa hotuba ya bajeti yenye QR code.

Kwa faida ya wasiojua kuhusu QR Code, zamani hotuba za bajeti za Wizara zote na hoja zote zilikuwa zinaprintiwa hard copy, na kuwekwa pigeon holes za wabunge, this uses millions!.

Baada ya kuanza e-government, wabunge wote wamepewa vishkumbi, iPads, hotuba za bajeti zinakuwa kwenye soft copy, wabunge wanatakiwa kutembelea tovuti ya Wizara na kuipakuwa kwa kuidownload na kuisoma.

Kitendo cha kuwasilisha hotuba yenye QR code, sasa hakuna haja ya kumtumia mtu wala ku download, ni una scan tuu QR code, hotuba yote inafunguka kwenye kishkwambi chako au simu yako, hivyo saves time na hustles.

Tukija kwenye contents za hotuba hiyo, naomba kukiri, tangu Bunge la bajeti limeanza, hii ndio hotuba ya bajeti best presented, kabla ya hotuba imetanguliwa Maonyesho ya nishati Bungeni, hii public educational program kuwaelimisha wabunge.

La mwisho ni January Makamba presentations ya bajeti yake, he was speaking like a president in waiting!.
I was very right niliposema hivi kumhusu January Makamba, very intelligent, humble, down-to-earth! Can make the best President

Paskali
What is the essence of QR CODES in this poor country?.
 
Wanabodi,

Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni!.

Kabla hujasoma hoja za bandiko hili, naomba uanzie hapa kwa kuangalia hili ni bandiko la lini January Makamba Top The List of Most Interactive Politician in Tanzania!

Sasa leo katika Bunge la Bajeti, Waziri wa Nishati Mhe. January Makamba afanya historia ya matumizi ya ICT katika uwasilishaji wa bajeti, awasilisha hotuba ya bajeti yake ikiwa na QR Code, hii ikiwa ni mara ya kwanza kwenye Historia ya Bunge la Tanzania kwa hotuba ya bajeti yenye QR code.

Kwa faida ya wasiojua kuhusu QR Code, zamani hotuba za bajeti za Wizara zote na hoja zote zilikuwa zinaprintiwa hard copy, na kuwekwa pigeon holes za wabunge, this uses millions!.

Baada ya kuanza e-government, wabunge wote wamepewa vishkumbi, iPads, hotuba za bajeti zinakuwa kwenye soft copy, wabunge wanatakiwa kutembelea tovuti ya Wizara na kuipakuwa kwa kuidownload na kuisoma.

Kitendo cha kuwasilisha hotuba yenye QR code, sasa hakuna haja ya kumtumia mtu wala ku download, ni una scan tuu QR code, hotuba yote inafunguka kwenye kishkwambi chako au simu yako, hivyo saves time na hustles.

Tukija kwenye contents za hotuba hiyo, naomba kukiri, tangu Bunge la bajeti limeanza, hii ndio hotuba ya bajeti best presented, kabla ya hotuba imetanguliwa Maonyesho ya nishati Bungeni, hii public educational program kuwaelimisha wabunge.

La mwisho ni January Makamba presentations ya bajeti yake, he was speaking like a president in waiting!.
I was very right niliposema hivi kumhusu January Makamba, very intelligent, humble, down-to-earth! Can make the best President

Paskali
Mkuu kwa hatua uliofikia naomba tukuchangie ununue bajaji ikusaidie kuingiza kipato unatia aibu sn mkuu pamoja familia yako nadhani inakushanga, usikute hata ndugu yako au mwanao yupo humu haamini kama uliandika ni wewe asee, changua bajaji weka invoice admin wa JF atusaidie kukusanya huo mchango wewe ni mwenzetu ndani ya siku 2 nakuahidi tutakuwa tumemaliza mchango kazi yako ni kutafuta dereva anayejitambua awe anakufungia hesabu jioni.
 
Wanabodi,

Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni!.

Kabla hujasoma hoja za bandiko hili, naomba uanzie hapa kwa kuangalia hili ni bandiko la lini January Makamba Top The List of Most Interactive Politician in Tanzania!

Sasa leo katika Bunge la Bajeti, Waziri wa Nishati Mhe. January Makamba afanya historia ya matumizi ya ICT katika uwasilishaji wa bajeti, awasilisha hotuba ya bajeti yake ikiwa na QR Code, hii ikiwa ni mara ya kwanza kwenye Historia ya Bunge la Tanzania kwa hotuba ya bajeti yenye QR code.

Kwa faida ya wasiojua kuhusu QR Code, zamani hotuba za bajeti za Wizara zote na hoja zote zilikuwa zinaprintiwa hard copy, na kuwekwa pigeon holes za wabunge, this uses millions!.

Baada ya kuanza e-government, wabunge wote wamepewa vishkumbi, iPads, hotuba za bajeti zinakuwa kwenye soft copy, wabunge wanatakiwa kutembelea tovuti ya Wizara na kuipakuwa kwa kuidownload na kuisoma.

Kitendo cha kuwasilisha hotuba yenye QR code, sasa hakuna haja ya kumtumia mtu wala ku download, ni una scan tuu QR code, hotuba yote inafunguka kwenye kishkwambi chako au simu yako, hivyo saves time na hustles.

Tukija kwenye contents za hotuba hiyo, naomba kukiri, tangu Bunge la bajeti limeanza, hii ndio hotuba ya bajeti best presented, kabla ya hotuba imetanguliwa Maonyesho ya nishati Bungeni, hii public educational program kuwaelimisha wabunge.

La mwisho ni January Makamba presentations ya bajeti yake, he was speaking like a president in waiting!.
I was very right niliposema hivi kumhusu January Makamba, very intelligent, humble, down-to-earth! Can make the best President

Paskali
Mkuu kwa hatua uliofikia naomba tukuchangie ununue bajaji ikusaidie kuingiza kipato unatia aibu sn mkuu pamoja familia yako nadhani inakushanga, usikute hata ndugu yako au mwanao yupo humu haamini kama uliandika ni wewe asee, changua bajaji weka invoice admin wa JF atusaidie kukusanya huo mchango wewe ni mwenzetu ndani ya siku 2 nakuahidi tutakuwa tumemaliza mchango kazi yako ni kutafuta dereva anayejitambua awe anakufungia hesabu jioni.
 
Sifa nyingine bwana, halafu unakuta umeme unakatika hovyo hovyo. Hii style ya uchawa naona inazidi kuota mizizi.
Masikini kaka wa watu ukute amepewa bahasha ya elfu 50 kuja kufisia upuuzi kumbe wanamshushia heshima na kutweza utu wake. Imeniuma sn tumchangie Paschal anunue bajaji iwe inampa kipato hapo town.
 
Hata Mimi nilijua Januari makamba yupo very smart.

Nilisoma maswali yake na Majibu 100.
Mia moja JINSI atakavyokuja kufanya akiwa kwenye nafasi kubwa zaidi.

Lakini Baada ya kuwa MKUBWA na kuanza kuujua ukweli.

Jamaa yupo very shallow
Ufisadi.
Umeme unakatika Hadi bungeni.
Uwanja wa Taifa Kila siku.
Hapa nilipo umeme umekatika
Sigara nk.


UMEPEWA BAHASHA UMSUPPORT MAKAMBA.
BAADAYE ATAKUGEUKA.




KIONGOZI WA HOVYO SANA.
January ni tapeli na jangili wala hana lolote
 
Hiyo bado haimfanyi kua bora na kusahau madudu anayofanya Kila anapowekwa, baada ya kuingia huku na kurudisha kazini wezi walio temwa na Jpm tanesko imezidi kua ya hovyo kabisa, bado hatoshi na hajawahi kutosha kwenye nafasi yoyote anayopewa, hafai kua hata balozi wa nyumba 10
 
Back
Top Bottom