Waziri wa fedha Mahututi

Waziri wa fedha Mahututi

Wanyonge wanafia mabwe pande wao wanakatikia S.Afrika


...sasa Mgimwa ndo umeondoka na salary nini?

bahati nzuri woote mwisho wa siku ni kuyaonja mauti hata kama ayakimbie vipi!!

boresheni hospitali zetu ili hata na sisi makabwela tupate hizo tiba basi na kuongeza hata kidogo matumaini ya kuishi. utasikia hatuna uwezo wa kununua t-scan.

ila kwa kuwagharimia hao mawaziri uwezo huo upo hata kama baraza lote la mawaziri likiuguwa ndani ya mwezi mmoja.

haya shime watanzania na tufanye kazi sasa kwa bidii kwani maisha ni kwa staili ya classes.
 
!
!
hivi mleta uzi unajua maana ya mahututi au unapost tu, hebu nenda muhimbili kaangalie watu mahututi ambao pia hawana hata matumaini ya kumwona daktari. Mahututi Afrika Kusini mbona poa tu na sio habari kabisa
mahututi ni wale wenzenu wanaotoka klm tu??? acha roho mbaya
 
Kama vipi,aende tu huyo gamba! kwanza katuhujumu na mashine zake za kielektroniki zile za TRA
 
bahati nzuri woote mwisho wa siku ni kuyaonja mauti hata kama ayakimbie vipi!!

boresheni hospitali zetu ili hata na sisi makabwela tupate hizo tiba basi na kuongeza hata kidogo matumaini ya kuishi. utasikia hatuna uwezo wa kununua t-scan.

ila kwa kuwagharimia hao mawaziri uwezo huo upo hata kama baraza lote la mawaziri likiuguwa ndani ya mwezi mmoja.

haya shime watanzania na tufanye kazi sasa kwa bidii kwani maisha ni kwa staili ya classes.
well said mkuu
 
Hali ya waziri wa fedha,Dk.William Mgimwa imeelezwa kuwa ni mbaya na amelazwa katika hospitali ya Milpark nchini Afrika kusini tangu mwishoni mwa wiki iliyopita.

Habari hii imeripotiwa na Gazeti la Raia Mwema la tarehe 04/12/2013 ambalo limenukuu vyanzo kutoka serikalini vikidai hali ya waziri huyo ni mbaya.Pia, imeelezwa kuwa katibu mkuu wa wizara ya fedha,Dk.Likwelile, alikwenda Afrika Kusini siku ya Jumatatu iii kufuatilia hali ya waziri wake.



MAHUTUTI NASS TUANGLIE VYA KUWEKA
 
Hali ya waziri wa fedha,Dk.William Mgimwa imeelezwa kuwa ni mbaya na amelazwa katika hospitali ya Milpark nchini Afrika kusini tangu mwishoni mwa wiki iliyopita.

Habari hii imeripotiwa na Gazeti la Raia Mwema la tarehe 04/12/2013 ambalo limenukuu vyanzo kutoka serikalini vikidai hali ya waziri huyo ni mbaya.Pia, imeelezwa kuwa katibu mkuu wa wizara ya fedha,Dk.Likwelile, alikwenda Afrika Kusini siku ya Jumatatu iii kufuatilia hali ya waziri wake.

CHANZO:Raia Mwema.
Tumwombee apone haraka ili aje afanye kazi ila kichwa cha habari yako si kizuri maana mtu kuwa mahtuti si sawa na mtu kuwa na hali mbaya.
 
Hivi muhimbili haiwezi kuwahudumia viongozi wetu! Hii nchi ni ngumu sana, hakuna uzalendo kabisa,MNAKIMBILIA KUJENGA DARAJA KIGAMBONI BADALA MNUNUE MASHINE ZA KISASA ZA KUTIBU WANANCHI!! hii ndo ccm!!

nami nimejiuliza kama wewe,,,,unaweza ukakuta tatizo lake ni la kukosa choo tu(haja aka nya),
 
Miradi hiyo ya watu hujasikia siku ile kwenye kipindi cha Kipima Joto ?Mpwa wangu uko wapi ?
 
Kipapai tayari hicho mkakati wa CCM ya FaizaFoxy, Ritz na mwenye nyumba kubwa kuondoa viongozi wakristo ktk serikali, Asha Migiro ndo waziri wa fedha soon anatangazwa
 
Last edited by a moderator:
chonde chonde waziri tulipe mishahara yetu ndo urest in peace..
 
Kipapai tayari hicho mkakati wa CCM ya FaizaFoxy, Ritz na mwenye nyumba kubwa kuondoa viongozi wakristo ktk serikali, Asha Migiro ndo waziri wa fedha soon anatangazwa

WACHA WEE ! kama kuna kijiukweli fulani vilee !
 
Last edited by a moderator:
Angeenda Muhimbili Bado Ingekuwa Majanga Kwa Ndugu Zako Tuliopo Kusini, Angepelekwa ILEMBULA!
 
Back
Top Bottom