Waziri wa Kilimo Profesa Mkenda, unataka Rais Samia akubebeje?

Ngungenge

JF-Expert Member
Jun 11, 2016
2,863
3,190
Binafsi napata wasiwasi na huyu Waziri ambae elimu yake ni Professor, namuuliza kweli ameshindwa ku handle tatizo la bei ya mbolea nchini?

Na msaidizi wake Bashe ambaye kimsingi ni mkulima inamana Bashe na wewe kwenye mashamba yako unanunua DAP, KAN, UREA 110,000 kwa mahekari yote hayo uliyonayo. Mbona mnafanya makusudi kumchonganish Rais na wananchi.

Mnachokojua wewe na msaidizi wako ni kujiandikia pesa za Gala za taifa waje kanunue mhindi yenu na kuwahadaa WFP kuwa mmenunua kwa wakulima kumbe ni yenu. Mnachofanya hakikubaliki hata kidogo.

Sasa kama mbolea imetoka Elfu 65,000 hadi 110,000 na Waziri upo kazini hadi sasa na hatuoni mabadiliko unataka Rais afanyeje?

Kwa sasa bei ya gunia mshindi Elfu 30, viaz 30, maharage 40. Kwa heka moja unatumia mifumo ni 3 ya mbolea bado madawa, vibarua, palizi, uvunaji na usafirishaji. Hii ni kusema ukitaka mkulima hela moja itabidi uuze mahindi gunia 12 hapo ni upate tuu mifuko mi 3 ya mbolea. Kwahiyo ukitoa ma gharama zingine mkulima atapata wastani wa gunia 3 kama faida yaani Elfu 90 kwa msimu wote wa kilimo. Je hamuoni mnaenda kupunguza wqzalishaji, je namuona mnaenda kuleta baa la njaa?

Asilimia 80 ya wapiga kura wa CCM ni wakulima, je unataka wananchi waichukie serikali ya CCM. Muda mwingine hawa walimu wenye ma profesa wabaki vyuoni wafundishe hizi kazi wapewe wataalamu ambao kimsingi wana uwezo mkubwa zaidi wa kiutendaji kuliko hawa walimu wenye u Professor.

Rais Samia wakulima tunaimani na wewe fanya jambo bei ya mbolea. Na hili tunakuomba usimwachie mtu sio PM sio Waziri, ingia mwenyewe front msimu wa kilimo ndio huu ili uiepushe nchi yetu na baa la njaa hapo mwakani.

Rais Samia
#KAZI IENDELEE
 
Waziri anapangaje bei ya Mbolea? Wewe ukiwa Waziri kwenye hili unafanyaje kwa haraka ili bei ishuke 65k?

Sio kwamba biashara hiyo inajiendesha kwa demand and supply?
 
Bei ya mbolea imepanda sana kwenye soko la dunia. Hii si Tanzania tu.

Prof. Mkenda au Bashe, hata mawaziri wabadilishwe, hawawezi kuzuia hilo ukizingatia Tanzania tunategemea mbolea kutoka nje, bei zikipanda nje na hapa lazima zipande.

Njia iliyopo ni subsidies na kwa sasa kwa miradi inayoendelea hakuna hiyo pesa.

Tutegemee uzalishaji kupungua na bei kupanda kwa msimu ujao.
 
Chakula cha kuku kimetoka elfu 48 mpaka elfu 70 lakini wizara ya mifugo iko kimya.

Matatizo ni kila sehemu nchi hii
 
Chakula cha kuku kimetoka elfu 48 mpaka elfu 70 lakini wizara ya mifugo iko kimya.

Matatizo ni kila sehemu nchi hii
Na vifaa vya ujenzi tusemeje? kaulize kioo cha kuweka kwenye dirisha(Alluminium) kimepanda kutoka 60,000 hadi 160,000 , nondo kutoka 16,000 -26,000 na material mengine yako juu, vipi tumuandame waziri wa viwanda kwa kushindwa kusimamia huu mfumuko wa bei? Vipi Rais ametoa kauli yoyote juu ya huu mfumuko wa bei?

Sent from my Redmi Note 3 using JamiiForums mobile app
 
Na vifaa vya ujenzi tusemeje? kaulize kioo cha kuweka kwenye dirisha(Alluminium) kimepanda kutoka 60,000 hadi 160,000 , nondo kutoka 16,000 -26,000 na material mengine yako juu , vipi tumuandame waziri wa viwanda kwa kushindwa kusimamia huu mfumuko wa bei? Vipi Rais ametoa kauli yoyote juu ya huu mfumuko wa bei ?

Sent from my Redmi Note 3 using JamiiForums mobile app
Leo tunasema kuhusu kilimo ambacho kinaajili asilimia 70 ya watanzania
 
Bei ya mbolea imepanda sana kwenye soko la dunia. Hii si Tanzania tu.

Prof. Mkenda au Bashe, hata mawaziri wabadilishwe, hawawezi kuzuia hilo ukizingatia Tanzania tunategemea mbolea kutoka nje, bei zikipanda nje na hapa lazima zipande.

Njia iliyopo ni subsidies na kwa sasa kwa miradi inayoendelea hakuna hiyo pesa.

Tutegemee uzalishaji kupungua na bei kupanda kwa msimu ujao.
Waziri lazima awe na akili na exposure nimepita Uganda siku 3 zilizopota kwa pesa ya kwao mbolea wananunua shilingi 57 sasa sisi wenye bandari tununue sh ngap
 
Binafsi napata wasiwasi na huyu Waziri ambae elimu yake ni Professor, namuuliza kweli ameshindwa ku handle tatizo la bei ya mbolea nchini..?, na msaidizi wake Bashe ambaye kimsingi ni mkulima inamana Bashe na wewe kwenye mashamba yako unanunua DAP, KAN, UREA 110,000 kwa mahekari yote hayo uliyonayo. Mbona mnafanya makusudi kumchonganish Rais na wananchi.

Mnachokojua wewe na msaidizi wako ni kujiandikia pesa za Gala za taifa waje kanunue mhindi yenu na kuwahadaa WFP kuwa mmenunua kwa wakulima kumbe ni yenu. Mnachofanya hakikubaliki hata kidogo.

Sasa kama mbolea imetoka Elfu 65,000 hadi 110,000 na Waziri upo kazini hadi sasa na hatuoni mabadiliko unataka Rais afanyeje...?

Asilimia 80 ya wapiga kura wa CCM ni wakulima, je unataka wananchi waichukie serikali ya CCM. Muda mwingine hawa walimu wenye ma profesa wabaki vyuoni wafundishe hizi kazi wapewe wataalamu ambao kimsingi wana uwezo mkubwa zaidi wa kiutendaji kuliko hawa walimu wenye u Professor.

Rais Samia wakulima tunaimani na wewe fanya jambo bei ya mbolea. Na hili tunakuomba usimwachie mtu sio PM sio Waziri, ingia mwenyewe front msimu wa kilimo ndio huu ili uiepushe nchi yetu na baa la njaa hapo mwakani.

Rais Samia
#KAZI IENDELEE
Waambie matajiri waache kuiba pesa na kuzificha mabenki ya nje wazirufishe wajenge viwanda ikiwemo vya mbolea ili wakuze uchumi na kuleta ajira kwa vijana na mbolea itashuka bei
 
Waziri anapangaje bei ya Mbolea??..Wewe ukiwa Waziri kwenye hili unafanyaje kwa haraka ili bei ishuke 65k?


Sio kwamba biashara hiyo inajiendesha kwa demand and supply?.
Hapana Waziri anatakiwa atoe vibali watu waagize mbolea kama waliopeea nafasi anatengeneza uhaba Ili wapige pesa Serikali inatakiwa kuingilia kat
 
Binafsi napata wasiwasi na huyu Waziri ambae elimu yake ni Professor, namuuliza kweli ameshindwa ku handle tatizo la bei ya mbolea nchini..?, na msaidizi wake Bashe ambaye kimsingi ni mkulima inamana Bashe na wewe kwenye mashamba yako unanunua DAP, KAN, UREA 110,000 kwa mahekari yote hayo uliyonayo. Mbona mnafanya makusudi kumchonganish Rais na wananchi.

Mnachokojua wewe na msaidizi wako ni kujiandikia pesa za Gala za taifa waje kanunue mhindi yenu na kuwahadaa WFP kuwa mmenunua kwa wakulima kumbe ni yenu. Mnachofanya hakikubaliki hata kidogo.

Sasa kama mbolea imetoka Elfu 65,000 hadi 110,000 na Waziri upo kazini hadi sasa na hatuoni mabadiliko unataka Rais afanyeje...?

Asilimia 80 ya wapiga kura wa CCM ni wakulima, je unataka wananchi waichukie serikali ya CCM. Muda mwingine hawa walimu wenye ma profesa wabaki vyuoni wafundishe hizi kazi wapewe wataalamu ambao kimsingi wana uwezo mkubwa zaidi wa kiutendaji kuliko hawa walimu wenye u Professor.

Rais Samia wakulima tunaimani na wewe fanya jambo bei ya mbolea. Na hili tunakuomba usimwachie mtu sio PM sio Waziri, ingia mwenyewe front msimu wa kilimo ndio huu ili uiepushe nchi yetu na baa la njaa hapo mwakani.

Rais Samia
#KAZI IENDELEE

Masahihisho kidogo mkuu:

Elimu labda ni PhD siyo Professor huo mwingine hausomewi.
 
Back
Top Bottom