Ushauri wangu kwa Serikali na Waziri husika wa Nishati, kabla hamjawasha mtambo namba 9

mr pipa

JF-Expert Member
Jul 26, 2021
2,330
4,853
{Hapa tunaongea kama wana ilimradi ujumbe ufike}Waziri husika na serikali yako kwanza gharama ya uingizaji umeme kwenye majumba ya wananchi wenu ni kubwa, hasa mijini tsh 321,000/= si pesa haba punguzen ili kila mmoja aingize huu umeme wote tulipe kodi ya jengo au hamjui kwamba kuna nyumba nyingi town hazina umeme na wanashindwa kuweka kipato ni duni alafu liumeme ni lingi mtafanyia nini zaid mta overdose trasforma zipasuke muombe tena bajeti za manunuz. wakati wateja mnawakomalia, na ikiwezekana mteja alipie tu gharama za ujazaji form huko tanesko alafu afungiwe bure hii itasaidia kuwa na wateja wengi mapato yataongezeka

Suala la pili ile tozo ya buku jero kwenye mita kwa mwezi ondoeni wekeni kila ukinunua luku unakatwa Tsh. 100+ mana wateja tayari mtakuwa nao wengi.

Kingine token za unit we buku unit 4 mambo gani haya weken japo 8 mana umeme tunao mwingi lengo mtusaidie wananchi isiwe kazi kujisifu umeme tunao wa kutosha wakati waitaji tunawapiga rungu shusheni bei msikaze fuvu.
 
Yaani wasiwashe mitambo ?

Una matatizo Kweli wewe
hiyo mitambo wana muwashia nani ikiwa mteja mwenyewe hapati kinachostaili zaid vifaa vyao vitazidiwa uwezo and the day serikali itatoa gharama za kununua vipuli vingine kitu ambacho ni upuuz kwakweli
 
Waziri husika na serikali yako kwanza gharama ya uingizaji umeme kwenye majumba ya wananchi wenu ni kubwa, hasa mijini tsh 321,000/= si pesa haba punguzen ili kila mmoja aingize huu umeme ili nao walipe kodi ya jengo mana liumeme ni lingi mtafanyia nini zaid mta overdose vifaa vyenu kupiga short na kufa haraka ikiwezekana mteja alipie tu gharama za ujazaji form huko tanesko alafu afungiwe bure hii itasaidia kuwa na wateja wengi walipa kodi.

Suala la pili ile tozo ya buku jero kwenye mita kwa mwezi ondoeni wekeni kila ukinunua luku unakatwa Tsh. 100/= nk mana wateja tayari mtakuwa nao wengi.

Kingine token za unit we buku unit 4 mambo gani haya weken japo 8 mana umeme tunao mwingi lengo tumsaidie mwananchi sio mnakaza fuvu kukomaa na bei utazani hawa wananchi wakimbizi shusheni bei.
Tozo ya buku jero ni kodi ya mwez ya jengo, wakiitoa tutaenda lipia halmashauri
 
Tozo ya buku jero ni kodi ya mwez ya jengo, wakiitoa tutaenda lipia halmashauri
wasiiondoe waiweke kila unapo nunua kwasababu sisi wengine unga unga mwana unakuta siku unatia umeme wa buku jero wamekata yote alafu huna kahela kangine kakununua luku unabak unalala na giza bora wakiweka kwenye kila ukinunua luku sababu wakikata mia kwenye buku utakuwa umebak na mia9
 
wasiiondoe waiweke kila unapo nunua kwasababu sisi wengine unga unga mwana unakuta siku unatia umeme wa buku jero wamekata yote alafu huna kahela kangine kakununua luku unabak unalala na giza bora wakiweka kwenye kila ukinunua luku sababu wakikata mia kwenye buku utakuwa umebak na mia9
Wakiweka kila unaponunua umeme, watu watakuwa wananunua umeme wa miez 10 kwa mara moja hivyo serikali kukosa mapato
 
Wakiweka kila unaponunua umeme, watu watakuwa wananunua umeme wa miez 10 kwa mara moja hivyo serikali kukosa mapato
yaan nasemea hv kila 1000 iliyonunua luku ikatwe mia hata kama utaweka wa milion mana hili jambo tuna gusa angle zote si tajir si maskin hy buku jelo kwa mwez maskin katengwa mkuu
 
yaan nasemea hv kila 1000 iliyonunua luku ikatwe mia hata kama utaweka wa milion mana hili jambo tuna gusa angle zote si tajir si maskin hy buku jelo kwa mwez maskin katengwa mkuu
Kwani hamna namna nyingine ya kuingiza mapato isipokuwa kumkamua mwananchi mnyonge?

DPW haijaanza kuingiza trilioni zetu kwani?
 
yaan nasemea hv kila 1000 iliyonunua luku ikatwe mia hata kama utaweka wa milion mana hili jambo tuna gusa angle zote si tajir si maskin hy buku jelo kwa mwez maskin katengwa mkuu
Hio itakuwa kuwaonea wenye matumizi makubwa, na pia tutajinyonga, ukweli familia/ nyumba nying za kupanga umeme unatumia wa 30+ kwa mwezi, so ukisema uwe unakata 10% hapo utaona familia kibao zitakuwa zinalipa 4000-5000/- ya kodi, ambayo ni kubwa kuliko buku jero,

Na ukweli usemwe, hii buku jero haiumizi sawa na kuweka kwenda kushinda halmashauri
 
hiyo mitambo wana muwashia nani ikiwa mteja mwenyewe hapati kinachostaili zaid vifaa vyao vitazidiwa uwezo and the day serikali itatoa gharama za kununua vipuli vingine kitu ambacho ni upuuz kwakweli
Wateja waliopo wanatosha kabisa kuipa tanesco kipato

Sio wewe wa kulalamikia laki tatu
 
Wateja waliopo wanatosha kabisa kuipa tanesco kipato

Sio wewe wa kulalamikia laki tatu
{mh leo una bahati sana } ni kweli sisi ni wanyonge wenzetu wenye hela mtuone na sisi,,
 
Hio itakuwa kuwaonea wenye matumizi makubwa, na pia tutajinyonga, ukweli familia/ nyumba nying za kupanga umeme unatumia wa 30+ kwa mwezi, so ukisema uwe unakata 10% hapo utaona familia kibao zitakuwa zinalipa 4000-5000/- ya kodi, ambayo ni kubwa kuliko buku jero,

Na ukweli usemwe, hii buku jero haiumizi sawa na kuweka kwenda kushinda halmashauri
asante kwa ufafanuzi umeeleweka mkuu sasa tuangalie na hoja zingine
 
Kwani hamna namna nyingine ya kuingiza mapato isipokuwa kumkamua mwananchi mnyonge?

DPW haijaanza kuingiza trilioni zetu kwani?
kwahy kodi ya jengo waitoe muwe mnalipa taslimu au basi mnichague mimi kazi yangu itakuwa ni kuprint hela tu na kuziweka kwenye miladi nisingewadai kodi mngeishi kama mbinguni nyumba ningewajengea bure, kila mwananch ningemnunulia gar? Na mwisho wa mwezi angepata, wana nchi kazi yao ingekuwa kuzalisha bidhaa na madhao tu ili tusife njaa
 
Hivi kuna yule ndugu yako mnafanana avatar anaitwa nani vile?
mkuu hapa tupo serikalin samia na wazir wa umeme wanatusoma ujue, andika point tulambe uteuz we hutaki ubalozi mi nikipewa viti maalumu pale bungen si maisha yanaendelea haya maswali njoo pm kwa sasa sijibu niko bize kwenye kikao
 
mkuu hapa tupo serikalin samia na wazir wa umeme wanatusoma ujue, andika point tulambe uteuz we hutaki ubalozi mi nikipewa viti maalumu pale bungen si maisha yanaendelea haya maswali njoo pm kwa sasa sijibu niko bize kwenye kikao
Yule ndugu yako mnafanana avatar anaitwa nani
 
Back
Top Bottom