Waziri wa Habari kwanini humtunzi mkeo kama ninavyomtunza wangu? Kwanini mimi mke wangu simfananishi na wako? Je, tukiwaweka sawa watafurahiana?

sifi leo

JF-Expert Member
Mar 30, 2012
5,010
8,355
Nianze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu Mwingi wa Rehema kwa kutuamsha wote tukiwa SALAMA saliminin,lakini pia hata Kwa wale wenye changa moto afya Tumwombe Mungu wetu sote awaponye na kuwarejeshea afya njema.

Nitakuwa kiumbe cha ajabu nisipo mshukuru Mungu kwa AJILI ya walio twaliwa maana nayo hiyo ni kazi ya Mungu na Kila nafsi itaonja mahuti.

Niende kwenye mada!
Wkend hii tunafuifunga kwa kuumizwa na watawala wetu kwanza kwenye TOZO, lakini pia kwenye hii HOja ya gharama za vifurushi baadhi yetu tukilalamikia ongezeko la gharama za vifurushi na wengine tukilalama paspo majibu mazuri kutoka kwa wanao tutoza,

Nianze na la Tozo,hakika kwa kweli Kila serikali na njia yake ya kukusanya mapato utawala wa mwendazake alitamani tufike pahala Kila kitu tukilipie Kodi na kwa nguvu zake alihadi kusmamia Kodi zetu kutuletea unafuu wa maisha Nina hakika alifanikiwa kwa namna fulani kukusanya mapato na kuyasimamia kwa nguvu thabiti.

Lazima tukili yakuwa ukusanyaji wake wa Kodi ulikuwa umejewa na matumizi makubwa ya mabavu ndio maana tangu tupate uhuru ni utawala wa Magufuli Mabilionea wengi kutoka Tanzania walikufa nae hakuwa bilionea lakini alikufa.

Nieleweke vyema sipingi tozo ila napenda kujulishwa mapema tuna funga mkanda kwa ajili ya Nini?nasema hivyo Ili nikiskia tumekusanya kiasi fulani kimeenda kufanya jambo fulani kidogo inatia tija kwa mlipa Kodi,hakuna kitu kinaumiza unalipa Kodi inaishia mfukoni kwa mtu uliyemwajili kwa kumpigia kura.

Tena anakula Kodi yangu Kwa kuiiba. Kuna tozo tuliambiwa imejenga madrasa, haikuwa mbaya hata kama Sina moto wa kusoma huko.
Kimsingi waziri wa fedha anaitajika kutoa elimu kwa watanzania na Sio kujifungia ofisini na kuja na vitu vya ajabu ajabu huku akionekana kwenye Runinga akitukebei yakuwa hasiyetaka kulipa TOZO aende Burundi Ili Sio jibu sahihi kwa wananchi wa nchi yetu.nitumie fursa hii kumkumbusha yakuwa Waziri MAREHEMU Bazil Mramba aliwai toa kauli ya kebei yakuwa hata tule NYASI ndege ya Raisi lazma inunuliwe, kilichofatia ni Waziri aliyewai kuukumiwa kwa matumizi mabaya ya MADARAKA.

Nakumbuka Magufuli aliwai kuwambia wananchi wa kigamboni watalipia kivuko hawatiki wapige mbizi, hatimae alikuwa ni Raisi wa kwanza kufia madarakni.
Mwigulu EPUKA kiburi mkuu chutama.

Moja ya Somo nililofundishwa na Kasisi mmoja kabla ya kufunga ndoa lilikuwa ni kumtumza mke wangu wa ndoa leo namuita mama Francis, enzi hizo kabla yakuwa nisimtumze kama vile rafiki yangu anavyo mtunza mke wake, kamwe,na nisije diriki kummwambia mke. Wangu mfano,mke wangu mama Francis mbona ukati kiuno kama mama fredina mke Nape Naye?

Nisidiriki kumwambia mke wangu mbona ulembui jicho lako kama mke wa Nape Naye?

Sikumuoa mke wangu kwa kumwambia au kumuaidi yakuwa nitamtumza kama mke wa Nape Naye, ningefanya hivyo pengine mke wangu hasingekubali kamwe, na nina hakika kama ningelimuadi yakuwa mke wangu Nina kuoa Leo ila ntakuwa nasonga ugali uku nikiwa nimevaa pensi na kupiga picha na kutupia kwenye mitandao ya kijamii walah nimjuavyo mke wangu siku hiyo hiyo ndoa hisingefungwa.

Kwa vijana ambao hamjafunga ndoa niwasihi usje kamwe ujaingia kwenye ndoa kwa kumuaidi mchumba wako yakuwa utaishi hivi nae kama ambavyo Mimi sifileo naishi na mama yenu Mama Francis, hiyo ndoa haitodumu kamwe itavunjika na itakufa ingawa haitozikwa maana hakuna kaburi la kuzika ndoa zaidi ya moyoni,(jukumu la ovyo kwa moyo siku hizi mwisho wake ni mahuti,jukumu mahususi la moyo ni kusukuma damu).

Inawezekana sieleweki ndugu wasomaji wa Andiko langu la jumapili ya TAREHE 21/08/2022, kutokana na kuvalisha lugha maneno niyaandikayo, ni hivi sisi watanzania hatuichagui ccm kwa Ili ije ituletee maendeleo kutoka hapa tulipo itufanye kuwa kama marekani,au hata hapo jirani Kenya.

Tunachagua viongozi tutakapo shirikiana nao kuleta maendeleo yanayoendana na Hali halisi ya uchumi, Mila desturi zetu na sio kinyume Cha hapo.

Ccm haipigiwi kura kwa sababu ya kuja kututoza Kodi kwa mfano wa nchi fulani paspo kutushirikisha sisi watanzania,haiwezekani Waziri wa Habari mfano nape aambiwe mkeo mbona anakula sana ajitokeze adhalani ajibu ''eti mke wake anakula sana Kwa sbabu mke wa sifi Leo anakula sana sana kuliko wa mkewe this is rubish feedback from the husband.

Unaulizwa kwanini gharama za vifurushi zinapanda Kila kukicha ,unajiibu eti'' kwa Tanzania hazipandi kama Kenya Uganda na rwannda,Wewe ulichaguliwa Ili utuendeshe kama wakenya?waganda?
Nisikuchoshe ndugu msomajo niwaombe watanzania tufanye yafatayo!

Tukubali kuhesabiwa kesho kutwa,pili tuyakatae maviongozi mithili ya Nape Nauye,na Mwigulu Mchemba hata watakao teuliwa tuwakatae hata watakapo teuliwa na hata tukilazmishwa na wateule wao basi tuwakatae wateule wao.

Ni andiko langu la kwanza la Jumapili ya TAREHE 21/08/2022.niwatakie jumapili njema na yenye Baraka Mungu awatangulie WanaJf wote mlio hai na hata waliotangulia mbele za Muumba usiku wa leo.
 
Nianze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu Mwingi wa Rehema kwa kutuamsha wote tukiwa SALAMA saliminin,lakini pia hata Kwa wale wenye changa moto afya Tumwombe Mungu wetu sote awaponye na kuwarejeshea afya njema.

Nitakuwa kiumbe Cha ajabu nisipo mshukuru Mungu kwa AJILI ya walio twaliwa maana nayo hiyo ni kazi ya Mungu na Kila nafsi itaonja mahuti.

Niende kwenye mada!
Wkend hii tunafuifunga kwa kuumizwa na watawala wetu kwanza kwenye TOZO, lakini pia kwenye hii HOja ya gharama za vifurushi baadhi yetu tukilalamikia ongezeko la gharama za vifurushi na wengine tukilalama paspo majibu mazuri kutoka kwa wanao tutoza,

Nianze na la Tozo,hakika kwa kweli Kila serikali na njia yake ya kukusanya mapato utawala wa mwendazake alitamani tufike pahala Kila kitu tukilipie Kodi na kwa nguvu zake alihadi kusmamia Kodi zetu kutuletea unafuu wa maisha Nina hakika alifanikiwa kwa namna fulani kukusanya mapato na kuyasimamia kwa nguvu thabiti.

Lazima tukili yakuwa ukusanyaji wake wa Kodi ulikuwa umejewa na matumizi makubwa ya mabavu ndio maana tangu tupate uhuru ni utawala wa Magufuli Mabilionea wengi kutoka Tanzania walikufa nae hakuwa bilionea lakini alikufa.
Nieleweke vyema sipingi tozo ila napenda kujulishwa mapema tuna funga mkanda kwa ajili ya Nini?nasema hivyo Ili nikiskia tumekusanya kiasi fulani kimeenda kufanya jambo fulani kidogo inatia tija kwa mlipa Kodi,hakuna kitu kinaumiza unalipa Kodi inaishia mfukoni kwa mtu uliyemwajili kwa kumpigia kura.tena anakula Kodi yangu Kwa kuiiba. Kuna tozo tuliambiwa imejenga madrasa, haikuwa mbaya hata kama Sina moto wa kusoma huko.
Kimsingi waziri wa fedha anaitajika kutoa elimu kwa watanzania na Sio kujifungia ofisini na kuja na vitu vya ajabu ajabu huku akionekana kwenye Runinga akitukebei yakuwa hasiyetaka kulipa TOZO aende Burundi Ili Sio jibu sahihi kwa wananchi wa nchi yetu.nitumie fursa hii kumkumbusha yakuwa Waziri MAREHEMU Bazil Mramba aliwai toa kauli ya kebei yakuwa hata tule NYASI ndege ya Raisi lazma inunuliwe, kilichofatia ni Waziri aliyewai kuukumiwa kwa matumizi mabaya ya MADARAKA.
Nakumbuka Magufuli aliwai kuwambia wananchi wa kigamboni watalipia kivuko hawatiki wapige mbizi, hatimae alikuwa ni Raisi wa kwanza kufia madarakni.
Mwigulu EPUKA kiburi mkuu chutama.

Moja ya SoMo nilirofundishwa na Kasisi mmoja kabla ya kufunga ndoa lilikuwa ni kumtumza mke wangu wa ndoa leo namuita mama Francis,enzi hizo kabla yakuwa nisimtumze kama vile rafiki yangu anavyo mtunza mke wake,kamwe,na nisije diriki kummwambia mke. Wangu mfano,mke wangu mama Francis mbona ukati kiuno kama mama fredina mke Nape Naye?

Nisidiriki kumwambia mke wangu mbona ulembui jicho lako kama mke wa Nape Naye?

Sikumuoa mke wangu kwa kumwambia au kumuaidi yakuwa nitamtumza kama mke wa Nape Naye, ningefanya hivyo pengine mke wangu hasingekubali kamwe,na Nina hakika kama ningelimuadi yakuwa mke wangu Nina kuoa Leo ila ntakuwa nasonga ugali uku nikiwa nimevaa pensi na kupiga picha na kutupia kwenye mitandao ya kijamii walah nimjuavyo mke wangu siku hiyo hiyo ndoa hisingefungwa.

Kwa vijana ambao hamjafunga ndoa niwasihi usje kamwe ujaingia kwenye ndoa kwa kumuaidi mchumba wako yakuwa utaishi hivi nae kama ambavyo Mimi sifileo naishi na mama yenu Mama Francis,hiyo ndoa haitodumu kamwe itavunjika na itakufa ingawa haitozikwa maana hakuna kaburi la kuzika ndoa zaidi ya moyoni,(jukumu la ovyo kwa moyo siku hizi mwisho wake ni mahuti,jukumu mahususi la moyo ni kusukuma damu).

Inawezekana sieleweki ndugu wasomaji wa Andiko langu la jumapili ya TAREHE 21/08/2022,kutokana na kuvalisha lugha maneno niyaandikayo, ni hivi sisi watanzania hatuichagui ccm kwa Ili ije ituletee maendeleo kutoka hapa tulipo itufanye kuwa kama marekani,au hata hapo jirani Kenya.

Tunachagua viongozi tutakapo shirikiana nao kuleta maendeleo yanayoendana na Hali halisi ya uchumi,Mila desturi zetu na sio kinyume Cha hapo.

Ccm haipigiwi kura kwa sababu ya kuja kututoza Kodi kwa mfano wa nchi fulani paspo kutushirikisha sisi watanzania,haiwezekani Waziri wa Habari mfano nape aambiwe mkeo mbona anakula sana ajitokeze adhalani ajibu ''eti mke wake anakula sana Kwa sbabu mke wa sifi Leo anakula sana sana kuliko wa mkewe this is rubish feedback from the husband.
Unaulizwa kwa nn gharama za vifurushi zinapanda Kila kukicha ,unajiibu eti'' kwa Tanzania hazipandi kama Kenya Uganda na rwannda,Wewe ulichaguliwa Ili utuendeshe kama wakenya?waganda?
Nisikuchoshe ndugu msomajo niwaombe watanzania tufanye yafatayo!

Tukubali kuhesabiwa kesho kutwa,pili tuyakatae maviongozi mithili ya Nape Nauye,na Mwigulu Mchemba hata watakao teuliwa tuwakatae hata watakapo teuliwa na hata tukilazmishwa na wateule wao basi tuwakatae wateule wao.

Ni andiko langu la kwanza la jumapili ya TAREHE 21/08/2022.niwatakie jumapili njema na yenye Baraka Mungu awatangulie Wana Jf wote mlio hai na hata walio tangulia mbele za Muumba usku wa leo.
Nakubaliana na wewe. Viongozi wetu wanajilinganisha na nchi jirani wanapofanya mambo ya kuumiza wananchi, lakini nchi jirani ikifanya mazuri hatuoni wakiiga. Tumewauliza, mmeona uchaguzi wa Kenya ulivyo wazi? Tunataka tume kama ya Chibukati. Lakini majibu yao; hii ni Tanzania na ile ni Kenya kila nchi ina utamaduni wake. Limekuja la gharama za vifurushi wanajilinganisha na Kenya hiyo hiyo. What a nonsense?????
 
Nakubaliana na wewe. Viongozi wetu wanajilinganisha na nchi jirani wanapofanya mambo ya kuumiza wananchi, lakini nchi jirani ikifanya mazuri hatuoni wakiiga. Tumewauliza, mmeona uchaguzi wa Kenya ulivyo wazi? Tunataka tume kama ya Chibukati. Lakini majibu yao; hii ni Tanzania na ile ni Kenya kila nchi ina utamaduni wake. Limekuja la gharama za vifurushi wanajilinganisha na Kenya hiyo hiyo. What a nonsense?????
Always wanatumia mifano ya kunufaisha kauli zao za kikatili ili ziharalishwe nchini, mara ohoooo fuel hata Zambia imepanda!,ila hawasemi why wenzetu wananunua kwa 28ZWK per Lita wakati sisi ni 3500Tshs per Lita na wanatumezesha kuwa 28=3500!!na mazuzu humu wanaona hizo tarakimu zinafanana!
 
Always wanatumia mifano ya kunufaisha kauli zao za kikatili ili ziharalishwe nchini, mara ohoooo fuel hata Zambia imepanda!,ila hawasemi why wenzetu wananunua kwa 28ZWK per Lita wakati sisi ni 3500Tshs per Lita na wanatumezesha kuwa 28=3500!!na mazuzu humu wanaona hizo tarakimu zinafanana!
Wewe ndiye Zuzu! Unajua exchange rate ya Zambian Kwacha kwa Tzs ikoje? Kwa hiyo unaona 28ZKW ni nafuu kuliko hapa kwetu?
 
Nianze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu Mwingi wa Rehema kwa kutuamsha wote tukiwa SALAMA saliminin,lakini pia hata Kwa wale wenye changa moto afya Tumwombe Mungu wetu sote awaponye na kuwarejeshea afya njema.

Nitakuwa kiumbe cha ajabu nisipo mshukuru Mungu kwa AJILI ya walio twaliwa maana nayo hiyo ni kazi ya Mungu na Kila nafsi itaonja mahuti.

Niende kwenye mada!
Wkend hii tunafuifunga kwa kuumizwa na watawala wetu kwanza kwenye TOZO, lakini pia kwenye hii HOja ya gharama za vifurushi baadhi yetu tukilalamikia ongezeko la gharama za vifurushi na wengine tukilalama paspo majibu mazuri kutoka kwa wanao tutoza,

Nianze na la Tozo,hakika kwa kweli Kila serikali na njia yake ya kukusanya mapato utawala wa mwendazake alitamani tufike pahala Kila kitu tukilipie Kodi na kwa nguvu zake alihadi kusmamia Kodi zetu kutuletea unafuu wa maisha Nina hakika alifanikiwa kwa namna fulani kukusanya mapato na kuyasimamia kwa nguvu thabiti.

Lazima tukili yakuwa ukusanyaji wake wa Kodi ulikuwa umejewa na matumizi makubwa ya mabavu ndio maana tangu tupate uhuru ni utawala wa Magufuli Mabilionea wengi kutoka Tanzania walikufa nae hakuwa bilionea lakini alikufa.

Nieleweke vyema sipingi tozo ila napenda kujulishwa mapema tuna funga mkanda kwa ajili ya Nini?nasema hivyo Ili nikiskia tumekusanya kiasi fulani kimeenda kufanya jambo fulani kidogo inatia tija kwa mlipa Kodi,hakuna kitu kinaumiza unalipa Kodi inaishia mfukoni kwa mtu uliyemwajili kwa kumpigia kura.

Tena anakula Kodi yangu Kwa kuiiba. Kuna tozo tuliambiwa imejenga madrasa, haikuwa mbaya hata kama Sina moto wa kusoma huko.
Kimsingi waziri wa fedha anaitajika kutoa elimu kwa watanzania na Sio kujifungia ofisini na kuja na vitu vya ajabu ajabu huku akionekana kwenye Runinga akitukebei yakuwa hasiyetaka kulipa TOZO aende Burundi Ili Sio jibu sahihi kwa wananchi wa nchi yetu.nitumie fursa hii kumkumbusha yakuwa Waziri MAREHEMU Bazil Mramba aliwai toa kauli ya kebei yakuwa hata tule NYASI ndege ya Raisi lazma inunuliwe, kilichofatia ni Waziri aliyewai kuukumiwa kwa matumizi mabaya ya MADARAKA.

Nakumbuka Magufuli aliwai kuwambia wananchi wa kigamboni watalipia kivuko hawatiki wapige mbizi, hatimae alikuwa ni Raisi wa kwanza kufia madarakni.
Mwigulu EPUKA kiburi mkuu chutama.

Moja ya Somo nililofundishwa na Kasisi mmoja kabla ya kufunga ndoa lilikuwa ni kumtumza mke wangu wa ndoa leo namuita mama Francis, enzi hizo kabla yakuwa nisimtumze kama vile rafiki yangu anavyo mtunza mke wake, kamwe,na nisije diriki kummwambia mke. Wangu mfano,mke wangu mama Francis mbona ukati kiuno kama mama fredina mke Nape Naye?

Nisidiriki kumwambia mke wangu mbona ulembui jicho lako kama mke wa Nape Naye?

Sikumuoa mke wangu kwa kumwambia au kumuaidi yakuwa nitamtumza kama mke wa Nape Naye, ningefanya hivyo pengine mke wangu hasingekubali kamwe, na nina hakika kama ningelimuadi yakuwa mke wangu Nina kuoa Leo ila ntakuwa nasonga ugali uku nikiwa nimevaa pensi na kupiga picha na kutupia kwenye mitandao ya kijamii walah nimjuavyo mke wangu siku hiyo hiyo ndoa hisingefungwa.

Kwa vijana ambao hamjafunga ndoa niwasihi usje kamwe ujaingia kwenye ndoa kwa kumuaidi mchumba wako yakuwa utaishi hivi nae kama ambavyo Mimi sifileo naishi na mama yenu Mama Francis, hiyo ndoa haitodumu kamwe itavunjika na itakufa ingawa haitozikwa maana hakuna kaburi la kuzika ndoa zaidi ya moyoni,(jukumu la ovyo kwa moyo siku hizi mwisho wake ni mahuti,jukumu mahususi la moyo ni kusukuma damu).

Inawezekana sieleweki ndugu wasomaji wa Andiko langu la jumapili ya TAREHE 21/08/2022, kutokana na kuvalisha lugha maneno niyaandikayo, ni hivi sisi watanzania hatuichagui ccm kwa Ili ije ituletee maendeleo kutoka hapa tulipo itufanye kuwa kama marekani,au hata hapo jirani Kenya.

Tunachagua viongozi tutakapo shirikiana nao kuleta maendeleo yanayoendana na Hali halisi ya uchumi, Mila desturi zetu na sio kinyume Cha hapo.

Ccm haipigiwi kura kwa sababu ya kuja kututoza Kodi kwa mfano wa nchi fulani paspo kutushirikisha sisi watanzania,haiwezekani Waziri wa Habari mfano nape aambiwe mkeo mbona anakula sana ajitokeze adhalani ajibu ''eti mke wake anakula sana Kwa sbabu mke wa sifi Leo anakula sana sana kuliko wa mkewe this is rubish feedback from the husband.

Unaulizwa kwanini gharama za vifurushi zinapanda Kila kukicha ,unajiibu eti'' kwa Tanzania hazipandi kama Kenya Uganda na rwannda,Wewe ulichaguliwa Ili utuendeshe kama wakenya?waganda?
Nisikuchoshe ndugu msomajo niwaombe watanzania tufanye yafatayo!

Tukubali kuhesabiwa kesho kutwa,pili tuyakatae maviongozi mithili ya Nape Nauye,na Mwigulu Mchemba hata watakao teuliwa tuwakatae hata watakapo teuliwa na hata tukilazmishwa na wateule wao basi tuwakatae wateule wao.

Ni andiko langu la kwanza la Jumapili ya TAREHE 21/08/2022.niwatakie jumapili njema na yenye Baraka Mungu awatangulie WanaJf wote mlio hai na hata waliotangulia mbele za Muumba usiku wa leo.
Kuendesha Nchi sio sawa na kuendesha familia..

Mara kadhaa miswaada inawekwa wazi mtoe Maoni mko busy na porno na mipira then sheria ikipita na utekelezaji kuanza ndio mnaanza kuja na nyuzi za kipuuzi na kulaumu viongozi..

Saizi pia kuna mswaada wa mabadiliko ya sheria za manunuzi mnatakiwa kutoa maoni ila mnajifanya haiwahusu ila siku ilipitishwa ndio mnatoka mashimoni..

Ni hivi Jana Mwanasheria mkuu kasema sheria ya tozo ilipitishwa kwa njia halali na kama mnaona haifai anzisheni mchakato ule ule halali..

Mwisho so far sijaona tatizo la tozo kwa sababu mwenye kipato kikubwa anachangia zaidi na mwenye kipato kidogo hivyo hivyo ,hii ni principal ya Kodi Duniani kote na haimuumizi mtu..

Good enough tozo ziko na malengo specific na matokeo yanaonekana kwa mfano mwaka mmja uliopita Serikali imejenga vituo vya afya 252 kwa tozo,hivi vi buku buku kila mtu angebakia nazo angenunua Hata baiskeli?

Hiyo ni sekta moja tuu ila tozo zimejenga madarasa ya shule ya msingi zaidi ya 5,000,maji Vijijini zaidi ya miradi 700, pesa za Tarura mnaona Vijijini sasa kuna barabara so kuna tatizo gani hapo?

Narudia tena hizi makelele ni za watu wabinafsi wa mjini ambao hawajawahi kwenda Vijijini wakaona Hali ya maisha ilivyo ngumu..

Hawa Hawa wa mjini wako tayari kuona wakulima wa Vijijini wanaharibikiwa Mazao au wanauza kwa Bei ya chini Ili wao wa Mijini wafaidi jasho la wengine,huu ni zaidi ya ukupe..

Naapa ningekuwa Rais Kamwe nisingewasikiliza na Hakika ningetumia nguvu hata kuhakikisha mambo yanaenda..Hakuna maendeleo ya lelemama na wakati Mwigulu akileta hili waO kwa mara ya kwanza alitolea mifano ya maisha ya Vijijini..

Mtu anaumwa asafiri km zaidi ya 100 kwenda mjini kujifungua,hii haikubaliki.. Serikali shikilieni msimamo huo huo labda kikubwa mtoke tuu kuwaeleza kwa nini mnaweka tozo..
 
Nianze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu Mwingi wa Rehema kwa kutuamsha wote tukiwa SALAMA saliminin,lakini pia hata Kwa wale wenye changa moto afya Tumwombe Mungu wetu sote awaponye na kuwarejeshea afya njema.

Nitakuwa kiumbe cha ajabu nisipo mshukuru Mungu kwa AJILI ya walio twaliwa maana nayo hiyo ni kazi ya Mungu na Kila nafsi itaonja mahuti.

Niende kwenye mada!
Wkend hii tunafuifunga kwa kuumizwa na watawala wetu kwanza kwenye TOZO, lakini pia kwenye hii HOja ya gharama za vifurushi baadhi yetu tukilalamikia ongezeko la gharama za vifurushi na wengine tukilalama paspo majibu mazuri kutoka kwa wanao tutoza,

Nianze na la Tozo,hakika kwa kweli Kila serikali na njia yake ya kukusanya mapato utawala wa mwendazake alitamani tufike pahala Kila kitu tukilipie Kodi na kwa nguvu zake alihadi kusmamia Kodi zetu kutuletea unafuu wa maisha Nina hakika alifanikiwa kwa namna fulani kukusanya mapato na kuyasimamia kwa nguvu thabiti.

Lazima tukili yakuwa ukusanyaji wake wa Kodi ulikuwa umejewa na matumizi makubwa ya mabavu ndio maana tangu tupate uhuru ni utawala wa Magufuli Mabilionea wengi kutoka Tanzania walikufa nae hakuwa bilionea lakini alikufa.

Nieleweke vyema sipingi tozo ila napenda kujulishwa mapema tuna funga mkanda kwa ajili ya Nini?nasema hivyo Ili nikiskia tumekusanya kiasi fulani kimeenda kufanya jambo fulani kidogo inatia tija kwa mlipa Kodi,hakuna kitu kinaumiza unalipa Kodi inaishia mfukoni kwa mtu uliyemwajili kwa kumpigia kura.

Tena anakula Kodi yangu Kwa kuiiba. Kuna tozo tuliambiwa imejenga madrasa, haikuwa mbaya hata kama Sina moto wa kusoma huko.
Kimsingi waziri wa fedha anaitajika kutoa elimu kwa watanzania na Sio kujifungia ofisini na kuja na vitu vya ajabu ajabu huku akionekana kwenye Runinga akitukebei yakuwa hasiyetaka kulipa TOZO aende Burundi Ili Sio jibu sahihi kwa wananchi wa nchi yetu.nitumie fursa hii kumkumbusha yakuwa Waziri MAREHEMU Bazil Mramba aliwai toa kauli ya kebei yakuwa hata tule NYASI ndege ya Raisi lazma inunuliwe, kilichofatia ni Waziri aliyewai kuukumiwa kwa matumizi mabaya ya MADARAKA.

Nakumbuka Magufuli aliwai kuwambia wananchi wa kigamboni watalipia kivuko hawatiki wapige mbizi, hatimae alikuwa ni Raisi wa kwanza kufia madarakni.
Mwigulu EPUKA kiburi mkuu chutama.

Moja ya Somo nililofundishwa na Kasisi mmoja kabla ya kufunga ndoa lilikuwa ni kumtumza mke wangu wa ndoa leo namuita mama Francis, enzi hizo kabla yakuwa nisimtumze kama vile rafiki yangu anavyo mtunza mke wake, kamwe,na nisije diriki kummwambia mke. Wangu mfano,mke wangu mama Francis mbona ukati kiuno kama mama fredina mke Nape Naye?

Nisidiriki kumwambia mke wangu mbona ulembui jicho lako kama mke wa Nape Naye?

Sikumuoa mke wangu kwa kumwambia au kumuaidi yakuwa nitamtumza kama mke wa Nape Naye, ningefanya hivyo pengine mke wangu hasingekubali kamwe, na nina hakika kama ningelimuadi yakuwa mke wangu Nina kuoa Leo ila ntakuwa nasonga ugali uku nikiwa nimevaa pensi na kupiga picha na kutupia kwenye mitandao ya kijamii walah nimjuavyo mke wangu siku hiyo hiyo ndoa hisingefungwa.

Kwa vijana ambao hamjafunga ndoa niwasihi usje kamwe ujaingia kwenye ndoa kwa kumuaidi mchumba wako yakuwa utaishi hivi nae kama ambavyo Mimi sifileo naishi na mama yenu Mama Francis, hiyo ndoa haitodumu kamwe itavunjika na itakufa ingawa haitozikwa maana hakuna kaburi la kuzika ndoa zaidi ya moyoni,(jukumu la ovyo kwa moyo siku hizi mwisho wake ni mahuti,jukumu mahususi la moyo ni kusukuma damu).

Inawezekana sieleweki ndugu wasomaji wa Andiko langu la jumapili ya TAREHE 21/08/2022, kutokana na kuvalisha lugha maneno niyaandikayo, ni hivi sisi watanzania hatuichagui ccm kwa Ili ije ituletee maendeleo kutoka hapa tulipo itufanye kuwa kama marekani,au hata hapo jirani Kenya.

Tunachagua viongozi tutakapo shirikiana nao kuleta maendeleo yanayoendana na Hali halisi ya uchumi, Mila desturi zetu na sio kinyume Cha hapo.

Ccm haipigiwi kura kwa sababu ya kuja kututoza Kodi kwa mfano wa nchi fulani paspo kutushirikisha sisi watanzania,haiwezekani Waziri wa Habari mfano nape aambiwe mkeo mbona anakula sana ajitokeze adhalani ajibu ''eti mke wake anakula sana Kwa sbabu mke wa sifi Leo anakula sana sana kuliko wa mkewe this is rubish feedback from the husband.

Unaulizwa kwanini gharama za vifurushi zinapanda Kila kukicha ,unajiibu eti'' kwa Tanzania hazipandi kama Kenya Uganda na rwannda,Wewe ulichaguliwa Ili utuendeshe kama wakenya?waganda?
Nisikuchoshe ndugu msomajo niwaombe watanzania tufanye yafatayo!

Tukubali kuhesabiwa kesho kutwa,pili tuyakatae maviongozi mithili ya Nape Nauye,na Mwigulu Mchemba hata watakao teuliwa tuwakatae hata watakapo teuliwa na hata tukilazmishwa na wateule wao basi tuwakatae wateule wao.

Ni andiko langu la kwanza la Jumapili ya TAREHE 21/08/2022.niwatakie jumapili njema na yenye Baraka Mungu awatangulie WanaJf wote mlio hai na hata waliotangulia mbele za Muumba usiku wa leo.
Tutafika mwisho sasa hivi, ujanja mwingi mbele kiza,
 
Kuendesha Nchi sio sawa na kuendesha familia..

Mara kadhaa miswaada inawekwa wazi mtoe Maoni mko busy na porno na mipira then sheria ikipita na utekelezaji kuanza ndio mnaanza kuja na nyuzi za kipuuzi na kulaumu viongozi..

Saizi pia kuna mswaada wa mabadiliko ya sheria za manunuzi mnatakiwa kutoa maoni ila mnajifanya haiwahusu ila siku ilipitishwa ndio mnatoka mashimoni..

Ni hivi Jana Mwanasheria mkuu kasema sheria ya tozo ilipitishwa kwa njia halali na kama mnaona haifai anzisheni mchakato ule ule halali..

Mwisho so far sijaona tatizo la tozo kwa sababu mwenye kipato kikubwa anachangia zaidi na mwenye kipato kidogo hivyo hivyo ,hii ni principal ya Kodi Duniani kote na haimuumizi mtu..

Good enough tozo ziko na malengo specific na matokeo yanaonekana kwa mfano mwaka mmja uliopita Serikali imejenga vituo vya afya 252 kwa tozo,hivi vi buku buku kila mtu angebakia nazo angenunua Hata baiskeli?

Hiyo ni sekta moja tuu ila tozo zimejenga madarasa ya shule ya msingi zaidi ya 5,000,maji Vijijini zaidi ya miradi 700, pesa za Tarura mnaona Vijijini sasa kuna barabara so kuna tatizo gani hapo?

Narudia tena hizi makelele ni za watu wabinafsi wa mjini ambao hawajawahi kwenda Vijijini wakaona Hali ya maisha ilivyo ngumu..

Hawa Hawa wa mjini wako tayari kuona wakulima wa Vijijini wanaharibikiwa Mazao au wanauza kwa Bei ya chini Ili wao wa Mijini wafaidi jasho la wengine,huu ni zaidi ya ukupe..

Naapa ningekuwa Rais Kamwe nisingewasikiliza na Hakika ningetumia nguvu hata kuhakikisha mambo yanaenda..Hakuna maendeleo ya lelemama na wakati Mwigulu akileta hili waO kwa mara ya kwanza alitolea mifano ya maisha ya Vijijini..

Mtu anaumwa asafiri km zaidi ya 100 kwenda mjini kujifungua,hii haikubaliki.. Serikali shikilieni msimamo huo huo labda kikubwa mtoke tuu kuwaeleza kwa nini mnaweka tozo..
Hela ya tozo ilijenga madarasa, na hela ya COVID ilijenga madarasa, Kisha hela ya tozo ilijenga nini Tena baada ya kusaidiwa na hela ya COVID?

Mbona inatumika nguvu nyingi kutangaxa zoezi la sensa, kwanini hii misaada na yenyewe haitangazwi kwa nguvu Ili wananchi wajue na washiriki na watoe maoni yao?? Miswada ya kisheria inatangazwa kisirisiri,


Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
 
Hela ya tozo ilijenga madarasa, na hela ya COVID ilijenga madarasa, Kisha hela ya tozo ilijenga nini Tena baada ya kusaidiwa na hela ya COVID?

Mbona inatumika nguvu nyingi kutangaxa zoezi la sensa, kwanini hii misaada na yenyewe haitangazwi kwa nguvu Ili wananchi wajue na washiriki na watoe maoni yao?? Miswada ya kisheria inatangazwa kisirisiri,


Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
Ndio maana nasema wengi wenu ni wajinga tuu,unapohoji unatakiwa kujua mahitaji ya hayo madarasa ni kiasi gani Kwa shule za msingi na Sekondari..

Covidi ilijenga madarasa 15,000 zikiwemo shule shikizi kwa sekondari na pesa ya tozo ilijenga madarasa zaidi ya 5,000 ya shule ya msingi na shule mpya mpya..

Na nani alikwambia tozo ni Kwa ajili ya madarasa tuu? Tozo ni Kwa ajili ya madarasa,Vituo vya Afya,Zahanati,maji,na barabara..

Unajua bajeti ya vyote hivyo hapo?
 
Nianze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu Mwingi wa Rehema kwa kutuamsha wote tukiwa SALAMA saliminin,lakini pia hata Kwa wale wenye changa moto afya Tumwombe Mungu wetu sote awaponye na kuwarejeshea afya njema.

Nitakuwa kiumbe cha ajabu nisipo mshukuru Mungu kwa AJILI ya walio twaliwa maana nayo hiyo ni kazi ya Mungu na Kila nafsi itaonja mahuti.

Niende kwenye mada!
Wkend hii tunafuifunga kwa kuumizwa na watawala wetu kwanza kwenye TOZO, lakini pia kwenye hii HOja ya gharama za vifurushi baadhi yetu tukilalamikia ongezeko la gharama za vifurushi na wengine tukilalama paspo majibu mazuri kutoka kwa wanao tutoza,

Nianze na la Tozo,hakika kwa kweli Kila serikali na njia yake ya kukusanya mapato utawala wa mwendazake alitamani tufike pahala Kila kitu tukilipie Kodi na kwa nguvu zake alihadi kusmamia Kodi zetu kutuletea unafuu wa maisha Nina hakika alifanikiwa kwa namna fulani kukusanya mapato na kuyasimamia kwa nguvu thabiti.

Lazima tukili yakuwa ukusanyaji wake wa Kodi ulikuwa umejewa na matumizi makubwa ya mabavu ndio maana tangu tupate uhuru ni utawala wa Magufuli Mabilionea wengi kutoka Tanzania walikufa nae hakuwa bilionea lakini alikufa.

Nieleweke vyema sipingi tozo ila napenda kujulishwa mapema tuna funga mkanda kwa ajili ya Nini?nasema hivyo Ili nikiskia tumekusanya kiasi fulani kimeenda kufanya jambo fulani kidogo inatia tija kwa mlipa Kodi,hakuna kitu kinaumiza unalipa Kodi inaishia mfukoni kwa mtu uliyemwajili kwa kumpigia kura.

Tena anakula Kodi yangu Kwa kuiiba. Kuna tozo tuliambiwa imejenga madrasa, haikuwa mbaya hata kama Sina moto wa kusoma huko.
Kimsingi waziri wa fedha anaitajika kutoa elimu kwa watanzania na Sio kujifungia ofisini na kuja na vitu vya ajabu ajabu huku akionekana kwenye Runinga akitukebei yakuwa hasiyetaka kulipa TOZO aende Burundi Ili Sio jibu sahihi kwa wananchi wa nchi yetu.nitumie fursa hii kumkumbusha yakuwa Waziri MAREHEMU Bazil Mramba aliwai toa kauli ya kebei yakuwa hata tule NYASI ndege ya Raisi lazma inunuliwe, kilichofatia ni Waziri aliyewai kuukumiwa kwa matumizi mabaya ya MADARAKA.

Nakumbuka Magufuli aliwai kuwambia wananchi wa kigamboni watalipia kivuko hawatiki wapige mbizi, hatimae alikuwa ni Raisi wa kwanza kufia madarakni.
Mwigulu EPUKA kiburi mkuu chutama.

Moja ya Somo nililofundishwa na Kasisi mmoja kabla ya kufunga ndoa lilikuwa ni kumtumza mke wangu wa ndoa leo namuita mama Francis, enzi hizo kabla yakuwa nisimtumze kama vile rafiki yangu anavyo mtunza mke wake, kamwe,na nisije diriki kummwambia mke. Wangu mfano,mke wangu mama Francis mbona ukati kiuno kama mama fredina mke Nape Naye?

Nisidiriki kumwambia mke wangu mbona ulembui jicho lako kama mke wa Nape Naye?

Sikumuoa mke wangu kwa kumwambia au kumuaidi yakuwa nitamtumza kama mke wa Nape Naye, ningefanya hivyo pengine mke wangu hasingekubali kamwe, na nina hakika kama ningelimuadi yakuwa mke wangu Nina kuoa Leo ila ntakuwa nasonga ugali uku nikiwa nimevaa pensi na kupiga picha na kutupia kwenye mitandao ya kijamii walah nimjuavyo mke wangu siku hiyo hiyo ndoa hisingefungwa.

Kwa vijana ambao hamjafunga ndoa niwasihi usje kamwe ujaingia kwenye ndoa kwa kumuaidi mchumba wako yakuwa utaishi hivi nae kama ambavyo Mimi sifileo naishi na mama yenu Mama Francis, hiyo ndoa haitodumu kamwe itavunjika na itakufa ingawa haitozikwa maana hakuna kaburi la kuzika ndoa zaidi ya moyoni,(jukumu la ovyo kwa moyo siku hizi mwisho wake ni mahuti,jukumu mahususi la moyo ni kusukuma damu).

Inawezekana sieleweki ndugu wasomaji wa Andiko langu la jumapili ya TAREHE 21/08/2022, kutokana na kuvalisha lugha maneno niyaandikayo, ni hivi sisi watanzania hatuichagui ccm kwa Ili ije ituletee maendeleo kutoka hapa tulipo itufanye kuwa kama marekani,au hata hapo jirani Kenya.

Tunachagua viongozi tutakapo shirikiana nao kuleta maendeleo yanayoendana na Hali halisi ya uchumi, Mila desturi zetu na sio kinyume Cha hapo.

Ccm haipigiwi kura kwa sababu ya kuja kututoza Kodi kwa mfano wa nchi fulani paspo kutushirikisha sisi watanzania,haiwezekani Waziri wa Habari mfano nape aambiwe mkeo mbona anakula sana ajitokeze adhalani ajibu ''eti mke wake anakula sana Kwa sbabu mke wa sifi Leo anakula sana sana kuliko wa mkewe this is rubish feedback from the husband.

Unaulizwa kwanini gharama za vifurushi zinapanda Kila kukicha ,unajiibu eti'' kwa Tanzania hazipandi kama Kenya Uganda na rwannda,Wewe ulichaguliwa Ili utuendeshe kama wakenya?waganda?
Nisikuchoshe ndugu msomajo niwaombe watanzania tufanye yafatayo!

Tukubali kuhesabiwa kesho kutwa,pili tuyakatae maviongozi mithili ya Nape Nauye,na Mwigulu Mchemba hata watakao teuliwa tuwakatae hata watakapo teuliwa na hata tukilazmishwa na wateule wao basi tuwakatae wateule wao.

Ni andiko langu la kwanza la Jumapili ya TAREHE 21/08/2022.niwatakie jumapili njema na yenye Baraka Mungu awatangulie WanaJf wote mlio hai na hata waliotangulia mbele za Muumba usiku wa leo.
Jifunze kutumia "h" (h)ii ni muhimu kwenye lugha sahihi,
.... mbona (h)ukati.....
hapa haitakiwi.....ndoa "h"isingeingia....
yamo maneno mengi yamekosa " h".
 
Wewe ndiye Zuzu! Unajua exchange rate ya Zambian Kwacha kwa Tzs ikoje? Kwa hiyo unaona 28ZKW ni nafuu kuliko hapa kwetu?
Acha upumbavu mkuu, Sawa wewe kwa nini usinunue Lita kwa 28tshs?,upumbavu uliogubikwa kwa watanzania ni wa kizazi hadi kizazi, jitahidi nawe nchi yako inunue Lita moja ya diesel kwa 28tshs,
 
Hhahahahahaha barikiwa sana mwana WA Mungu tukutane ibadani
Nakubaliana na wewe. Viongozi wetu wanajilinganisha na nchi jirani wanapofanya mambo ya kuumiza wananchi, lakini nchi jirani ikifanya mazuri hatuoni wakiiga. Tumewauliza, mmeona uchaguzi wa Kenya ulivyo wazi? Tunataka tume kama ya Chibukati. Lakini majibu yao; hii ni Tanzania na ile ni Kenya kila nchi ina utamaduni wake. Limekuja la gharama za vifurushi wanajilinganisha na Kenya hiyo hiyo. What nonsensHhahahaha

Ndio maana nasema wengi wenu ni wajinga tuu,unapohoji unatakiwa kujua mahitaji ya hayo madarasa ni kiasi gani Kwa shule za msingi na Sekondari..

Covidi ilijenga madarasa 15,000 zikiwemo shule shikizi kwa sekondari na pesa ya tozo ilijenga madarasa zaidi ya 5,000 ya shule ya msingi na shule mpya mpya..

Na nani alikwambia tozo ni Kwa ajili ya madarasa tuu? Tozo ni Kwa ajili ya madarasa,Vituo vya Afya,Zahanati,maji,na barabara..

Unajua bajeti ya vyote hivyo hapo?
Husichangie hoja kwa kutusi watu
 
Kuendesha Nchi sio sawa na kuendesha familia..

Mara kadhaa miswaada inawekwa wazi mtoe Maoni mko busy na porno na mipira then sheria ikipita na utekelezaji kuanza ndio mnaanza kuja na nyuzi za kipuuzi na kulaumu viongozi..

Saizi pia kuna mswaada wa mabadiliko ya sheria za manunuzi mnatakiwa kutoa maoni ila mnajifanya haiwahusu ila siku ilipitishwa ndio mnatoka mashimoni..

Ni hivi Jana Mwanasheria mkuu kasema sheria ya tozo ilipitishwa kwa njia halali na kama mnaona haifai anzisheni mchakato ule ule halali..

Mwisho so far sijaona tatizo la tozo kwa sababu mwenye kipato kikubwa anachangia zaidi na mwenye kipato kidogo hivyo hivyo ,hii ni principal ya Kodi Duniani kote na haimuumizi mtu..

Good enough tozo ziko na malengo specific na matokeo yanaonekana kwa mfano mwaka mmja uliopita Serikali imejenga vituo vya afya 252 kwa tozo,hivi vi buku buku kila mtu angebakia nazo angenunua Hata baiskeli?

Hiyo ni sekta moja tuu ila tozo zimejenga madarasa ya shule ya msingi zaidi ya 5,000,maji Vijijini zaidi ya miradi 700, pesa za Tarura mnaona Vijijini sasa kuna barabara so kuna tatizo gani hapo?

Narudia tena hizi makelele ni za watu wabinafsi wa mjini ambao hawajawahi kwenda Vijijini wakaona Hali ya maisha ilivyo ngumu..

Hawa Hawa wa mjini wako tayari kuona wakulima wa Vijijini wanaharibikiwa Mazao au wanauza kwa Bei ya chini Ili wao wa Mijini wafaidi jasho la wengine,huu ni zaidi ya ukupe..

Naapa ningekuwa Rais Kamwe nisingewasikiliza na Hakika ningetumia nguvu hata kuhakikisha mambo yanaenda..Hakuna maendeleo ya lelemama na wakati Mwigulu akileta hili waO kwa mara ya kwanza alitolea mifano ya maisha ya Vijijini..

Mtu anaumwa asafiri km zaidi ya 100 kwenda mjini kujifungua,hii haikubaliki.. Serikali shikilieni msimamo huo huo labda kikubwa mtoke tuu kuwaeleza kwa nini mnaweka tozo..
Wewe kama hanithi kutetea tu ujinga ,ushaamua kuwa fala basi mpaka kufa mpumbavu kabisa .

Soma utoe hoja sio unakuwa na majibu yako ya kithenge kama unaliwa! Kila mada unatetea tu
 
Wewe kama hanithi kutetea tu ujinga ,ushaamua kuwa fala basi mpaka kufa mpumbavu kabisa .

Soma utoe hoja sio unakuwa na majibu yako ya kithenge kama unaliwa! Kila mada unatetea tu
Mimi na wewe nani mpumbavu? Nimejenga hoja unaleta ufala wako wa matusi..

Hakuna kitakachobadilika hata utukane uvue na nguo sawa wewe konokono?
 
Ndio maana nasema wengi wenu ni wajinga tuu,unapohoji unatakiwa kujua mahitaji ya hayo madarasa ni kiasi gani Kwa shule za msingi na Sekondari..

Covidi ilijenga madarasa 15,000 zikiwemo shule shikizi kwa sekondari na pesa ya tozo ilijenga madarasa zaidi ya 5,000 ya shule ya msingi na shule mpya mpya..

Na nani alikwambia tozo ni Kwa ajili ya madarasa tuu? Tozo ni Kwa ajili ya madarasa,Vituo vya Afya,Zahanati,maji,na barabara..

Unajua bajeti ya vyote hivyo hapo?
Fikra ulizonazo ndizo walizonazo viongozi wengi wa nchi hii....Kuona watawaliwa ni wajinga na nyinyi ndio wenye akili...Huo ni ulimbukeni na ujanja pori...Hao hao wajinga wajibu vizuri waelewe na sio kebehi na ujuaji, kwa sababu hata ujinga wao mmechangia nyinyi kupitia mifumo mibovu ya uongozi na elimu duni...Nchi ikijaa raia wengi wajinga maana yake serikali haijatimiza wajibu wake wa kuufuta ujinga na hivyo haifai kubaki madarakani.
 
Acha upumbavu mkuu, Sawa wewe kwa nini usinunue Lita kwa 28tshs?,upumbavu uliogubikwa kwa watanzania ni wa kizazi hadi kizazi, jitahidi nawe nchi yako inunue Lita moja ya diesel kwa 28tshs,
28 Tsh kwa 1L, ya Disel?
Hata ya Tako chimbwa makunduchi.na mchamba wima hayatakua nabei ndogo kiasi hicho.
 
Jifunze kutumia "h" (h)ii ni muhimu kwenye lugha sahihi,
.... mbona (h)ukati.....
hapa haitakiwi.....ndoa "h"isingeingia....
yamo maneno mengi yamekosa " h".

Bora umeona, huyu jamaa ana tatizo la herufi H. Na sio leo tu, huu uandishi wamakosa ndio zake. Kibaya zaidi pamoja na huu uandishi wake wa makosa, ana tabia ya kuwa na post lirefu sana.
 

Similar Discussions

19 Reactions
Reply
Back
Top Bottom