Bilionaire kekeman
Senior Member
- Nov 26, 2022
- 142
- 823
kaka habari yako pole na majukumu,nakuomba uni postie hili Jambo linanisumbua Sana naomba nipate ushauri wa watu wengi moyo wangu upone lkn naomba unifichie jina langu..
Kaka sasa liko ihvi, mimi nimeoa mwaka 2014 mpaka sasa Niko na watoto wa3 watoto wangu nawashughulikia kama Baba vizuri, lakini mwaka Jana mke wangu akabeba mimba nje ya ndoa nilikuwa safari ya miezi 3 after kurudi sikujua kama mke wangu nimjamzito maana sikumchunguza Kwa sababu nilikuwa na mwamini Sana..
Miezi ikaendelea kusogea baadae akajifungua vizuri mtoto wa kiume lakini sasa nika hesabu miezi nilie lala na mke wangu ni muda wa miezi sita, hapo ndio Nikagundua mimba sio yangu..
Nikamuuliza akakiri ameteleza anaomba nimsamee lakin nimeumia Sana mpaka sasa Bado naishi na yeye lakini Imani yangu imepotea kwake kabisa nifanyaje Kwa maana tayari amenizalia watoto 3 iyo kitu inanisumbua Hadi saa hii...
Kaka sasa liko ihvi, mimi nimeoa mwaka 2014 mpaka sasa Niko na watoto wa3 watoto wangu nawashughulikia kama Baba vizuri, lakini mwaka Jana mke wangu akabeba mimba nje ya ndoa nilikuwa safari ya miezi 3 after kurudi sikujua kama mke wangu nimjamzito maana sikumchunguza Kwa sababu nilikuwa na mwamini Sana..
Miezi ikaendelea kusogea baadae akajifungua vizuri mtoto wa kiume lakini sasa nika hesabu miezi nilie lala na mke wangu ni muda wa miezi sita, hapo ndio Nikagundua mimba sio yangu..
Nikamuuliza akakiri ameteleza anaomba nimsamee lakin nimeumia Sana mpaka sasa Bado naishi na yeye lakini Imani yangu imepotea kwake kabisa nifanyaje Kwa maana tayari amenizalia watoto 3 iyo kitu inanisumbua Hadi saa hii...