Waziri wa fedha Mahututi

Waziri wa fedha Mahututi

Hivi muhimbili haiwezi kuwahudumia viongozi wetu! Hii nchi ni ngumu sana, hakuna uzalendo kabisa,MNAKIMBILIA KUJENGA DARAJA KIGAMBONI BADALA MNUNUE MASHINE ZA KISASA ZA KUTIBU WANANCHI!! hii ndo ccm!!
 
Wanyonge wanafia mabwe pande wao wanakatikia S.Afrika


...sasa Mgimwa ndo umeondoka na salary nini?
 
Pole kwa waziri, Mungu ampe neema ya uponyaji
 
Get well son waziri wa maCCM gamba kumbwa. Pona.
 
Wapelekwe watakapopelekwa ,hata wakifia huko, wakati wagonjwa wengi wanafia wodini kwa kukosa dawa za kawaida, wao wanapelekana nje ya nchii kulipa bili za mamilioni. Kuna nini huko hatuwezi leta hapa kwetu..... inamaana mtanzania wa kawaida akiumwa ugonjwa anaoumwa mgimwa, japo yeye sio waziri c atakufa? huu umbumbumbu wa viongozi wetu umetufikisha hapa, kazi ni kulipana posho na mishahara, baasi............wat a shamefull leaders? Mbona Mandela anatibiwa huko huko kwake.... hawa viongozi wetu walahawjifunzii kitu, alafu wanatulazimisha tuipende Tanzania..... kwa lip?
 
Pole waziri wa fedha

Mungu bana! Badala ya kuyatia magonjwa Majangiri na Mabakaji, anakwenda kumpa ugonjwa huyu maskini wa mungu ambaye sijawahi kusikia hata kashfa moja inayomuhusu! RIH Kinana.
 
Inafikia hatu wanakosa sympathy ya watanzani kwasababu ya wao kujiona bora kuliko watanzania wengine

Hivi wanaofia Muhimbili na mahospitali mengine ya kibongo hawana haki ya matibabu bora?
 
amepata ajali? hizi justification za kutumia hela zetu bila hata sababu za maana wanazipata wapi? hivi kweli mehimbili wako shallow kutibu hawa vingunge, au vingunge huwa wanaumwa magonjwa makubwa kuliko uwezo wa muhimbili
 
Siku nyingi sijamsikia Dr. Mgimwa kumbe anaumwa! Nimesoma gazeti inasemekana alipata na "mshituko' baada ya kuona utendaji wa Wizara ni mbovu na pia nchi ina madeni makubwa sana!!
 
kwa nini asingelazwa mhimbili na yeye aonje matatizo yaliyopo wizara ya afya ?
 
Kuna skendo yoyte nini hapo MoF ambayo inakaribia kuibuka?
Manake waziri lazima atakuwa amepata oilcom kubwa kama sio pressure.
Au anasumbuliwa na nini?
Nadadisi tu jamani msinirushie mawe
 
Back
Top Bottom