AmebwetekaProf. Anaweza kuwa sio fisadi lakini yasiwe hard worker
Ndio maana matatizo hayaishi wizara yake
AmebwetekaProf. Anaweza kuwa sio fisadi lakini yasiwe hard worker
Ndio maana matatizo hayaishi wizara yake
Maprofessor sio watendaji wazuriHawa walimu warudi shule kufundisha kazi wawqachir watendaji
Mpumbavu wewe,kwanza Rais kawasaidia kwenye mahindi amenunua na bei zimepanda sasa,badala ya kuleta upuuzi wa vitisho vya mbu nje ya net kauze mahindi ununue mbolea.Nakama mnatakama wewe mkenda na raisi wako mnataka kutuchezea ss wakulima mtatuona mmekazana kuzurula dar ,dodoma Basi hamna habari na wakulima ninakuapia nitaitisha maandamano nchi nzima kwa ajili ya mbolea
Tutawaona wakati JF kwenyewe unatumia avatarNakama mnatakama wewe mkenda na raisi wako mnataka kutuchezea ss wakulima mtatuona mmekazana kuzurula dar ,dodoma Basi hamna habari na wakulima ninakuapia nitaitisha maandamano nchi nzima kwa ajili ya mbolea
Mpumbavu wewe,kwanza Rais kawasaidia kwenye mahindi amenunua na bei zimepanda sasa,badala ya kuleta upuuzi wa vitisho vya mbu nje ya net kauze mahindi ununue mbolea.
Serikali haihusiki na kupanda bei za mbolea na kamwe haiwezi kuweka ruzuku,sio mara ya kwanza mbolea kupanda 2018 bei zilikuwa 90,000-110,000 na mlinunua .
By the way mama yuko kazini ,moto mtaupata msimu huu ila ujao mambo yatakuwa shwari👇
View attachment 2026372
View attachment 2026373
View attachment 2026374
View attachment 2026375
Hii ni hoja kubwaSerikali isipoweka ruzuku ili kubeba sehemu ya gharama za mbolea,itasababisha majanga.ukienda Zambia bei iko chini,nasikia na huko Kenya pia.sasa mwananchi akiona hivyo,hawezi kuelewa,ni lazima atailaumu tu serikali.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app