Waziri wa fedha Mahututi

Get well soon Mbunge wangu.
Wewe Mbunge wako ni Msigwa. Halafu tunaomba utuletee ile list ya wale waliochanga rambirambi ya Mwangosi tena iwe katika pound au euro siyo hayo madafu uliyotuletea ili tujie kiasi ulichotafuna na utuambie utakirudisha lini kwa mjane wa Mwangosi
 
Yaani Kristofa Lukosi una kazi kweli uchelewi kusema Lukuvi na Msolwa pia ni wabunge wako! au wewe ni mto Ruaha??? maana mto huo wapita majimbo yoote ya hao MAGAMBA mwishowe waweza kumtaja KILAZA Abuu Mkeketwa naye ni mbunge wako!!!
 
kafa nyerere bwana, ndo itakuwa huyo fisadi!
R.I.P Mgimwa umeyafanya maisha yetu kuwa magumu!
 
Afe gamba huyo, sindo alitaka aweke kodi ya Tshs.1000/= ya line per month? MUNGU Mchukue huyo.
 
Wamekufa wengi niliokua nao karibu sembuse yeye bwana ila namuombea get well soon waziri wa pesa.
 
Back
Top Bottom