msnajo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 3,066
- 1,142
Huyu si ndo alikuwa anakomalia kodi za line za simu?
Mimi nasema aumwe tu. Tumechoka, ukijifanya mkaidi kuliko wengine utaumwa tu.
Kwa jinsi wanavyotufanyia, wakae hukohuko hosptl haina tofauti kati ya kuwepo na kutokuwepo kwao!