Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 82,962
- 96,719
Makamba katoa rushwa kubwa sn kwa waandishi na wabunge njaa wasifie budget. Hongera mkuu naona hizi siku 2 watoto walikuwa wanakula samaki home na kusaza
NjaaMayalla bhana!
Kwa nini mradi wa REA unazungumzia kuunganisha idadi ya vijiji na siyo idadi ya kaya?
Hapo kavuta chake aje asifie huku JFUtakuwa umenunuliwa maana huyo bingwa kwa kutoa pesa ili apambwe
Mayala anateswa na njaa wala hana lolote, kapewa chake aje kusifia upuuzi hapa, mtu mzima kuwa na njaa ni hatari sn, Mayala amefanya kazi kwenye mashirika makubwa muda mrefu ameshindwa kuwa hata na nyumba 10 za kupangisha Dar/Mwz/Ars au Dom akaondokana na njaa au pesa alikuwa anapeleka wapi? ni aibu kubwa snSasa Mayala chakushangaza nini hapo yaani Kuna Mambo ya msingi ya kushauri hii Wizara nyeti umeme kero Sana Nchi hii Leo umezingua Sana sijui umepewa bahasha ili ufunike madudu ya hii Wizara kwa faida ya Nani? Sina shaka naye Personal Ila JMakamba Kama Taasisi ninashindwaga kumuelewa kabisa sijui Siasa zimezidi?
MUNGU IBARIKI AFRIKA MUNGU IBARIKI TANZANIA🇹🇿🤲
Umeme unakatwa kila siku bila sababu za msingi anakuja kusifia upuuzi hapaAchana na huyu Mpiga Zumari wa Kipara. Mtu anatuketea sifa QR CODE inamsaidia nini mwanakijiji wa Mulubanda ambaye anasaga mahindi kijiji cha 3?
Utadhani kimetengenezwa na Makamba kumbe kanunua tu na kuinstall ni kama barcodeSasa hicho kinatusaidia nini sisi kama nchi wakati shida za hiyo wizara ziko kibao.Yaani wazungu waumize kichwa kubuni mambo yakurahisisha kazi alafu sisi kuvitumia tu tupongezane.Aise ujinga mwingine bana.
Njaa inamtafuna, pesa kapeleka wapi amefanya kazi mashirika makubwa tena ya nje au alikuwa mpenda starehe? siamini Paschal kuwa na njaa ya aina hiiPascal don town kitambo sema Njaa ndo imemfanya kawa mbush star!
Makamba ni tapeli na mpiga dili hana loloteHuyo muuza sura ndio zake, siku zote ana mbwembwe nyingi utendaji sifuri.
Mwakani mwambie hiyo hotuba yake akaisomee mwezini badala ya bungeni.
What is the essence of QR CODES in this poor country?.Wanabodi,
Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni!.
Kabla hujasoma hoja za bandiko hili, naomba uanzie hapa kwa kuangalia hili ni bandiko la lini January Makamba Top The List of Most Interactive Politician in Tanzania!
Sasa leo katika Bunge la Bajeti, Waziri wa Nishati Mhe. January Makamba afanya historia ya matumizi ya ICT katika uwasilishaji wa bajeti, awasilisha hotuba ya bajeti yake ikiwa na QR Code, hii ikiwa ni mara ya kwanza kwenye Historia ya Bunge la Tanzania kwa hotuba ya bajeti yenye QR code.
Kwa faida ya wasiojua kuhusu QR Code, zamani hotuba za bajeti za Wizara zote na hoja zote zilikuwa zinaprintiwa hard copy, na kuwekwa pigeon holes za wabunge, this uses millions!.
Baada ya kuanza e-government, wabunge wote wamepewa vishkumbi, iPads, hotuba za bajeti zinakuwa kwenye soft copy, wabunge wanatakiwa kutembelea tovuti ya Wizara na kuipakuwa kwa kuidownload na kuisoma.
Kitendo cha kuwasilisha hotuba yenye QR code, sasa hakuna haja ya kumtumia mtu wala ku download, ni una scan tuu QR code, hotuba yote inafunguka kwenye kishkwambi chako au simu yako, hivyo saves time na hustles.
Tukija kwenye contents za hotuba hiyo, naomba kukiri, tangu Bunge la bajeti limeanza, hii ndio hotuba ya bajeti best presented, kabla ya hotuba imetanguliwa Maonyesho ya nishati Bungeni, hii public educational program kuwaelimisha wabunge.
La mwisho ni January Makamba presentations ya bajeti yake, he was speaking like a president in waiting!.
I was very right niliposema hivi kumhusu January Makamba, very intelligent, humble, down-to-earth! Can make the best President
Paskali
Nashauri tumchangie Paschal anunue bajaji iwe inamsaidia kuingiza kipato, binafsi nipo tayari hata leo kutoa mchango wangu, anatia aibu sababu ya njaa ndogo ndogoPascal Mayalla karibu City Christian Center Upanga upunguze Ubush star wa Usukumani!
Mkuu kwa hatua uliofikia naomba tukuchangie ununue bajaji ikusaidie kuingiza kipato unatia aibu sn mkuu pamoja familia yako nadhani inakushanga, usikute hata ndugu yako au mwanao yupo humu haamini kama uliandika ni wewe asee, changua bajaji weka invoice admin wa JF atusaidie kukusanya huo mchango wewe ni mwenzetu ndani ya siku 2 nakuahidi tutakuwa tumemaliza mchango kazi yako ni kutafuta dereva anayejitambua awe anakufungia hesabu jioni.Wanabodi,
Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni!.
Kabla hujasoma hoja za bandiko hili, naomba uanzie hapa kwa kuangalia hili ni bandiko la lini January Makamba Top The List of Most Interactive Politician in Tanzania!
Sasa leo katika Bunge la Bajeti, Waziri wa Nishati Mhe. January Makamba afanya historia ya matumizi ya ICT katika uwasilishaji wa bajeti, awasilisha hotuba ya bajeti yake ikiwa na QR Code, hii ikiwa ni mara ya kwanza kwenye Historia ya Bunge la Tanzania kwa hotuba ya bajeti yenye QR code.
Kwa faida ya wasiojua kuhusu QR Code, zamani hotuba za bajeti za Wizara zote na hoja zote zilikuwa zinaprintiwa hard copy, na kuwekwa pigeon holes za wabunge, this uses millions!.
Baada ya kuanza e-government, wabunge wote wamepewa vishkumbi, iPads, hotuba za bajeti zinakuwa kwenye soft copy, wabunge wanatakiwa kutembelea tovuti ya Wizara na kuipakuwa kwa kuidownload na kuisoma.
Kitendo cha kuwasilisha hotuba yenye QR code, sasa hakuna haja ya kumtumia mtu wala ku download, ni una scan tuu QR code, hotuba yote inafunguka kwenye kishkwambi chako au simu yako, hivyo saves time na hustles.
Tukija kwenye contents za hotuba hiyo, naomba kukiri, tangu Bunge la bajeti limeanza, hii ndio hotuba ya bajeti best presented, kabla ya hotuba imetanguliwa Maonyesho ya nishati Bungeni, hii public educational program kuwaelimisha wabunge.
La mwisho ni January Makamba presentations ya bajeti yake, he was speaking like a president in waiting!.
I was very right niliposema hivi kumhusu January Makamba, very intelligent, humble, down-to-earth! Can make the best President
Paskali
Mkuu kwa hatua uliofikia naomba tukuchangie ununue bajaji ikusaidie kuingiza kipato unatia aibu sn mkuu pamoja familia yako nadhani inakushanga, usikute hata ndugu yako au mwanao yupo humu haamini kama uliandika ni wewe asee, changua bajaji weka invoice admin wa JF atusaidie kukusanya huo mchango wewe ni mwenzetu ndani ya siku 2 nakuahidi tutakuwa tumemaliza mchango kazi yako ni kutafuta dereva anayejitambua awe anakufungia hesabu jioni.Wanabodi,
Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni!.
Kabla hujasoma hoja za bandiko hili, naomba uanzie hapa kwa kuangalia hili ni bandiko la lini January Makamba Top The List of Most Interactive Politician in Tanzania!
Sasa leo katika Bunge la Bajeti, Waziri wa Nishati Mhe. January Makamba afanya historia ya matumizi ya ICT katika uwasilishaji wa bajeti, awasilisha hotuba ya bajeti yake ikiwa na QR Code, hii ikiwa ni mara ya kwanza kwenye Historia ya Bunge la Tanzania kwa hotuba ya bajeti yenye QR code.
Kwa faida ya wasiojua kuhusu QR Code, zamani hotuba za bajeti za Wizara zote na hoja zote zilikuwa zinaprintiwa hard copy, na kuwekwa pigeon holes za wabunge, this uses millions!.
Baada ya kuanza e-government, wabunge wote wamepewa vishkumbi, iPads, hotuba za bajeti zinakuwa kwenye soft copy, wabunge wanatakiwa kutembelea tovuti ya Wizara na kuipakuwa kwa kuidownload na kuisoma.
Kitendo cha kuwasilisha hotuba yenye QR code, sasa hakuna haja ya kumtumia mtu wala ku download, ni una scan tuu QR code, hotuba yote inafunguka kwenye kishkwambi chako au simu yako, hivyo saves time na hustles.
Tukija kwenye contents za hotuba hiyo, naomba kukiri, tangu Bunge la bajeti limeanza, hii ndio hotuba ya bajeti best presented, kabla ya hotuba imetanguliwa Maonyesho ya nishati Bungeni, hii public educational program kuwaelimisha wabunge.
La mwisho ni January Makamba presentations ya bajeti yake, he was speaking like a president in waiting!.
I was very right niliposema hivi kumhusu January Makamba, very intelligent, humble, down-to-earth! Can make the best President
Paskali
Masikini kaka wa watu ukute amepewa bahasha ya elfu 50 kuja kufisia upuuzi kumbe wanamshushia heshima na kutweza utu wake. Imeniuma sn tumchangie Paschal anunue bajaji iwe inampa kipato hapo town.Sifa nyingine bwana, halafu unakuta umeme unakatika hovyo hovyo. Hii style ya uchawa naona inazidi kuota mizizi.
January ni tapeli na jangili wala hana loloteHata Mimi nilijua Januari makamba yupo very smart.
Nilisoma maswali yake na Majibu 100.
Mia moja JINSI atakavyokuja kufanya akiwa kwenye nafasi kubwa zaidi.
Lakini Baada ya kuwa MKUBWA na kuanza kuujua ukweli.
Jamaa yupo very shallow
Ufisadi.
Umeme unakatika Hadi bungeni.
Uwanja wa Taifa Kila siku.
Hapa nilipo umeme umekatika
Sigara nk.
UMEPEWA BAHASHA UMSUPPORT MAKAMBA.
BAADAYE ATAKUGEUKA.
KIONGOZI WA HOVYO SANA.
Tumsaidie mwenzetu ni njaa tu na kukosa kipato, tumchangie atoke kimaishaunatia AIBU.
Tumsaidie mwenzetu ni njaa tu na kukosa kipato, tumchangie atoke kimaishaunatia AIBU.