Nsanzagee
JF-Expert Member
- Jun 28, 2023
- 1,941
- 4,128
Mh. January Makamba wakati anapewa wizara ya Nishati alitoka na swaga nyingi huku akituaminisha kwamba, amekuja na dawa ambayo mtangulizi wake Kalemani aliyekuwa waziri wa wizara hiyo kudai kwamba, alielekea kuharibu kabisa mitambo yote ya uzalishaji umeme
Yeye akadiriki kusema, kwa namna shirika hilo lilivyokuwa likiendeshwa bila kuwepo ukarabati wa mitambo hiyo, tatari ilikuwa linaelekea kuzikwa kabisa shirika hili la Tanesco
Yeye kama mtaalamu na mwenye uchungu na nchi, alisikitika sana na kumponda mno aliyekuwa mtangulizi wake bwana Kalemani huku akidai ushamba ulitangulia sana katika kuliendesha shilika hilo
Tokea hapo tukaanza kuona bajeti ya matrilion yakiombwa na wizara hiyo na fedha zote hizo akidai zinaelekezwa kwenye ununuzi wa mitambo mipya
Mh.Makamba kwa kinywa chake baada tu ya kuingia katika wizara hiyo, nchi ikaanza kuingia gizani kwa kukosa umeme huku akiwaomba wananchi wampe walao miezi sita ili waone maajabu na kwamba hakutatokea tena mgao wa umeme baada ya muda huo
Kipindi hiko ndio kipindi tulichoshuhudia mikataba mingi na ya mapesa mengi ukiwepo ule mkataba wa Wahindi wa bilioni zaidi ya 70
Hata hivyo, mpaka anatolewa katika wizara hii, bwana Makamba, hata yeye mwenyewe hawezi kueleza ni kitu gani amefanya na anajivunia licha ya kupewa matrilion ya mashilingi ili kuboresha shilika hilo
Kwa nini bwana Makamba aliamua kuudanya umma wa watanzania kuhusiana na kile alichokuwa akikisema katika ufufuaji wa shirika hili la Tanesco
Ni kipi amafanya tangu alipopewa nafasi hiyo zaidi ya kulididimiza shirika hili?
Tulitarajia kuona unafuu mara nne zaidi ya mtangulizi wake, lakini matokeo yake shirika limelika hadi kutu
Matokeo yake tunamgao wa umeme ambao haujawahi kuwepo miongo na miongo iliyopita
Kama tunawasomi wa aina hii, nakubaliana na vyuo vyetu kushika nafasi za mwisho huko balani Africa
Faida zipi bwana Makamba alikusudia azipate kutokana na uwongo wake kulihusu shirika la Tanesco?
Je huyu mwamba bwana Makamba, katika wizara zote alizowahi kuhudumu, ni nini anacho cha kujivunia na kutushawishi wananchi eti siku tumpe nafasi ya juu kwenye nchi yetu
Yeye akadiriki kusema, kwa namna shirika hilo lilivyokuwa likiendeshwa bila kuwepo ukarabati wa mitambo hiyo, tatari ilikuwa linaelekea kuzikwa kabisa shirika hili la Tanesco
Yeye kama mtaalamu na mwenye uchungu na nchi, alisikitika sana na kumponda mno aliyekuwa mtangulizi wake bwana Kalemani huku akidai ushamba ulitangulia sana katika kuliendesha shilika hilo
Tokea hapo tukaanza kuona bajeti ya matrilion yakiombwa na wizara hiyo na fedha zote hizo akidai zinaelekezwa kwenye ununuzi wa mitambo mipya
Mh.Makamba kwa kinywa chake baada tu ya kuingia katika wizara hiyo, nchi ikaanza kuingia gizani kwa kukosa umeme huku akiwaomba wananchi wampe walao miezi sita ili waone maajabu na kwamba hakutatokea tena mgao wa umeme baada ya muda huo
Kipindi hiko ndio kipindi tulichoshuhudia mikataba mingi na ya mapesa mengi ukiwepo ule mkataba wa Wahindi wa bilioni zaidi ya 70
Hata hivyo, mpaka anatolewa katika wizara hii, bwana Makamba, hata yeye mwenyewe hawezi kueleza ni kitu gani amefanya na anajivunia licha ya kupewa matrilion ya mashilingi ili kuboresha shilika hilo
Kwa nini bwana Makamba aliamua kuudanya umma wa watanzania kuhusiana na kile alichokuwa akikisema katika ufufuaji wa shirika hili la Tanesco
Ni kipi amafanya tangu alipopewa nafasi hiyo zaidi ya kulididimiza shirika hili?
Tulitarajia kuona unafuu mara nne zaidi ya mtangulizi wake, lakini matokeo yake shirika limelika hadi kutu
Matokeo yake tunamgao wa umeme ambao haujawahi kuwepo miongo na miongo iliyopita
Kama tunawasomi wa aina hii, nakubaliana na vyuo vyetu kushika nafasi za mwisho huko balani Africa
Faida zipi bwana Makamba alikusudia azipate kutokana na uwongo wake kulihusu shirika la Tanesco?
Je huyu mwamba bwana Makamba, katika wizara zote alizowahi kuhudumu, ni nini anacho cha kujivunia na kutushawishi wananchi eti siku tumpe nafasi ya juu kwenye nchi yetu