Waziri wa fedha Mahututi

Waziri wa fedha Mahututi

kama JK anajua atakaufa kwanini wengine muanze jifanya mnamwombea..?km alikuwa wa Mungu kwanini umeingia upande wa magamba
 
Sawaaaaa.....sasa cjui itakuwa ni shinikizo la damu kama kawaida ya wakubwa!!!!!!!!!!
Mill Park wameingia contract na TZ government kutibu viongozi wote pale. Du, bonge ya dilli wameipata. All in all dr I wish you a quick recovery.
 
Wakina Ulimboka wakipiga kelele Muhimbili na hospitali zetu ziboreshwe kwa kupewa vifaa na Madaktari wawezeshwe wanaishia kung'olewa meno na kucha. Kumbe yote hii ni kuwa kiongozi akiugua chochote apelekwe nje na maafisa wapate safari na posho za shoping huko aliko.
CCM KWELI IMESHINDWA KUONGOZA NCHI.
 
ina maana madokta wa kibongo wameshindwa? huko inatakiwa waende wafanya biashara, sio watumishi wa serikali!
 
Hali ya waziri wa fedha,Dk.William Mgimwa imeelezwa kuwa ni mbaya na amelazwa katika hospitali ya Milpark nchini Afrika kusini tangu mwishoni mwa wiki iliyopita.

Habari hii imeripotiwa na Gazeti la Raia Mwema la tarehe 04/12/2013 ambalo limenukuu vyanzo kutoka serikalini vikidai hali ya waziri huyo ni mbaya.Pia, imeelezwa kuwa katibu mkuu wa wizara ya fedha,Dk.Likwelile, alikwenda Afrika Kusini siku ya Jumatatu iii kufuatilia hali ya waziri wake.

CHANZO:Raia Mwema.

huyu waziri hakuwa na ugomvi na mtu wa Mwandiga kama unaelekea Manyovu kweli.
cc.Mudhil Mudhil
 
Tunamwombea apone haraka ili aje kujionea KODI YA LAINI ZA SIMU ilivyoiboresha HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI .
 
kwanini hakulazwa kwa wabongo wenzake hapa bongo -Mhimbili?
 
Ingekua kila raia anapewa uzito katika matibabu kama viongozi wa serikali basi hospital zetu zingekua na hali nzuri sana.Tatizo wakiumwa wanakimbizwa nje nani ataboresha hosp zetu?

Ugua pole Gamba kama una pesa Uswizi zirejeshe wasije jikausha nazo endapo .....!
 
Back
Top Bottom