Waziri wa fedha Mahututi

Kuna watu humu jamvini ni wadogo zake izraeli!....God Forbid, chimwekeneeeeeeeee
 
Malipo huwa yanaanza
hapa hapa duniani.Wametuonea mno Watanzania,ngoja nao wapate joto ya
jiwe.Kwanza wapiga kura wake hata dawa hawawezi kununua,wengine wanakufa hata bila kufika vituo vya afya.
Hali ya waziri wa
fedha,Dk.William Mgimwa imeelezwa kuwa ni mbaya na amelazwa katika
hospitali ya Milpark nchini Afrika kusini tangu mwishoni mwa wiki
iliyopita.

Habari hii imeripotiwa na Gazeti la Raia Mwema la tarehe 04/12/2013
ambalo limenukuu vyanzo kutoka serikalini vikidai hali ya waziri huyo ni
mbaya.Pia, imeelezwa kuwa katibu mkuu wa wizara ya fedha,Dk.Likwelile,
alikwenda Afrika Kusini siku ya Jumatatu iii kufuatilia hali ya waziri
wake.

CHANZO:Raia Mwema.
 
Hawa wasengerema wa ccm wakiumwa wanakwenda sauz afrika, njooni na nyie malazwe mwananyamala mjue utamu wa tumbaku ni popoooo!! Puuuuuuuuuuuuuuuu!
 
RIP in advance
Una moyo.....!!!
Kuna mtu alimcheka mgonjwa mahututi kuwa wa leo wa kesho.
Alipokuwa anatoka hospitali kumwona gonjwa huyo akapata ajali na kurudisha uhai kwa Muumba pale pale.
Mambo haya hayadhihakiwi.
 
  • Thanks
Reactions: awp
Uhai wa waziri huyu ni muhimu sana kuliko wa_tz wote walio mahututi hapa tz. so msishangae kwann yupo south.
 
Hawa wasengerema wa ccm wakiumwa wanakwenda sauz afrika, njooni na nyie malazwe mwananyamala mjue utamu wa tumbaku ni popoooo!! Puuuuuuuuuuuuuuuu!
Usipate taabu , mbona wengine bado tunaenda huku kwa mzee wa kikombe...........

 
Wao Wanafia ng'ambo,halafu wapiga kura wanalala chini muhimbili

Kufa ni kufa tu dada Victoire Ingabire, haijalishi umefia kwenye sakafu Muhimbili au sijui wapi kule wanakotibiwa wakubwa. Hivi dada Victoire raisi Paul Kagame ameshakuachia kutoka lupango? Au huko lupango PK kakuwekea mawasiliano ya internet?
 
Zito yuko vizuri anaweza imudu hiyo nafasi so hold on next week JK atampatia ubunge maalumu na uwaziri
 
Back
Top Bottom