Wewe ndo mjinga, unaelazimisha double taxation. Wewe unafahamu tafsiri ya neno tozo?? Halafu mbona siku hizi daktari wa uchumi hatuelezi tozo zimekusanywa kiasi gani na zimefanyia nini?Ndio maana nasema wengi wenu ni wajinga tuu,unapohoji unatakiwa kujua mahitaji ya hayo madarasa ni kiasi gani Kwa shule za msingi na Sekondari..
Covidi ilijenga madarasa 15,000 zikiwemo shule shikizi kwa sekondari na pesa ya tozo ilijenga madarasa zaidi ya 5,000 ya shule ya msingi na shule mpya mpya..
Na nani alikwambia tozo ni Kwa ajili ya madarasa tuu? Tozo ni Kwa ajili ya madarasa,Vituo vya Afya,Zahanati,maji,na barabara..
Unajua bajeti ya vyote hivyo hapo?
Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app