Waziri wa Kilimo Profesa Mkenda, unataka Rais Samia akubebeje?

Leo tunasema kuhusu kilimo ambacho kinaajili asilimia 70 ya watanzania
Kilimo ni muhimu sana katika uchumi wa viwanda, ukishindwa kuwekeza kwenye kilimo Taifa linaanguka, linakuwa ombaomba. Swala la mbolea siyo la Mkenda ni swala zima la nchi na mamlaka zake zote kuipa nguvu wizara ya kilimo ili Taifa lipone.

Sent from my Redmi Note 3 using JamiiForums mobile app
 
Nimepokea masihihisho Mkuu


Tuko wote mkuu. Siyo huyu tu. Haijulikani wasomi wetu wakiwamo ma Professor nguli ni nini kimewasibu:

IMG_20210806_053407_437.jpg
 
Mkuu upo sahihi lkn shida ipo kwa wakulima yani hawapendi kutumia mbolea ya Samadi au mboji kwenye kilimo maana kwa upande wa Samadi mifugo inakuwa njee ya zizi kwa zaidi ya masaa 12 kwaiyo ata mbolea anayo kusanya mkulima inakuwa ni ndogo
pia wakulima sio wepesi kutengeneza mbolea ya mboji maana kwa tafiti tulizo fanya imegundulika mboji inafanya kazi sawa na mbolea za chumvi endapo ikiandaliwa vizuri

Mwisho kabisa mkulima anaweza changanya mbolea ya Samadi na zakiwandani kitaalamu tunaita (Microdose) hiyo aina shida kwenye udongo kulinganisha na ile ya kutumia Mbolea ya kiwandani peke yake kwaiyo ni Bora mkulima apewe elimu juu ya matumiz ya mbolea yenye mchanganyiko wa Samadi na zakiwandani
Uko SAHIHI
Lakini suluhisho la kuongeza surplus kwenye kilimo hasa cha Biashara sio kuchanganya mbolea bali ni ku stabilize bei ya mbolea ili walimu na wapate zaidi kubiashara
 
Waambie matajiri waache kuiba pesa na kuzificha mabenki ya nje wazirufishe wajenge viwanda ikiwemo vya mbolea ili wakuze uchumi na kuleta ajira kwa vijana na mbolea itashuka bei
Wanaooba peas ni wanasiasa sio matajiri
Asilimia kubwa ya wezi wa pesa ni wanasiasa Mkuu
 
Uko SAHIHI
Lakini suluhisho la kuongeza surplus kwenye kilimo hasa cha Biashara sio kuchanganya mbolea bali ni ku stabilize bei ya mbolea ili walimu na wapate zaidi kubiashara
Mkuu wizara ilisema kwamba bei ya mbolea itakuwa huria yani kila mdau atapanga bei yake kutokana na gharama za uzalishaji alizotumia kwenye kuzalisha iyo mbolea

Kwaiyo ilo limepita tayali Mkuu kifuatacho ni utekelezaji tuu
 
Aisee hoja zingine bhana!. Kwa logic yako hii Serikali isiangalie hata kupanda kwa bei ya Petrol na Diesel kwa kuwa haini Visima vya Mafuta!!!
Mbona bidhaa kibao Kama mabati cement n.k bila kusahau huduma nyingine Kama ada za shule, zinapanda na hulalamiki kwamba Mawaziri husika wachukuwe hatua?

Umeiona mbolea tu? Nauli hujaziona? Tozo hujaziona? Hoja yako mbona imechagua waziri wa mbolea tu?
 
Mbolea kufika lak na kumi ni kumchafua Waziri tumwambie nani kama mbolea tumepanda..?
Nauli, tozo na bidhaa nyingine madukani mbona pia zimepanda hata kabla ya mbolea na hukusema? Una ajenda yako dhidi ya waziri wa kilimo
 
Mbona bidhaa kibao Kama mabati cement n.k bila kusahau huduma nyingine Kama ada za shule, zinapanda na hulalamiki kwamba Mawaziri husika wachukuwe hatua?

Umeiona mbolea tu? Nauli hujaziona? Tozo hujaziona? Hoja yako mbona imechagua waziri wa mbolea tu?
Mbolea ni uti wa mgongo
Yaani huwezi kuandika humu JF bila chakula
Heshimu sana chakula mzee
 
Nauli, tozo na bidhaa nyingine madukani mbona pia zimepanda hata kabla ya mbolea na hukusema? Una ajenda yako dhidi ya waziri wa kilimo
Mimi nimesema kuhusu mbolea wewe sema kuhusu ayo mengine
 
Mbona bidhaa kibao Kama mabati cement n.k bila kusahau huduma nyingine Kama ada za shule, zinapanda na hulalamiki kwamba Mawaziri husika wachukuwe hatua?

Umeiona mbolea tu? Nauli hujaziona? Tozo hujaziona? Hoja yako mbona imechagua waziri wa mbolea tu?
Soko huria haimaanishi uzalishaji wauze bei juu
Anaweza kuagiza mbolea nje akasaidie ku moderate price na inflation
 
Unabwata bure ndugu yangu. Mbolea bei juu kila mahali. Kenya mfuko ni shs 4000 za kenya x 20shs= shs 80000 elfu. Huo ni mfuko wa chini.
 
Kkwanini
Unabwata bure ndugu yangu. Mbolea bei juu kila mahali. Kenya mfuko ni shs 4000 za kenya x 20shs= shs 80000 elfu. Huo ni mfuko wa chini.
Usiondoke Kodi kwenye mbolea hapo uganda ni Elfu 60 na wanatumia bandari yetu
 
Binafsi napata wasiwasi na huyu Waziri ambae elimu yake ni Professor, namuuliza kweli ameshindwa ku handle tatizo la bei ya mbolea nchini..?, na msaidizi wake Bashe ambaye kimsingi ni mkulima inamana Bashe na wewe kwenye mashamba yako unanunua DAP, KAN, UREA 110,000 kwa mahekari yote hayo uliyonayo. Mbona mnafanya makusudi kumchonganish Rais na wananchi.

Mnachokojua wewe na msaidizi wako ni kujiandikia pesa za Gala za taifa waje kanunue mhindi yenu na kuwahadaa WFP kuwa mmenunua kwa wakulima kumbe ni yenu. Mnachofanya hakikubaliki hata kidogo.

Sasa kama mbolea imetoka Elfu 65,000 hadi 110,000 na Waziri upo kazini hadi sasa na hatuoni mabadiliko unataka Rais afanyeje...?

Kwa sasa bei ya gunia mshindi Elfu 30, viaz 30, maharage 40. Kwa heka moja unatumia mifumo ni 3 ya mbolea bado madawa, vibarua, palizi, uvunaji na usafirishaji. Hii ni kusema ukitaka mkulima hela moja itabidi uuze mahindi gunia 12 hapo ni upate tuu mifuko mi 3 ya mbolea. Kwaio ukitoa ma gharama zingine mkulima atapata wastani wa gunia 3 kama faida yaani Elfu 90 kwa msimu wote wa kilimo. Je hamuoni mnaenda kupunguza wqzalishaji, je namuona mnaenda kuleta baa la njaa..?

Asilimia 80 ya wapiga kura wa CCM ni wakulima, je unataka wananchi waichukie serikali ya CCM. Muda mwingine hawa walimu wenye ma profesa wabaki vyuoni wafundishe hizi kazi wapewe wataalamu ambao kimsingi wana uwezo mkubwa zaidi wa kiutendaji kuliko hawa walimu wenye u Professor.

Rais Samia wakulima tunaimani na wewe fanya jambo bei ya mbolea. Na hili tunakuomba usimwachie mtu sio PM sio Waziri, ingia mwenyewe front msimu wa kilimo ndio huu ili uiepushe nchi yetu na baa la njaa hapo mwakani.

Rais Samia
#KAZI IENDELEE
Safi Hali hii iendelee Ili tuandike katiba upya
 
Huyu waziri ana kiwanda cha mbolea? Acha kuchafua watu.
kwenye vitu nyeti kama hivi si vibaya ukakaa kimya, kuliko kuja kwenye uzi wa watu , unaogusa moja moja maisha ya baba ako na mama ako, na hata huyo ambaye huwa ana kukojoza! na kuweka uharo wako kama huo! uwage na aibuu!! Ovyo! Ovyo! Ovyo kabsa!
 
Back
Top Bottom