Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,172
- 162,618
- Thread starter
- #21
Hapo kwenye tarehe umetisha aisee...
Mkuu, nashukuru na nimesharekebisha.
Hapo kwenye tarehe umetisha aisee...
Mill Park wameingia contract na TZ government kutibu viongozi wote pale. Du, bonge ya dilli wameipata. All in all dr I wish you a quick recovery.Sawaaaaa.....sasa cjui itakuwa ni shinikizo la damu kama kawaida ya wakubwa!!!!!!!!!!
Sewahaji Muhimbili watz wako hoi kweli.
Watanzania wote tukipelekwa ng'ambo hatuwezi kutosha. Tumia hata sehemu ndogo tu ya akili yako kufikiri.Wao Wanafia ng'ambo,halafu wapiga kura wanalala chini muhimbili
Watanzania wote tukipelekwa ng'ambo hatuwezi kutosha. Tumia hata sehemu ndogo tu ya akili yako kufikiri.
Isije kuwa maCCM wamempiga kipapai ili nafasi yake apewe Asha Rose Migiro...
View attachment 124748
Hali ya waziri wa fedha,Dk.William Mgimwa imeelezwa kuwa ni mbaya na amelazwa katika hospitali ya Milpark nchini Afrika kusini tangu mwishoni mwa wiki iliyopita.
Habari hii imeripotiwa na Gazeti la Raia Mwema la tarehe 04/12/2013 ambalo limenukuu vyanzo kutoka serikalini vikidai hali ya waziri huyo ni mbaya.Pia, imeelezwa kuwa katibu mkuu wa wizara ya fedha,Dk.Likwelile, alikwenda Afrika Kusini siku ya Jumatatu iii kufuatilia hali ya waziri wake.
CHANZO:Raia Mwema.
Mizaha kwenye mambo serious sio ustaarabu!
ndio maana dr asha rose migiro kapewa ubunge....mmmmmmh
kwanini hakulazwa kwa wabongo wenzake hapa bongo -Mhimbili?